Utakuja kunielewa mbele ya safari. Great wives are house wives.he he he he we jamaaa khaaah sasa maisha si yatakua magumu kwetu
Siku zote wanajitoaga fahamu tu, ila wana akili za kutosha kichwani.Aisee kumbe JF kuna watu wapo serious hivi!
Nondo kali sana za husia zinashushwa hapa!
Ninasoma comments, wadau tujuane!
Inafanya kazi tu kwa mwanamke anayejitambua.Hii husaidia sana kumaliza migogoro ndani ya Ndoa.........
Babu ufungue uzi wa kutufundia vijukuu vyako vya farao hivi vigumu sana upande wa zawadi πZawadi ni kitu muhimu sana kwenye maisha ya Ndoa.
Ukikosa zawadi ya laki 1 mpelekee hata Ice cream ya Barhessa.
Huwa inasaidia sana kumfanya mwenza wako kuwa na furaha
Poker leo umekunywa nini?? πππHakikisha anadeki nyumba yote, anafua nguo zote mpaka na mazulia, afagie uwa na kukata nyasi, apike Milo yote mitatu, afute mabuibui na kusafisha vioo, alime mboga mboga, amuoshe mbwa na kumpikia mbwa, asisuke Bali uwe unamnyoa na wembe, asiende sokoni Bali uwe unamletea kila kitu.
Mwisho hakikisha ndani ya miaka 3 awe na watoto 3.
Hakikisha hajipaki mafuta zaidi ya mafuta ya kula.
Fanya hivyo mkuu utanishukuru baadae usimwonee mwanamke huruma kwenye majukumu yake yalio kwenye maandiko na kumtaftia msaidizi.
Mkuu ushaoa?? Km tayari hauhitaji kuongeza mke wa pili?? πMaintain your frame, wewe ni kiongozi wa familia, Mtafutaji, mlezi
Kuwa tayari kubeba majukumu yote ya familia na kufanya maamuzi magumu kulinda familia
Mpende mke wako kabla ya wengine, Kazi ya kupenda ni mwanaume, kutii ni mwanamke (kulingana na biblia)
Usiruhusu 50/50, Umemuoa yeye hajakuoa wewe
TAFUTA HELA SANA ITAKUPA HESHIMA
Mengineyo jiongeze haya mambo hayana formula sometimes maana familia A ni tofauti na familia B, fanya kulingana na mlivyozoeana
Kweli nimeona mdau!Siku zote wanajitoaga fahamu tu, ila wana akili za kutosha kichwani.
Very soon Mjukuu, utapata seminar na cheti juu nitakutunuku π€Babu ufungue uzi wa kutufundia vijukuu vyako vya farao hivi vigumu sana upande wa zawadi π
Alafu ile ingine anakuambia "just throw it in the bag ahaaa" hyo haina kuangalia price tag kuna black card limitless kaz yako tupia beginiI got commas after my commas - Lep Bugus Boyz
My Saving account shows more commas - Fabolous -Family Affairs remix
Mimi sitaki nishafundwa tayari, tunataka hawa wajukuu zako wa kiume ndo uwafunde πππVery soon Mjukuu, utapata seminar na cheti juu nitakutunuku π€
Ghafla nimewaza ile ngoma ya jay melody "najiekaa, najieka mimi najiekaa this girl on fireee" pambania mkuu alaa πππMkuu ushaoa?? Km tayari hauhitaji kuongeza mke wa pili?? π
π€£π€£π€£π€£ Nimemuona anafaa kuwa shemeji yangu nimpe da MauGhafla nimewaza ile ngoma ya jay melody "najiekaa, najieka mimi najiekaa this girl on fireee" pambania mkuu alaa πππ
Aah me nkajua unajipambania, nmesahau ka ushawahiwa madam π ma famous couple hata mkiachanaga tunajua bado jimbo la mwana ππ€£π€£π€£π€£ Nimemuona anafaa kuwa shemeji yangu nimpe da Mau
ππππ Mpana wewe!!!Aah me nkajua unajipambania, nmesahau ka ushawahiwa madam π ma famous couple hata mkiachanaga tunajua bado jimbo la mwana π
π€ nimekoma!ππππ Mpana wewe!!!
Basi hapo ushanibebesha mtu hata simjui JF!!
Humu tunapoteza muda wala hatuko serious mwaya