Nimeshindwa kuvumilia, naomba msaada wenu jinsi ya kuachana na mzazi mwenzangu

Nimeshindwa kuvumilia, naomba msaada wenu jinsi ya kuachana na mzazi mwenzangu

Aisee sijui alijenga huyu mtu? Kuanzia mwezi Jana tareh Kama 10 mpaka juzi tarehe 9 mwezi huu nilivyokwenda kuchungulia acc kidogo nizimie.
Kidogo uzimie ilikuaje mkuu ulikuta kafanya usafi kwenye account yaan kafagia kila kilichokuepo humo kwenye account ?😂😂😂
 
Habarini za asubuhi waungwana.

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.

Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.

Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.

Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.

NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.

Ahsanteni.
Huyu hapa mpuuzi mwingine anataka kutuletea panyaroad!!
 
Kidogo uzimie ilikuaje mkuu ulikuta kafanya usafi kwenye account yaan kafagia kila kilichokuepo humo kwenye account ?😂😂😂
Ni majonzi matupu, mpaka unajiuliza alikuwa ananunua Nini hasa.
 
Duh! Ulimpa hadi card ya bank aisee
Ndio mkuu, ni acc ya pembeni ambayo sikuwa hata na mishe nayo sana ila Sasa alichokifanya humo Mungu pekee anaweza kuwa shahidi. Nikitaja kiasi alichotumia ndani ya hizo siku(Kama mwezi) hakuna binadamu anaweza kuamini kirahisi.

Nadhani atakuwa kafanya kitu Cha maana kwa Siri coz nimekuta alikuwa anatoa hela Kila siku, sometimes Mara mbili mpaka tatu Kwa siku Moja.
 
Ndio mkuu, ni acc ya pembeni ambayo sikuwa hata na mishe nayo sana ila Sasa alichokifanya humo Mungu pekee anaweza kuwa shahidi. Nikitaja kiasi alichotumia ndani ya hizo siku(Kama mwezi) hakuna binadamu anaweza kuamini kirahisi.

Nadhani atakuwa kafanya kitu Cha maana kwa Siri coz nimekuta alikuwa anatoa hela Kila siku, sometimes Mara mbili mpaka tatu Kwa siku Moja.
Kaona una pesa anafanya kusudi, hebu m cut off kwanza kidg, nyonga matumizi usimpe pesa
 
Ni majonzi matupu, mpaka unajiuliza alikuwa ananunua Nini hasa.
Hao ndio wanawake,

Kwa hio ndio hivyo mkuu wewe ulishayavulia nguo maji sasa endelea kuyaoga hakuna namna hio ngoma ni yako ushaianika juani acha iendelee kuwamba

Naweka kalamu chini...
 
Ndio mkuu, ni acc ya pembeni ambayo sikuwa hata na mishe nayo sana ila Sasa alichokifanya humo Mungu pekee anaweza kuwa shahidi. Nikitaja kiasi alichotumia ndani ya hizo siku(Kama mwezi) hakuna binadamu anaweza kuamini kirahisi.

Nadhani atakuwa kafanya kitu Cha maana kwa Siri coz nimekuta alikuwa anatoa hela Kila siku, sometimes Mara mbili mpaka tatu Kwa siku Moja.
Unatoa lecture mkuu usimpe hata password
 
Leta majibu haya kisha nikupe way forward:
1. UNAMPENDA? kwa moyo wako na unadhani uko tayari kuishi naye?

2.Una uhakika na hayo mambo ya kilozi/uganga uliyosema?

3.Mmewahi kuongea kwa uwazi nini hasa tatizo maana isije ikawa mtoto wa watu anakupenda hadi hawezi kuishi bila wewe?

4.Wakati mnaanza uhusiano plan zako zilizkua ni zipi?

5. Iwe mvua au jua kama mtoto ni wako angalia namna nzuri ya kutoa matunzo .

Kila la heri
Nashukuru Dana mkuu.
1. Sipo tayari kuishi nae na hili tulishawekana wazi tangu tunaanza haya mahusiano.

2. Nina uhakika nayo kwa asilimia 100
3. Nilimuuliza kwanini anaenda kwa waganga akajibu Kama ifuatavyo, "niliona hutaki kuja kwangu kazi imekuwa kutuma pesa na matumizi Kama Mimi housemaid wako, nikaamua kwenda kuangalia tatizo ni nini. Nikagundua una mke na watoto wawili umempangishia Mwanza. Kwahiyo muda mwingi unaenda kwa huyo mkeo kwangu hutaki kuja, hata Kama hunioi huwezi kunidharau kiasi hiki"

4. Kwakweli sikuwa na plani yoyote mkuu ikitokea tu Kama bahati(nzuri/mbaya). Tulikutana semina.

5. Mtoto ni wangu.
 
Huyu mdada kipindu amebeba mimba, alisitisha huduma zote alizokuwa akijihudumia na kusema nimhudumie Mimi coz nimempa mimba, nikakubali. Akahama alikuwa amepanga(vyumba viwili na sebure) akahamia nyumba mzima, Kodi kwangu, nikakubali. Akalazimisha nitoke kazini nikaishi nae au nihakikishe Kila baada ya wiki naenda kumuona kitu ambacho hakiwezekani Kwa mazingira ya kazi yangu. Hapo ndipo mtiti uliopoanza.

Akaanza kwenda Kwa waganga usiku na mchana. Huko akaambiwa Mimi Nina mke na watoto wawili ndio maana siendi kwake muda mwingi nipo Kwa hiyo mke wangu(kifupi Mimi sijawahi kuoa na hiyo mtoto wake ndio mtoto wangu wa kwanza).

Ikafika kipindi akahamia kabisa Kwa huyo sijui ndo ostadh sijui vitu gani Kila siku ni kupigwa Dua ili nirudishe mapenzi kwake niachane na huyo anaedai ni mke wangu. Kwangu nikawa nachukulia Kama ujinga flan tu. Mambo ni mengi mkuu.
Huyu dada kiumri atakua bado mdogo
Pili anaendeshwa na mtu au kikundi cha watu wanaomshawishi afanye hayo anayoyafanya kwa kujazwa ujinga
Yaweza kua ana mapenz ya dhati na wewe ila peer presha nazo zinachangia kumfanya awe hivyo alivyo
Kwa ustawi wa mtoto kama unaweza kamuhamishe huko anakoishi maana

Sent from my ANE-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Hao ndio wanawake,

Kwa hio ndio hivyo mkuu wewe ulishayavulia nguo maji sasa endelea kuyaoga hakuna namna hio ngoma ni yako ushaianika juani acha iendelee kuwamba

Naweka kalamu chini...
Nashukuru sana boss kwa muda wako. Siku nikifanikiwa kupata jibu la kudumu nitakujulisha.
 
Huyu dada kiumri atakua bado mdogo
Pili anaendeshwa na mtu au kikundi cha watu wanaomshawishi afanye hayo anayoyafanya kwa kujazwa ujinga
Yaweza kua ana mapenz ya dhati na wewe ila peer presha nazo zinachangia kumfanya awe hivyo alivyo
Kwa ustawi wa mtoto kama unaweza kamuhamishe huko anakoishi maana

Sent from my ANE-LX2 using JamiiForums mobile app
Kiumri ni 23, pia Hilo la kikundi Cha watu amewahi kunigusia staff mwenzie kwamba Kuna watu wanamjaza aolewe na Mimi kwa gharama yoyote.
 
Habarini za asubuhi waungwana.

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.

Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.

Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.

Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.

NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.

Ahsanteni.
Wewe ke au me, na kuacha mke,? achana nae
 
Habarini za asubuhi waungwana.

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.

Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.

Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.

Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.

NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.

Ahsanteni.
Wewe ke au me? achana nae fast kimbia nduki nene
 
Back
Top Bottom