Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Majina huumba, Mfiaukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wandugu; kuna inquiry kutoka nje (mimi ni mwanachama kwenye forum fulani inayojihusisha na investments kwenye agribusiness na SMEs). Kuna potential investor ameniuliza maoni yangu - akinukuu alichosema Dangote miaka miwili iliyopita na kuhusu maneno yasemwayo na watawala wetu - kuhusu hali ya uwekezaji hapa nchini kwa sasa.
Anataka kuwekeza kwenye food processing. Nimeshindwa kumpa maneno matamu ili aje awekeze (kumbuka kuna uwezekano wa mimi binafsi kufaidika na yeye kuwekeza hapa). Nimempa facts zifuatazo:
1. Huwezi ku-predict sasa hivi kuwa serikali itafanya nini katika mazingira yeyote
2. TRA wanaweza kukudai kiwango chochote cha kodi watakayojisikia (na ili ukate rufaa ni lazima ulipie theluthi moja ya hicho walichokuambia kuwa wanakudai; na hata ukishinda rufaa hawarudishi ulicholipa).
Nimemshauri asubiri angalau miaka 5 ijayo kunako majaaliwa tuone hali itakuwaje.
Mataga mnaruhusiwa kunitukana muwezavyo; LAKINI huo NDIO Ukweli halisi.
King James Bible
And seek the peace of the city whither I have caused you to be carried away captives, and pray unto the LORD for it: for in the peace thereof shall ye have peace.
Christian Standard Bible
Pursue the well-being of the city I have deported you to. Pray to the LORD on its behalf, for when it thrives, you will thrive."
Contemporary English Version
Pray for peace in Babylonia and work hard to make it prosperous. The more successful that nation is, the better off you will be.
Jer 29:7
Nimependa neno "work hard"... kuna mambo mengine yanaweza yasiwe smooth hao wanaokwamisha au kuchelewesha mwisho wa mwezi wana mshahara, na at 60 years wana uhakika na kiinua mgongo.
So far, mimi na wewe ambao kweli tuna nia ya kutoka, ugumu na vikwazo vya sheria iko haja kutafuta suluhisho jambo lifanyike ndani nawe ukiwa mfaidika wa mchakato.
Ni wakati huuhuu kuna makaburu wanaitwa "Silverlands" wanauza vifaranga na vyakula vya kuku, kwa sasa msimu huu wa JPM; they are the leading chicken feed manufacturer in Tz.
Sasa mwenzetu, sijui ni angle ipo umekwama na sidhani you should put tools down. Sio sawa.
Mtumie huu mchoro wa kipanya unaoonyesha hali halisi ya Tazania kwa sasa! View attachment 1375268
Huu mchoro unamaanisha kuwa TZ sasa hivi ni kama jehenamu!Kwenye huo mchoro kuna features nyingi za ajabu ajabu, mojawapo ni yule sijui farasi anamlawiti twiga.... ni nini hiki lakini..?
Ukifuata sheria, taratibu na kanuni za kikodi, huko wala hufiki.Kwamba si kweli kuwa Dangote alisema alichosema mwanzo (na kumbuka si mimi niliemnukuu Dangote bali ni huyo potential investor - na alinukuu matamko ya watawala pia, remember?) au si kweli kuwa ili ukate rufaa ya kodi ni LAZIMA ulipe theluthi ya ulichodaiwa?
PS: Najua kuwa sheria inasema unaweza kumuomba Kamishna Mkuu akusamehe kulipa hiyo one third; ila sijawahi kukutana na mtu aliekubaliwa so far.
Najua kuwa kuna wengine mmeamua kubuni "ukweli" wenu wenyewe na mnauamini. Bahati mbaya kwenu; investors' confidence haitokani na imagination but hard facts. Na baadhi yake ndizo hizo nilizozianisha. Sasa wewe na wenzio njooni na ushahidi kuthibitisha kuwa nilichokiandika si kweli.
Kwenye risks analysis umefanya sawa. lla kwa mtu yeyote anasoma recommendation hawa anachukua kama conclusive information/counsel.Sijamwambia asije, remember? Nilichofanya ni kumwambia risks zilizopo kwenye maeneo niliyoyataja. Ni ukweli kuwa yapo, na kwangu mimi sioni kuwa ni sahihi kumficha. Ni bora kumwambia ukweli ili aamue atakachoamua.
Kwangu mimk ni heri kukosa pesa kuliko credibility.
Hata Wewe yapo uandikayo yanayodhihirisha umbumbumbu wako kwa watu wengine ?Kuna mengine muandikayo yanadhihirisha hivyo. Samahani sana kama umekwazika.
Kwenye risks analysis umefanya sawa. lla kwa mtu yeyote anasoma recommendation hawa anachukua kama conclusive information/counsel.
Sijui swot analysis yako ikoje na wala sihitaji kuifahamu. Ila ndiyo kama nilivyokueleza, kwa mfano hai, kuna kaburu katoka South anashrikiana na Waingereza kunzisha mradi wa kuku. Washajua population growth haina uwiano na uzalishaji wa kuku iwe wa kienyeji, layers au bowlers.Jamaa wanatuuzia vifaranga, wanauza animali feeds, net profit flows back to parent company.
Tungekuwa na sera na mikakati nyumbulifu, Benki ya kilimo, TRA, Wizara ya Biashara na Wizara ya ajira walitakiwa kukaa na wewe ili kuona longterm benefits za kwanini uwekezaji huo uje hapa.
Tanzania, Tanzania nakupenda kwa moyo wote
Huoni kuwa wangepata ajira?
Kwani hawa waliopo wanajiendeshaje? Au wao hawakuambiwa ukweli... Na mbona bado wapo hawaondoki kama hali ni mbaya kiasi hicho?
Hakuna asiye na umbumbumbu kwa kiasi fulani. Kwa hiyo ninakiri kuwa mimi ni mbumbumbu, wewe jee???Hata Wewe yapo uandikayo yanayodhihirisha umbumbumbu wako kwa watu wengine ?
Nimetoka kuangalia clip ya mmiliki wa kilimanjaro hotel, kama ni kweli, inasikitisha sana.
Mtoa hoja mwenyewe hujielewi. Umeleta riwaya dumavu isiyo na mashiko. Ukweli unaambatana na takwimu na ushahidi kutoka vyanzo aminika( Credible sources). Mtapata taabu sana.
Ongeza:Wandugu; kuna inquiry kutoka nje (mimi ni mwanachama kwenye forum fulani inayojihusisha na investments kwenye agribusiness na SMEs). Kuna potential investor ameniuliza maoni yangu - akinukuu alichosema Dangote miaka miwili iliyopita na kuhusu maneno yasemwayo na watawala wetu - kuhusu hali ya uwekezaji hapa nchini kwa sasa.
Anataka kuwekeza kwenye food processing. Nimeshindwa kumpa maneno matamu ili aje awekeze (kumbuka kuna uwezekano wa mimi binafsi kufaidika na yeye kuwekeza hapa). Nimempa facts zifuatazo:
1. Huwezi ku-predict sasa hivi kuwa serikali itafanya nini katika mazingira yeyote
2. TRA wanaweza kukudai kiwango chochote cha kodi watakayojisikia (na ili ukate rufaa ni lazima ulipie theluthi moja ya hicho walichokuambia kuwa wanakudai; na hata ukishinda rufaa hawarudishi ulicholipa).
Nimemshauri asubiri angalau miaka 5 ijayo kunako majaaliwa tuone hali itakuwaje.
Mataga mnaruhusiwa kunitukana muwezavyo; LAKINI huo NDIO Ukweli halisi.
Hapana hajasherehekea, ndio kwanza amesikitika ila hakuwa na namna.Watu mumekosa uzalendo hadi mnawadanganya investors wasije kuwekeza, uzuri investors wanazidi kuja na huwa hawategemei taarifa za mtu mmoja, atakuuliza wewe na aende kuthibitisha kwa mwingine, hivyo ukikaa unsheherekea kwamba umeikomoa Tanzania, unashangaa huyo huyo muwekezaji ametangaza kutinga nchini.
Hapana hajasherehekea, ndio kwanza amesikitika ila hakuwa na namna.
Sent using Jamii Forums mobile app