Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,479
- 2,877
Boss, it depends on how we view/perceive. Ila safari hii, kuna watu wanapiga hela kwenye hizo hizo agro-processing.I thought as much. Kwa investor atakaeanza leo due dilligence atakayofanya ni makini zaidi kulinganisha huko nyuma.
Boss, it depends on how we view/perceive. Ila safari hii, kuna watu wanapiga hela kwenye hizo hizo agro-processing.
Shida nini? Kama walikuwa wanakwepa kodi huko nyuma sasa mambo hayo hayapo unadhani wataendelea?
Nipe wimbo wa kukaririNaomba usikariri wimbo wa kukwepa kulipa kodi. Biashara haiwezi kufa kwa kulipa kodi ambayo ni justifiable.
Mimi sasa hivi mtu akiwa na kimbelembele cha kuja kuwekeza Tanzania namwambia tu Jiwe atakutoa kodi mpaka damu yako mwenyewe halafu atakuzingua biashara kusajiliwa tu mwaka mzima.Thank you kind sir.
Potelea mbali. SIWEZI kupoteza credibility yangu huku najiona.
Mfiaukweli,
Hongera sana kwani ww ndio mzalendo wa kweli. Usiwe mnafiki kwa kutoa sifa za uongo kisha ukamuingiza huyo mwekezaji matatizoni. Baada ya hii miaka mitano huenda akaja kiongozi anayejali sheria.
Mimi sasa hivi mtu akiwa na kimbelembele cha kuja kuwekeza Tanzania namwambia tu Jiwe atakutoa kodi mpaka damu yako mwenyewe halafu atakuzingua biashara kusajiliwa tu mwaka mzima.
Kama una hamu na mateso kafanye biashara Tanzania.
Uzalendo my foot.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thibitisha.Kiranga upo? Yesu anakupenda sana
Huyu ni msalitiHongera kwa kuwabania watz wenzako riziki
Huyu ni msalitiHongera kwa kuwabania watz wenzako riziki
Ulichokifanya sio uzalendo ni usaliti kwasababu ukweli unaujua, hizo hoja zako sii za kweli.
Hata Dangote alianza kusema hivi
Dangote accuses ‘Bulldozer’ Tanzanian president of scaring away investors
Kisha akarekebisha akasema hivi
Dangote arekebisha kauli ya ‘Bulldozer’. Asema “It's OK, I have his mobile number, I can call him and he listens to me”
P
Safi sana MkuuWandugu; kuna inquiry kutoka nje (mimi ni mwanachama kwenye forum fulani inayojihusisha na investments kwenye agribusiness na SMEs). Kuna potential investor ameniuliza maoni yangu - akinukuu alichosema Dangote miaka miwili iliyopita na kuhusu maneno yasemwayo na watawala wetu - kuhusu hali ya uwekezaji hapa nchini kwa sasa.
Anataka kuwekeza kwenye food processing. Nimeshindwa kumpa maneno matamu ili aje awekeze (kumbuka kuna uwezekano wa mimi binafsi kufaidika na yeye kuwekeza hapa). Nimempa facts zifuatazo:
1. Huwezi ku-predict sasa hivi kuwa serikali itafanya nini katika mazingira yeyote
2. TRA wanaweza kukudai kiwango chochote cha kodi watakayojisikia (na ili ukate rufaa ni lazima ulipie theluthi moja ya hicho walichokuambia kuwa wanakudai; na hata ukishinda rufaa hawarudishi ulicholipa).
Nimemshauri asubiri angalau miaka 5 ijayo kunako majaaliwa tuone hali itakuwaje.
Mataga mnaruhusiwa kunitukana muwezavyo; LAKINI huo NDIO Ukweli halisi.