You are totally misinformed buddy,UG wanatumia Mombasa Port kwa almost 82% ya mizigo yake the rest ndio ifikirie TZ. Again SGR ya KE now inatoboa mpaka Naivasha mpaka Busia mdomoni kabisa mwa mpaka wa UG na KE, na wamepewa free land area kwa ajili ya kujenga Dry Port ya Mizigo.
Bomba la mafuta kupitiishiwa Tanga ni kwa sababu ya inflated costs na sheria za KE kulipa maradufu fidia, ardhi Mali ya mtu na si serikali. Mwekezaji yeyote huangalia cheap option kwa ajili ya ku maximize profit.
Again, monsoon winds ambazo huwa zaidi ya miezi 3 kwa mwaka ilikua ni tatizo katika njia ya kupitisha bomba, bomba lingefika bandari ya Lamu ambayo ilikua chini ya ujenzi haijakamalika by then wakati Tanga iko operational. Hakukua na njia mzuri na a lot of anti gravity katia njia ya Kenya tofauti na TZ. To top up, usalama kwani Lamu iko near na Somalia kwa Al Shabaab militants ambao pia hutarget Kenya na Uganda.
Get all the facts right.
Ni hayo tu.
Sent from my SM-G9350 using
JamiiForums mobile app