Nimeshangazwa na kauli ya Rais kudharau msimamo wa Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje

Nimeshangazwa na kauli ya Rais kudharau msimamo wa Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje

Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Nani kakwabia kuwa TZ Kuna utamaduni wa kujiudhuru!sisi tuaangalia tumbo yetu bwn hata ingekuwa matusi makubwa hakuna kuhacha V8 namasurufu kibao
 
Profesa Mkenda Yuko sahihi 100%! Sukari iagizwe pale panapokuwa na nakisi Kati ya demand na local capacity of production, sio kuagiza tu kama mazoea kwani Hilo linauwa wazalishaji wa ndani!

SSH anong'onezwe, hapo kabugi!
Thats my point!
 
Kwa hiyo hapa tatizo ni Mkenda kuambiwa Hana SENCE? Ukweli Kati ya mawaziri si Mkenda peke yake ambaye Hana SENCE, wako wengi tu akiwemo wa Fedha, wa Biashara, wa Maliasili, wa Madini na kubwa Lao Afya.
Una mtazamo gani kuhusu waziri wa nishati?
 
Waziri kavunja protocol hata kama yuko sawa, kama hakubaliani ajiuzuru lakini sio kwenda kinyume na boss wako aliyekuteua tena hadharani, hizi kazi za kuteuliwa kisiasa huwezi kumkosoa au kwenda kinyume na boss wako, unatakiwa kushauri tuu tena kwa siri na kama hukubaliani ruksa kuachia ngazi
 
  1. Raisi naona anaingizwa chaka sana, sijui kama ana mfumo wa check and balance story anazoletewa
  2. Pamoja na mahaba ya raisi mwenziwe huwezi kumtusi publicly waziri mkuu na waziri wa kilimo, maana hizo stateteme zimetolewa na hao wawili
  3. Mama hana theory za uchumi, huwezi ku favour wanyabiashara jirani na kuwaua wako na kufanya nchi yako dustbin kwa bidhaaa jirani at the expenses of domestic trader.
  4. Museveni kwanini asiuze sukari yake kwa nchi zingine?
  5. Mama asijiangalia, kujipima, kujitathimini, kujiuliza what is the TRUTH ataendeshwa kama chizi mpaka ashangae at the expenses of the poor Tanzania
 
Hii nchi sijui kama ina sera...kila Rais na mitazamo yake almost kwenye kila kitu
 
Nmeona uzi hapa jana mtu anashauri Samia aruhusu cement toka Kenya, na usishangae na yeye akafanya hivyo.
Bukoba mfuko wa sementi ya ni TZS 24,000, inahitajika sana, inatafutwa sana, haipatikani!.
Sementi ikiingizwa kutoka Kenya mfuko ni TZS 12,000!.
Kama tuna upungufu, why not?.

P
 
Binafsi nimesikitika sana na kauli iliyotolewa. Inawezekana haikuwa nia yake ila alijisahau. Kati ya Mawaziri mahiri na wazalendo ni Mhe. Professa Adolf Mkenda. Nashauri atamke kuwa alipitiwa.
Kumbe ni Prof...aisee ,tumeumbwa tofauti ..Mimi huwa skubali kudhalilishwa kizembezembe!
 
Sugar importers wana influence kubwa sana katika Taifa letu, hilo msilisahau, na wala hawazidi wanne, binafsi naona ushawishi wao unaanza kurudi taratibu taratibu mwisho wa siku wataanza kulikalia Taifa letu kooni kwa mara nyingine tena - watahujumu viwanda vya sukari kwa import kile watakacho dai ni industrial Sugar kumbe ukaghai mtupu, wata import sukari inayo karibia muda wa ku-expire wanai-rebag upya na kuingiza sokoni - biashara ya ku-import sukari haina tofauti na biashara ya madawa ya kulevya ukisha ianzisha utaki kuiacha anakuwa kig'ang'anizi tu!!

Cha muhimu hapa kwa Madam President akumbuke kwamba Sugar is a Political commodity washauri wake walikumbuke sana hilo.

Labda tutazinduka mapema na kuhakikisha mambo hayaharibiki. Kuielewa Tanzania na Watanzania wanataka nini, imekuwa kitu kigumu sana.
Mfano, Kilombero Sugar iko kwenye project ya kuongezea uzalishaji karibu maradufu. Statement za kisiasa ziendane na uhalisia huo wa hawa waliowekeza hapa nchini.
Bakheresa pale Bagamoyo na Mtwara wale wanaotaka kuanzisha kiwanda nao wanajisikiaje?
Naamini ipo nia njema ya kuliwezesha Taifa liwe kweli Taifa linalojitegemea. Kama ndivyo, tuunganishe nguvu kwa pamoja mambo yawezekane
 
Bukoba mfuko wa sementi ya ni TZS 24,000, inahitajika sana, inatafutwa sana, haipatikani!.
Sementi ikiingizwa kutoka Kenya mfuko ni TZS 12,000!.
Kama tuna upungufu, why not?.

P
Jibu ni kwamba kunawatu wanapenda Kila mtu Aishi kwa shida shida na vitu vizuri vibaki huko ulaya ila watanzania wao maisha yao yawe ya shida tu mpaka ndoto zao ziwe za kutisha tu na hata ikiwezekana wote waishi nyumba za nyasi na waishi na wanyama chumba kimoja, maji wanywe na wanyama na hata watembee uchi wote bila nguo Wala viatu ndo wanachopenda hao watu.
 
Hivi bado kuna uhaba wa sukari mpaka leo? Sijasikia zile kelele muda mrefu.

Rais wetu naona kama amekubali kutumiwa na Museveni nae akatumika, kama Museveni ana sukari nyingi kwake haina soko ameona aje kulitafuta huku na sisi badala ya kujiuliza kama tunaihitaji naona tumekimbilia kukubali ombi tu ili kukuza urafiki na majirani.

Suala la kuita msimamo wa waziri wake Nonsense tena public nalo nalipinga, kama alikerwa na huo msimamo ana kila nafasi na kuonana na waziri wake na kumweleza aliyonayo, sio kumsubiri Museveni aje ndio anamnanga mbele za watu, hizi ni tabia typical za kike - umbea.

Tabia za kibandamaiti 😂😂😂
 
Ccm hupenda kuwaibia watanzania kupitia vibali vya sukari, mgao wa umeme na na kupandisha bidhaa muhimu bei.

Miaka nenda rudi sukari imekua ndio source ya wanaCcm mafisadi kuhakikisha makampuni yao yanaagiza sukari toka nje ili wapate faida kubwa huku viwanda vya ndani vikishindwa kupanuka ili kukidhi mahitaji.

Mwaka 2025 ndio wakati muafaka kuwaondoa CCM chama kinachonuka ufisadi kila kona.
 
Back
Top Bottom