Nimeshindwa kuacha kujichua
Kingine Kusex na wanawake wengi ndo kuna hatari zaidi maana kusex na mwanamke kuna connection kubwa zaidi kirohoo
Itapigwa lock unachotachota tu madubwasha kila shimo huku unachota Gono huku unachota Syphilis kule unachota Pangusa kule unachota Kaswende mwisho Homa ya Ini hii hapa, piga nyeto Ila piga kwa kiasi sio unapiga km upo kwenye ligi ya wacheza draft unataka ufunge bao 24 kwa siku moja yaan kila saa unataka upige bao 1 hio sio nyeto ni matumizi mabaya ya raslimali mbegu,
 
Itapigwa lock unachotachota tu madubwasha kila shimo huku unachota Gono huku unachota Syphilis kule unachota Pangusa kule unachota Kaswende mwisho Homa ya Ini hii hapa, piga nyeto Ila piga kwa kiasi sio unapiga km upo kwenye ligi ya wacheza draft unataka ufunge bao 24 kwa siku moja yaan kila saa unataka upige bao 1 hio sio nyeto ni matumizi mabaya ya raslimali mbegu,
Nyeto atleast mara moja tu kwa wiki ikizidi sana mara mbili inakuwa Na vibe na mzuka kuliko ya kupiga kila siku
 
Nyeto atleast mara moja tu kwa wiki ikizidi sana mara mbili inakuwa Na vibe na mzuka kuliko ya kupiga kila siku
Mara moja kwa mwezi hio ndio afya na hapo km mchuchu yupo mbali na umeshindwa kuagiza Malaya aliekaribu nawe aje akufanyie delivery kinyume na hapo ndani ya wiki 4 iwe ni mara 1 inatosha piga endelea na mishe zingine maana kuacha ni issue nyingine, ukijilazimisha kuacha ndio siku unakuja unapiga mfululizo kufidia siku ulizokua ukijikamua kwamba acha niache unajikataza ukivuka barabara ukamuona mama amejazia matako anakatisha kachomelea tight mabastora km yote shanga zinaoneka na mistari ya chupi inaonekana dude linaanza kunyanyuka njia nzima kitu kinaita kinataka kutia
 
Ila ujue dawa zote za kuongeza nguvu za kiume zimepigwa marufuku.
Nani aliekwambia nguvu za kiume zinaongezwa kwa dawa? Na dawa za kuongeza nguvu za kike zipo wapi? Au haujui km wanawake wanapiga nyeto vibaya sana, haujui? Ukiingia chumba cha binti anaeishi single ukakuta kuna matango, maparachichi na karoti zimezagaazagaa, jiheshimu sana usiombe kula hayo matunda usiharibu vitendea kazi vyake hana uwezo wa kununua dildo, ushaelewa mkuu?
 
Kwann uwache mkuu sijasikia mtu amekufa kwa puli ila nimesikia mtu anakufa kwa maradhi ya ngono ila sio punyeto mkuu huna sababu ya kijilaumu ni njia sahihi ya kuokoa peas zako. Mkuu nikutie moyo haupo peke yako...hichi chama wanachama wake wengi ni wa sirini
 
Nyeto ni dalili kwamba huna majukumu huna kitu cha kujishughulisha na una tatizo kidogo kwenye akili.. tafuta kazi ufanye wekeza muda wako kufikiri mambo yenye tija punyeto sio mbaya ila inaharibu mfumo wa hisia leo unaweza sema ni sawa ila kesho haiwezi kuwa sawa sawa.
 
Nyeto ni dalili kwamba huna majukumu huna kitu cha kujishughulisha na una tatizo kidogo kwenye akili.. tafuta kazi ufanye wekeza muda wako kufikiri mambo yenye tija punyeto sio mbaya ila inaharibu mfumo wa hisia leo unaweza sema ni sawa ila kesho haiwezi kuwa sawa sawa.
Nilimtia mimba Kilimanjaro nikaenda Mbeya nikamtia mimba nikarudi Dar nikamtia mimba nikaenda Njombe nikamtia mimba Sumbawanga nilienda nikamtia mimba, na bado naendelea kutia mimba ni mimba mimba mimba, km haujaelewa uliza swali mkuu
 
Nilimtia mimba Kilimanjaro nikaenda Mbeya nikamtia mimba nikarudi Dar nikamtia mimba nikaenda Njombe nikamtia mimba Sumbawanga nilienda nikamtia mimba, na bado naendelea kutia mimba ni mimba mimba mimba, km haujaelewa uliza swali mkuu
Ujinga
 
Haina madhara kaka mim toka form 2 huko napiga na nikipata manz napiga vizu tu ..madhara nayoyaona kwangu tu huwa sina mzuka na real sex kivile ila mkuyenge uko fit as usual
Unakubali madhara wakati huohuo unasema haina madhara ?
 
Condoms zingekua haziuzwa na kugaiwa bure, kwa hio ushauri wako unamgawa dada yako bure kwa wapiga puli watokomeze ukame wao au?
Sio Kila kinachouzwa na kufanyiwa promo basi ndy hakina madhara.

Ushoga umeruhusiwa Kwa baadhi ya inchi duniani,

Je nao hauna madhara?

Hakuna dini ya Mungu yeyote inayokubali condoms au kumwaga nje.
Ile mikojo yako pekee imebeba roho ya viumbe kiroho.

Na hata kisayansi pia unapoteza nguvu nyingi pamoja na blood cells millions.

Ni vile tu huoni Kwa macho kile unachokipoteza.
 
Sio spiritual dawa ni kuoa mwanamke, kua na mwanamke au kua na jimama anaependa kupigwa mashine uwe unampelekea mashine kila unapojisikia kupiga puli yaan ukihisi kupiga unamsalandia hata km chini anavuja damu yupo kwenye siku zake basi akunyonye hata kwa mdomo wake ummwagie mbegu kiu ikate apart from that utapiga nyeto for the rest of your life, Mantak Chia sawa TAO
Huijui puli vzr,watu wanaacha wanawake zao kitandani na wanawapaga uno Kama lote anytime any day wanaenda zao kupiga puli bafuni.
 
Back
Top Bottom