Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?

Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?

Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.

Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.

Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
 
Haujaangalia vizuli Alijezila wewe, kaangalie ile Alijizila ya ndanindani huko ndiyo utaona uhalibifu uliofanyika. ulusi kamwambia Ilan na Alijezila wasionyeshe kwanza uhalibifu ili UN wasije kuingilia vita isimamishewe.
Nyie fuatilieni vizuli haya mambo, msiamini vyombo vya habali vya magalibi.
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mamboi ya kivita wanakwambia ni pigoi kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.


Dunia ya leo? Hata Al Jazeera? Ila wewe umezipata habari? 🤣🤣🤣🤣
 
Haujaangalia vizuri Alijezilav wewe, kaangalie ile Alijezila ya ndanindani huko ndiyo utaona uharibifu uliofanyika. ulusi kamwambia Ilan na Alijezila wasionyeshe kwanza uhalibigu ili Yueni wasije kuingilia vita isimamishee.
Nyie fuatilieni vizuri haya mambo, msiamini vyombo vya habali vya magaribi.

Kuangalia vizuri unaangalia ukiwa umekaaje? Hamna kitu ni kama jamaa walikuwa wanarusha mafataki tu.
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mamboi ya kivita wanakwambia ni pigoi kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Waambie hao, yaani Ilani ni noma. Islail ilikua imeshafutika tayali, ingawa hadi sasa kalibu kambi zote za kijeshi za Islaili zimesambalatishwa na makombola ya Ilani. Sema vyombo vya magharibi haviandiki, natamani watu wangefuatilia post zako ili wajue wafunguke macho na kujua ukweli.
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mamboi ya kivita wanakwambia ni pigoi kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Mleta mada ripoti kamili ya lile shambulizi hiyo hapo kama ilivyoletwa na the local reporter toka Mchambawimba...
 
Haujaangalia vizuri Alijezila wewe, kaangalie ile Alijezila ya ndanindani huko ndiyo utaona uharibifu uliofanyika. ulusi kamwambia Ilan na Alijezila wasionyeshe kwanza uhalibifu ili UN wasije kuingilia vita isimamishee.
Nyie fuatilieni vizuri haya mambo, msiamini vyombo vya habali vya magaribi.
Mkuu vipi tena kajifunzie kuandika fb
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mamboi ya kivita wanakwambia ni pigoi kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Vile unaongea kwa hisia dah sipati picha ungekuwepo
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mamboi ya kivita wanakwambia ni pigoi kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Ndani ya mada, kwa hiyo unataka kusema Saudi Arabia, Egypt, Oman, Kuwait, Bahrain, Qatar, Jordan na UAE nazo ni nchi za kishoga na kikafir mpaka zinasimama wima kuilinda Israel isichakazwe na makombora ya Iran?

Kama ni kweli huko tunakoelekea Uislamu wote unakwenda kumezwa na umagharibi huku ukafir ukizidi kushika hatamu milele.

Takibiiiir!
 
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?

Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?

Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.

Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.

Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
Bila shaka wewe ni muabudu mfuuu, alafu kama hayo mafataki mbona Israel waliomkataa yesu wameshindwa kuyatungua mpaka wamesaidiwa na marekani
 
Back
Top Bottom