Nimeshindwa kusema uongo kwa kisingizio cha uzalendo

Nimeshindwa kusema uongo kwa kisingizio cha uzalendo

I thought as much. Kwa investor atakaeanza leo due dilligence atakayofanya ni makini zaidi kulinganisha huko nyuma.
Boss, it depends on how we view/perceive. Ila safari hii, kuna watu wanapiga hela kwenye hizo hizo agro-processing.
 
Boss, it depends on how we view/perceive. Ila safari hii, kuna watu wanapiga hela kwenye hizo hizo agro-processing.

I believe we are not reading from the same page. Hakuna mahali niliposema kuwa nilimwambia project sio viable. Hakuna mahali niliposema industry hiyo sio profitable.
 
Mfiaukweli,

Hongera sana kwani ww ndio mzalendo wa kweli. Usiwe mnafiki kwa kutoa sifa za uongo kisha ukamuingiza huyo mwekezaji matatizoni. Baada ya hii miaka mitano huenda akaja kiongozi anayejali sheria.
 
Kama kuna Kampuni ningewapea ushauri wa bure wafunge kabisa biashara TZ ni AIRTEL..Zile kodi wametozwa, gawio la tangu miaka ya 2000's, na bado wapatie GOT 50% hisa bure...

Ila wakurugenzi wa Airtel wanajua utamu wa soko la uhakika TZ, amani, miundo mbinu etc.

Ukishindwa kufanya biashara Tz, kama unatarajia kupanua biashara hadi china sahau sana...China wata copy bidhaa zako, waziunde wenyewe na wakufungie jela..Hakuna mahakama uhuru, na hawafuati maagizo ya international abitration / WTO.

Mtu apambane na hali yake sio kulia lia tu
 
Mfiaukweli,

Hongera sana kwani ww ndio mzalendo wa kweli. Usiwe mnafiki kwa kutoa sifa za uongo kisha ukamuingiza huyo mwekezaji matatizoni. Baada ya hii miaka mitano huenda akaja kiongozi anayejali sheria.

Nashukuru sana Mkuu.
 
Mimi sasa hivi mtu akiwa na kimbelembele cha kuja kuwekeza Tanzania namwambia tu Jiwe atakutoa kodi mpaka damu yako mwenyewe halafu atakuzingua biashara kusajiliwa tu mwaka mzima.

Kama una hamu na mateso kafanye biashara Tanzania.

Uzalendo my foot.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kiranga upo? Yesu anakupenda sana
 
Uzalendo ni km alichofanya Maalim Seif Leo? Dr. Smith yupo sahihi Asilimia 100 watu weusi Akili zetu azipo Sawa...
Ulichokifanya sio uzalendo ni usaliti kwasababu ukweli unaujua, hizo hoja zako sii za kweli.
Hata Dangote alianza kusema hivi
Dangote accuses ‘Bulldozer’ Tanzanian president of scaring away investors
Kisha akarekebisha akasema hivi
Dangote arekebisha kauli ya ‘Bulldozer’. Asema “It's OK, I have his mobile number, I can call him and he listens to me”

P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wandugu; kuna inquiry kutoka nje (mimi ni mwanachama kwenye forum fulani inayojihusisha na investments kwenye agribusiness na SMEs). Kuna potential investor ameniuliza maoni yangu - akinukuu alichosema Dangote miaka miwili iliyopita na kuhusu maneno yasemwayo na watawala wetu - kuhusu hali ya uwekezaji hapa nchini kwa sasa.

Anataka kuwekeza kwenye food processing. Nimeshindwa kumpa maneno matamu ili aje awekeze (kumbuka kuna uwezekano wa mimi binafsi kufaidika na yeye kuwekeza hapa). Nimempa facts zifuatazo:

1. Huwezi ku-predict sasa hivi kuwa serikali itafanya nini katika mazingira yeyote
2. TRA wanaweza kukudai kiwango chochote cha kodi watakayojisikia (na ili ukate rufaa ni lazima ulipie theluthi moja ya hicho walichokuambia kuwa wanakudai; na hata ukishinda rufaa hawarudishi ulicholipa).

Nimemshauri asubiri angalau miaka 5 ijayo kunako majaaliwa tuone hali itakuwaje.
Mataga mnaruhusiwa kunitukana muwezavyo; LAKINI huo NDIO Ukweli halisi.
Safi sana Mkuu
 
Back
Top Bottom