Nimeshindwa kuvumilia, naomba msaada wenu jinsi ya kuachana na mzazi mwenzangu

Unataka ukimbie majukumu. Baba sio jina la ubatizo baba ni majukumu.
Mkiwakimbia wakifanikiwa mnaanza oo huyu ni mtoto wangu hanitunzi we ulimtunza. Upendo unajengwa hauoti tu kama magugu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app

Kama umemuelewa "Anatafuta njia ya kutekeleza majukumu yake bila kuonana na huyo mwanamke"

Mtoto ake anamtaka ila mke hamtaki.

ANZIA HAPO...

#YNWA
 
Umedandia boti ya vibwengo
 
Nina amini dini uliyonayo inafudisha kuwa zinaa ni dhambi,na hakuna dhambi isiyo na concequences,hayo unayoyapata ni madhara ya hiyo zinaa,yani umetembea tu na mwanamke kwa nia ya kufanya starehe na siyo kwamba ulikuwa unampenda,mwisho wa siku mimba imeingia unaanza kupiga kelele,sina kingine cha kukushauri,kifupi unalolipitia unalistahili...
 
Aisee nimekubali, unaweza kujitunza, ukawa smart katika Kila ufanyalo ila ukaja kujaa sehemu ya kifala sana.
Yes mkuu hapo umejaa kwa hio huo mzigo ni wako ushajitwisha anza na moja mlianzia wapi ili ujue njia ya kurudia

Kingine mwambie mambo ya shiriki aache au apunguze kabisa, hana dini? Au ana abudu uchawi tu? Haamini uwepo wa Mungu?

Kwa kua ushamgundua kua yeye ni chizi fresh nenda nae polepole usibadirike haraka fanya maamuzi polepole maana machizi fresh ukiwabadirikia haraka hua wanashtuka sana maana wao hua wana picha zao za mtiririko wa matukio yako, yaan yeye anajua nikifanya hivi kinachofuata ni hiki

Ushaelewa?
 
Sasa ttz liko wapi kikubwa hauishi nae nyumba moja endelea na mambo yako uwe unamtumia matumizi tu au shd kipi?
 
Ohoooooo!! Hapo umezaa nae tu anataka kukupelekesha hivo!!!!
Umejaribu kukaa nae chini mkayajadili ???
 
Ohoooooo!! Hapo umezaa nae tu anataka kukupelekesha hivo!!!!
Umejaribu kukaa nae chini mkayajadili ???
Nishakaa nae chini zaidi ya Mara tatu mkuu. Ni kwamba ana jeuri kubwa sana na hakutegemea Kama naweza kutengana nae. Alifanya yote hayo kunikomoa mpaka kuacha kujihudumia kuanzia Pichu mpaka Kila kitu ilihali anafanya kazi.
 
Sasa ttz liko wapi kikubwa hauishi nae nyumba moja endelea na mambo yako uwe unamtumia matumizi tu au shd kipi?
Nimefanya hivi tangu mimba ikiwa na miezi minne mpaka Sasa. Ila Sasa naona kabisa mtoto wangu atakuwa katika malezi mabovu mikononi mwa huyu mama.
 
Nashukuru sana mkuu. Ubarikiwe sana.
 
Nishakaa nae chini zaidi ya Mara tatu mkuu. Ni kwamba ana jeuri kubwa sana na hakutegemea Kama naweza kutengana nae. Alifanya yote hayo kunikomoa mpaka kuacha kujihudumia kuanzia Pichu mpaka Kila kitu ilihali anafanya kazi.
Sasa huyo ameshaona amekupanda kichwani Ndiomana!
Kama hataki kubadilika yanini kuendelea kuishi na mtu asiekupa amani?? Mtu asiyeona wala kujali msaada anaopewa ilhali ana kazi yake??

Yaeza kuwa kuna pahala unamlegezea sana anza kumkazia akili itamkaa sawa na anaeza kujirudi au kubadilika!!
 
Huyo anakufanyia vituko kwa kuwa yuko frustrated tu. Anataka umuoe. Kwanini umemzalisha halafu unataka kumuacha? Kuna dots zinamiss kwenye hii story yako.
 
Jaribu kuongea naye kwa kina maana kifuatacho ni ongezeko la Single Mother.
 
yaani wewe unatakiwa uhasiwe....sex is responsibility. Ulidhani ni starehe tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…