Kidogo uzimie ilikuaje mkuu ulikuta kafanya usafi kwenye account yaan kafagia kila kilichokuepo humo kwenye account ?πππAisee sijui alijenga huyu mtu? Kuanzia mwezi Jana tareh Kama 10 mpaka juzi tarehe 9 mwezi huu nilivyokwenda kuchungulia acc kidogo nizimie.
Nimefanya hivi tangu mimba ikiwa na miezi minne mpaka Sasa. Ila Sasa naona kabisa mtoto wangu atakuwa katika malezi mabovu mikononi mwa huyu mama.
Kwa wengiHiyo iko akilini mwako tu.
Huyu hapa mpuuzi mwingine anataka kutuletea panyaroad!!Habarini za asubuhi waungwana.
Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.
Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.
Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.
Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.
NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.
Ahsanteni.
Ndio mkuu, ni acc ya pembeni ambayo sikuwa hata na mishe nayo sana ila Sasa alichokifanya humo Mungu pekee anaweza kuwa shahidi. Nikitaja kiasi alichotumia ndani ya hizo siku(Kama mwezi) hakuna binadamu anaweza kuamini kirahisi.Duh! Ulimpa hadi card ya bank aisee
Kaona una pesa anafanya kusudi, hebu m cut off kwanza kidg, nyonga matumizi usimpe pesaNdio mkuu, ni acc ya pembeni ambayo sikuwa hata na mishe nayo sana ila Sasa alichokifanya humo Mungu pekee anaweza kuwa shahidi. Nikitaja kiasi alichotumia ndani ya hizo siku(Kama mwezi) hakuna binadamu anaweza kuamini kirahisi.
Nadhani atakuwa kafanya kitu Cha maana kwa Siri coz nimekuta alikuwa anatoa hela Kila siku, sometimes Mara mbili mpaka tatu Kwa siku Moja.
Hao ndio wanawake,Ni majonzi matupu, mpaka unajiuliza alikuwa ananunua Nini hasa.
Unatoa lecture mkuu usimpe hata passwordNdio mkuu, ni acc ya pembeni ambayo sikuwa hata na mishe nayo sana ila Sasa alichokifanya humo Mungu pekee anaweza kuwa shahidi. Nikitaja kiasi alichotumia ndani ya hizo siku(Kama mwezi) hakuna binadamu anaweza kuamini kirahisi.
Nadhani atakuwa kafanya kitu Cha maana kwa Siri coz nimekuta alikuwa anatoa hela Kila siku, sometimes Mara mbili mpaka tatu Kwa siku Moja.
Nashukuru Dana mkuu.Leta majibu haya kisha nikupe way forward:
1. UNAMPENDA? kwa moyo wako na unadhani uko tayari kuishi naye?
2.Una uhakika na hayo mambo ya kilozi/uganga uliyosema?
3.Mmewahi kuongea kwa uwazi nini hasa tatizo maana isije ikawa mtoto wa watu anakupenda hadi hawezi kuishi bila wewe?
4.Wakati mnaanza uhusiano plan zako zilizkua ni zipi?
5. Iwe mvua au jua kama mtoto ni wako angalia namna nzuri ya kutoa matunzo .
Kila la heri
Huyu dada kiumri atakua bado mdogoHuyu mdada kipindu amebeba mimba, alisitisha huduma zote alizokuwa akijihudumia na kusema nimhudumie Mimi coz nimempa mimba, nikakubali. Akahama alikuwa amepanga(vyumba viwili na sebure) akahamia nyumba mzima, Kodi kwangu, nikakubali. Akalazimisha nitoke kazini nikaishi nae au nihakikishe Kila baada ya wiki naenda kumuona kitu ambacho hakiwezekani Kwa mazingira ya kazi yangu. Hapo ndipo mtiti uliopoanza.
Akaanza kwenda Kwa waganga usiku na mchana. Huko akaambiwa Mimi Nina mke na watoto wawili ndio maana siendi kwake muda mwingi nipo Kwa hiyo mke wangu(kifupi Mimi sijawahi kuoa na hiyo mtoto wake ndio mtoto wangu wa kwanza).
Ikafika kipindi akahamia kabisa Kwa huyo sijui ndo ostadh sijui vitu gani Kila siku ni kupigwa Dua ili nirudishe mapenzi kwake niachane na huyo anaedai ni mke wangu. Kwangu nikawa nachukulia Kama ujinga flan tu. Mambo ni mengi mkuu.
Nashukuru sana boss kwa muda wako. Siku nikifanikiwa kupata jibu la kudumu nitakujulisha.Hao ndio wanawake,
Kwa hio ndio hivyo mkuu wewe ulishayavulia nguo maji sasa endelea kuyaoga hakuna namna hio ngoma ni yako ushaianika juani acha iendelee kuwamba
Naweka kalamu chini...
Kiumri ni 23, pia Hilo la kikundi Cha watu amewahi kunigusia staff mwenzie kwamba Kuna watu wanamjaza aolewe na Mimi kwa gharama yoyote.Huyu dada kiumri atakua bado mdogo
Pili anaendeshwa na mtu au kikundi cha watu wanaomshawishi afanye hayo anayoyafanya kwa kujazwa ujinga
Yaweza kua ana mapenz ya dhati na wewe ila peer presha nazo zinachangia kumfanya awe hivyo alivyo
Kwa ustawi wa mtoto kama unaweza kamuhamishe huko anakoishi maana
Sent from my ANE-LX2 using JamiiForums mobile app
Wewe ke au me, na kuacha mke,? achana naeHabarini za asubuhi waungwana.
Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.
Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.
Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.
Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.
NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.
Ahsanteni.
Wewe ke au me? achana nae fast kimbia nduki neneHabarini za asubuhi waungwana.
Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.
Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.
Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.
Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.
NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.
Ahsanteni.
Sasa anakusumbuaje kama hukai nae shida iko wapi?
Sasa anakusumbuaje kama hukai nae shida iko wapi?