Nimeshindwa kuacha kujichua
Ndiyo hii haiitaji maelezo mengi, kama kichwa kinavyojieleza "nimeshindwa kuacha punyeto" nimejikuta naskip tu siku lakin siku mizuka ya punyeto ikija nashindwa kujizuia[emoji16][emoji16]

Nakirusha tu shwaaa[emoji23][emoji23] dah unyamaa sana. Mliobarkiwa karama za maombi mtuombeee plzz hali ni mbaya[emoji120]
Pepo amekuganda ujue
 
Siku nilipogunduwa kuwa mbegu za mwanaume ndiyo uhai wa mwanaume,,

Ndy siku niliyoacha nyeto rasmi na kufanya tendo la sex Kwa kiasi ..

Amini maneno yangu hizo mbegu zote unazozitoa bila mpangilio,
Kuna siku zitakurudia na kukutafuna..
Uligunduaje?
 
Siku nilipogunduwa kuwa mbegu za mwanaume ndiyo uhai wa mwanaume,,

Ndy siku niliyoacha nyeto rasmi na kufanya tendo la sex Kwa kiasi ..

Amini maneno yangu hizo mbegu zote unazozitoa bila mpangilio,
Kuna siku zitakurudia na kukutafuna..
How,? explain
 
Huyo amekaziwa papa au amekutana na mwanamke kauzu mwanamke hajui kunyonya koni hajui kucheza na koni hajui kumpa kile mwanaume anakitaka kunako 7×6 unategemea nini?
Kwamba hadi huyu Waziri alikosa wanawake wa kumpa mbunyi mpk akaamua kupiga puli sio?😄😄

Congolese Minister caught masturbating inside office fired​


ISAAC DACHEN

May 3, 2016 1:57 PM

A Minister in the Democratic Republic of Congo who was caught masturbating in the office has been fired.
The Congolese Minister masturbating in his office

The Congolese Minister masturbating in his office


The Deputy Minister of Post, Telecommunications and Information Technology in the Democratic Republic of Congo (DRC),​


According reports, Sebineza was caught pants down by a hidden camera, pulling his trouser down and giving himself ahand job till he ejaculated.

The 54-year-old Sebineza for many years assumed important responsibilities in the province of South Kivu, was caught in the four minutes and 27 seconds video, causing a great scandal with many calling on the president to sack him, something Kabila finally carried out reluctantly.

Sebineza was clearly seen as captured by a webcam sitting in his office with the official portrait of Kabila in the background and the flag of the country installed properly, get his penis out to masturbate, ejaculate, before cleaning up.
 
Kuna madocta wa mchongo hua wanadanganya eti tatizo la nguvu za kiume huletwa na Nyeto ni uzushi tu

Mimi nimeanza kupiga tangu mwaka 2002 na mpaka leo napiga na mademu napiga kama kawaida na sina mmoja ninao kama saba ambao nipo nao active.
Mlamba asali una uzoefu wa miaka 20 kwenye game
 
Nyeto sio nzuri wakuu. Mimi niliacha kwasababu kuna siku nilimwaga damu badala ya shahawa. Na siku nyingine nikiwa na demu ikatokea tena hiyo hali ya kumwaga damu badala ya shahawa. Nikaona tu hii kitu itanipoteza. Kama unaona huwezi kabisa kuacha jitahidi kabisa kupunguza. Ukipiga daily madhara yapo lakini kubwa zaidi ni kushindwa kusimamisha unapokutana na mwanamke. Au unaweza kusimamisha lakini ile ndo umeingiza kitu kinalala. Wanaosema kwamba mpiga nyeto anamwaga haraka ni waongo na hawajui wasemalo. Nyeto inasababisha mtu asimwage hata masaa kadhaa. Wakati fulani kwenye maisha yangu ya dhambi niliokota jimama sehemu kwa nia ya kupiga showtime lakini nilipiga ile kitu kwa masaa kadhaa. Hadi leo lile jimama nikikutana nalo haliwezi kunisahau.

Kama hujawahi kupiga nyeto usijaribu. Wapiga nyeto mpunguze. Wanaosema tafuta mwanamke ni wa kuwapuuza pia. TUSIMAME NA WALE WANAOSHAURI TUOE.
 
Back
Top Bottom