Nimeshindwa kusema uongo kwa kisingizio cha uzalendo

Nimeshindwa kusema uongo kwa kisingizio cha uzalendo

Mleta hoja sijui kama ni mkweli au kama kafanya fundings hasa kwenye agro-processing sijui ni eneo gani hasa ambalo ulikusudia kuwekeza.

Well, 5 years kusubiri usitegemee mwekezaji huyo atasubiri 5 years kama ulivyomshauri. Fedha ikiwa mfukoni lazima atafute eneo jingine (nchi nyingine) ya kuwekeza ili apate faida.

Congo hali ya usalama sio shwari ukilinganisha na Tz. Hali ya usalama Nigeria hata baadhi ya maeneo Kenya, sio shwari yet kuna uwekezaji mkubwa sana.
Basically wakati wa JK, NEMC walikuwa na nguvu sana (sio ya kukakugua isipokuwa urasimu tu), bila certificate yao ya tathmini ya mazingine (EIA) yet wawekezaji walikuwepo.
Nadhani hujafanya findings za kutosha maana kwa sasa mchakato wa uwekezaji red tapes zimepungua unlike kule nyuma.
Japo, tuna haja ya kukubaliana, kuna baadhi ya wafanyakazi wa serikali mpaka sasa bado ni miungu watu. Its very frustrating jambo ambalo laweza kufanya in less than 24 hours linachukua siku 3 mpaka wiki.

Cha mwisho, kwanini hukuanzia TIC ili kupata tax incentive certificate?? Maana kuna issues ukianzia TIC mchakato wake unakuwa ahueni hasa kwenye masuala ya kodi.

F
Tatizo lipo kwenye unpredictability of the current administration, that scares investors

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huoni kuwa wangepata ajira?
Kwani hawa waliopo wanajiendeshaje? Au wao hawakuambiwa ukweli... Na mbona bado wapo hawaondoki kama hali ni mbaya kiasi hicho?
Si wajiajiri wenyewe? Au kama vipi, serikali ya VIWANDA iwape ajira. Kwa nini tuendelee kutegemea handout za Mabeberu?
 
Miaka yangu 20 kwenye ajira nimefanya na wewekezaji na kwa sehemu ndogo serikalini kupitia taasisi zake.... Ni lazima kuwa wakweli pamoja na nia ya dhati ya kubana mianya ya rushwa lakini kuna mahali tumekosea hasa kwenye usajili wa biashara na kupata viambata muhimu na eneo zima la Kodi
Kuna utiriri wa nyaraka, kuna utiriri wa kodi kuna utiriri wa michakato ambayo mingine inaingiliana... Kwa mfano USALAMA kazini kuna vitengo vitatu vinafanya kitu kinachofanana OSHA, FIRE na NEMC...
Ukifungua Hotel leo hii kuna kodi zisizopungua 33
Ukiwa na kampuni yako ya uzalishaji watakuja
NEMC
FIRE
OSHA
MUNICIPAL
TMDA
TRA
NSSF
TUICO
nknk

Jr[emoji769]
Ahsante sana kwa ufafanuzi murua. UKWELI ndio utatupeleka mbele, sio UNAFIKI
 
Ulichokifanya sio uzalendo ni usaliti kwasababu ukweli unaujua, hizo hoja zako sii za kweli.
Hata Dangote alianza kusema hivi
Dangote accuses ‘Bulldozer’ Tanzanian president of scaring away investors
Kisha akarekebisha akasema hivi
Dangote arekebisha kauli ya ‘Bulldozer’. Asema “It's OK, I have his mobile number, I can call him and he listens to me”

P
Huyo ndio MZALENDO wa kweli. Anawaamsha wadau wachape kazi kurekebisha makosa na kuboresha utendaji. Ngonjera za kujisifu hazitufikishi popote.
 
Nasikitika kwa kutoelewa nilicho andika ila nafarijika sana kufahamu humu jamvini kuna wengi wameelewa.
'To keep silent when you can say something wise and useful is as bad as keeping on propagating foolish and unwise thoughts'
Nimejikita kwenye si wote tuonavyo uonavyo, ungejisemea wewe binafsi kwani JF of GT kila mtu anatakiwa ajisemee aonavyo yeye na si kuwasemea wengine.
 
Nimejikita kwenye si wote tuonavyo uonavyo, ungejisemea wewe binafsi kwani JF of GT kila mtu anatakiwa ajisemee aonavyo yeye na si kuwasemea wengine.
Una uhakika gani kuwa ni wote???? Acha malumbano ya kitoto ndugu yangu
 
Wandugu; kuna inquiry kutoka nje (mimi ni mwanachama kwenye forum fulani inayojihusisha na investments kwenye agribusiness na SMEs). Kuna potential investor ameniuliza maoni yangu - akinukuu alichosema Dangote miaka miwili iliyopita na kuhusu maneno yasemwayo na watawala wetu - kuhusu hali ya uwekezaji hapa nchini kwa sasa.

Anataka kuwekeza kwenye food processing. Nimeshindwa kumpa maneno matamu ili aje awekeze (kumbuka kuna uwezekano wa mimi binafsi kufaidika na yeye kuwekeza hapa). Nimempa facts zifuatazo:

1. Huwezi ku-predict sasa hivi kuwa serikali itafanya nini katika mazingira yeyote
2. TRA wanaweza kukudai kiwango chochote cha kodi watakayojisikia (na ili ukate rufaa ni lazima ulipie theluthi moja ya hicho walichokuambia kuwa wanakudai; na hata ukishinda rufaa hawarudishi ulicholipa).

Nimemshauri asubiri angalau miaka 5 ijayo kunako majaaliwa tuone hali itakuwaje.
Mataga mnaruhusiwa kunitukana muwezavyo; LAKINI huo NDIO Ukweli halisi.
Ni taasisi gani iyo? na Mimi uniunganishe nao nikawaeleze ukweli wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejali manufaa yako binafsi.
Wewe ni mbinafsi.
Wandugu; kuna inquiry kutoka nje (mimi ni mwanachama kwenye forum fulani inayojihusisha na investments kwenye agribusiness na SMEs). Kuna potential investor ameniuliza maoni yangu - akinukuu alichosema Dangote miaka miwili iliyopita na kuhusu maneno yasemwayo na watawala wetu - kuhusu hali ya uwekezaji hapa nchini kwa sasa.

Anataka kuwekeza kwenye food processing. Nimeshindwa kumpa maneno matamu ili aje awekeze (kumbuka kuna uwezekano wa mimi binafsi kufaidika na yeye kuwekeza hapa). Nimempa facts zifuatazo:

1. Huwezi ku-predict sasa hivi kuwa serikali itafanya nini katika mazingira yeyote
2. TRA wanaweza kukudai kiwango chochote cha kodi watakayojisikia (na ili ukate rufaa ni lazima ulipie theluthi moja ya hicho walichokuambia kuwa wanakudai; na hata ukishinda rufaa hawarudishi ulicholipa).

Nimemshauri asubiri angalau miaka 5 ijayo kunako majaaliwa tuone hali itakuwaje.
Mataga mnaruhusiwa kunitukana muwezavyo; LAKINI huo NDIO Ukweli halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
 
Umemwambia Vizuri.. Tanzania ipo kwenye madiliko ya kiuchumi, kukwepa kodi, kuendesha biashara kihuni kuhuni itamgharimu sana..Ila mwanabiashara atakeye fuata mfumo huu mpya akivumilia makali ya mabadiliko ya ki ghafla ataliteka soko nzima la Tz.
Soko la uhakika lipo, nguvu kazi ipo, miundo mbinu ipo, amani na usalama upo..Mwekezaji aliye na akili, weledi na ujasiri ana pima kila kitu sio kuingiza wasi wasi..$2.5m ni pesa ndogo sana, wenzake wanawekeza mabilioni
 
Huoni kuwa wangepata ajira?
Kwani hawa waliopo wanajiendeshaje? Au wao hawakuambiwa ukweli... Na mbona bado wapo hawaondoki kama hali ni mbaya kiasi hicho?

Tafuta mtu wa TRA akueleze ni biashara ngapi zinafungwa sasa hivi ukilinganisha na zinazofunguliwa. Binafsi mwaka huu nime-process business closure 3. Na wote ni foreigners.
Nakutajia biashara zilizofungwa barabara moja - tena ya nje ya mji - ya Nelson Mandela kuanzia round-about ya Impala kuelekea Moshono (nitaishia Chekereni):

1. Impala Hotel
2. Kijenge Animal Products (well, ipo chini ya administrator lakini haina miezi miwili kuanzia sasa itakuwa imeshafungwa rasmi)
3. Serengeti Fresh (walikuwa wananunua french beans kutoka kwa wakulima wadogo na kufanya parking kwa ajili ya processing)
4. Finlays (biashara yao ilikuwa sawa na Serengeti Fresh), ila wao walikuwa na shamba na packaging plants
5. Arusha Blooms, walikuwa wanalima french beans na ku-export.

Kwa pamoja hizo kampuni zilikuwa zimeajili over 1,000 employees.
 
Huo mradi ulianza lini? Hapa Arusha kuna kampuni imewekeza USD 5m kwenye uzalishaji wa mbegu,na ujenzi unakaribia kwisha. Ila commitment ya mradi ni ya 2014. Siamini kuwa wangekuwa wanafanya feasibility study ya huo mradi leo wangefanya maamuzi hayo waliyoyafanya 2014.
Nilikutana na one of the managers 2 years ago ndiyo akanipa maelezo.
..."At the beginning of 2017, new infrastructure for feed production and raw material storage was commissioned. The new fully computerised feed mill can produce 40 metric tonnes of quality chicken feed per hour. Together with the increased storage capacity of 32 000 metric tonnes, we now operate one of the largest feed production plants in Eastern Africa."... toka kwenye website yao. Tanzania wameingia 2014 ila expansion ya miundombinu ilikuwa 2017.

Wanalipa soyabeans Iringa wananunua mahindi kwa bei ya kutupa.

About Us | Silverlands
Jihabarishe hapo juu kwenye tovuti yao

Bado naona mambo kama haya sio rocket sc. Kuna pahala kwenye Investment strategy sio Policy (tunakwama)

Economic war inakuwa won by strategy.
 
Nilikutana na one of the managers 2 years ago ndiyo akanipa maelezo.
..."At the beginning of 2017, new infrastructure for feed production and raw material storage was commissioned. The new fully computerised feed mill can produce 40 metric tonnes of quality chicken feed per hour. Together with the increased storage capacity of 32 000 metric tonnes, we now operate one of the largest feed production plants in Eastern Africa."... toka kwenye website yao. Tanzania wameingia 2014 ila expansion ya miundombinu ilikuwa 2017.

Wanalipa soyabeans Iringa wananunua mahindi kwa bei ya kutupa.

About Us | Silverlands
Jihabarishe hapo juu kwenye tovuti yao

Bado naona mambo kama haya sio rocket sc. Kuna pahala kwenye Investment strategy sio Policy (tunakwama)

Economic war inakuwa won by strategy.

I thought as much. Kwa investor atakaeanza leo due dilligence atakayofanya ni makini zaidi kulinganisha huko nyuma.
 
Tatizo lipo kwenye unpredictability of the current administration, that scares investors

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anaemsema mdau amekuwa scared. Ila .... pitia hapa About Us | Silverlands
...At the beginning of 2017, new infrastructure for feed production and raw material storage was commissioned. The new fully computerised feed mill can produce 40 metric tonnes of quality chicken feed per hour. Together with the increased storage capacity of 32 000 metric tonnes, we now operate one of the largest feed production plants in Eastern Africa...

Tanzania is still very virgin kwenye investment initiatives hasa kwenye agro-processing.

Mwaka jana hapa bongo, Mo alifungua plant ya kusingika ngano. Mo pamoja na sintofahamu alizopitia, bado anakomaa kuwekeza.
Bongo is stil very virgin wadau. Basi; kuna shida hasa kwa start-up kupata investment financing. Ila fika Iringa (Mufindi) kuna "mabeberu" wamewekeza, wanakula kiulainiii porini huko. Nchii hii, ahh basi tu.
 
Back
Top Bottom