Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,473
Kuna mengine muandikayo yanadhihirisha hivyo. Samahani sana kama umekwazika.HAKUNA aliedai kuwa wote tuliomo humu ni mbumbumbu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mengine muandikayo yanadhihirisha hivyo. Samahani sana kama umekwazika.HAKUNA aliedai kuwa wote tuliomo humu ni mbumbumbu.
Ulichokifanya sio uzalendo ni usaliti kwasababu ukweli unaujua, hizo hoja zako sii za kweli.....wandugu; kuna inquiry kutoka nje (mimi ni mwanachama kwenye forum fulani inayojihusisha na investments kwenye agribusiness na SMEs). Kuna potential investor ameniuliza maoni yangu - akinukuu alichosema Dangote miaka miwili iliyopita na kuhusu maneno yasemwayo na watawala wetu - kuhusu hali ya uwekezaji hapa nchini kwa sasa.
Nimemshauri asubiri angalau miaka 5 ijayo kunako majaaliwa tuone hali itakuwaje.
Mataga mnaruhusiwa kunitukana muwezavyo; LAKINI huo NDIO Ukweli halisi.
Kuna mengine muandikayo yanadhihirisha hivyo. Samahani sana kama umekwazika.
Ulichokifanya sio uzalendo ni usaliti.
P
Duuuh ktk hii picha mimi sijaelewa kabisa nini alimaanishaMtumie huu mchoro wa kipanya unaoonyesha hali halisi ya Tazania kwa sasa! View attachment 1375268
Ulichokifanya sio uzalendo ni usaliti kwasababu ukweli unaujua, hizo hoja zako sii za kweli.
Hata Dangote alianza kusema hivi
AFRICA's RICHEST MAN, ALIKO DANGOTE BLASTS MAGUFULI’S ECONOMIC POLICIES
Kisha akarekebisha akasema hivi
Dangote arekebisha kauli ya ‘Bulldozer’. Asema “It's OK, I have his mobile number, I can call him and he listens to me”
P
Ni kweli na wewe ukipata potential investors, mwambie uonavyo wewe!! Ila mimi nikimpata lazima niseme kama jamaa alivyomwambia wake.Huo ni ukweli kama wewe unavyouona ila si wote tunaona uonavyo.
hivi kipanya alimaanisha nini hapa?Mtumie huu mchoro wa kipanya unaoonyesha hali halisi ya Tazania kwa sasa! View attachment 1375268
Storms and heavy rains make mninga tree grow deeper rootsN
Ni kweli na wewe ukipata potential investors, mwambie uonavyo wewe!! Ila mimi nikimpata lazima niseme kama jamaa alivyomwambia wake.
Jehenamu!hivi kipanya alimaanisha nini hapa?
Anamaanisha TZ kwa sasa ni jehenamu!Duuuh ktk hii picha mimi sijaelewa kabisa nini alimaanisha