GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
We nuna tuu mama.Nina katabia ka kununa siku mbili Tatu ni kwamba hakafai huko ndoani [emoji3][emoji3]
Ddaadeki, unajua reaction ya K.Vant na K.Pant wewe? Atalipuka mtu ....🤣Azameee akiwqaaa kalewaa
Hii point kubwa.Usilale na ugomvi hakikisha mmezungunza na kutatua
🤣🤣Yani mm naweza muangalia mtu wakat nimenuna nae kanuna nikaanza kucheka ugomvi ukaisha 😂😂inategemea na KosaWe nuna tuu mama.
Tena kwa mie ambaye kuna muda ninakuwa sitaki maongezi na kuchekeana.
Hii inakuwa poa.
Muhimu mwisho wa siku utoe ushirikiano.
Sasa kwann unacheka.[emoji1787][emoji1787]Yani mm naweza muangalia mtu wakat nimenuna nae kanuna nikaanza kucheka ugomvi ukaisha [emoji23][emoji23]inategemea na Kosa
Sijawahi kuwa serious 😂😂minuno midogo midogo ya hapa na paleSasa kwann unacheka.
Mnuno wako unakuwa sio serious.
Kuna watu wananuna mpka unaplan kwenda kulala nje.
Ha ha Hii nimeichukuaMpe pesa na mahitaji, usimpe moyo
haaaUwe unapima pressure na sukar mara kwa mara almost after three months
upoUsikubali mkeo akutolee chozi kwa kuzingua kwako, aisee Maombi yao yanasikilizwa sana
Ukiyatimba yatengeneze haraka
NakaziaUsikubali mkeo akutolee chozi kwa kuzingua kwako, aisee Maombi yao yanasikilizwa sana
Ukiyatimba yatengeneze haraka
Mnapatikana sayari gani nyie jamani 😀 zawadi ni kitu muhimu, hufurahisha moyo na kufeel you're loved and always on his/her mind, hata ikiwa pipi tu😍Zawadi ni kitu muhimu sana kwenye maisha ya Ndoa.
Ukikosa zawadi ya laki 1 mpelekee hata Ice cream ya Barhessa.
Huwa inasaidia sana kumfanya mwenza wako kuwa na furaha
Kaka una kidharau chama🤣😂Ombi langu Mungu akubariki utuumbue "KATAA NDOA"
Hah Nampa moyo mwanaKaka una kidharau chama🤣😂
Usi mdanganye, Eminem Kwenye monster ana sema, am not here to save any fu..ng kid.Hah Nampa moyo mwana
Yuko mars, ada ya kwenda kupitia space x rocket ya Elon musk ni USD 5m,Mnapatikana sayari gani nyie jamani 😀 zawadi ni kitu muhimu, hufurahisha moyo na kufeel you're loved and always on his/her mind, hata ikiwa pipi tu😍