Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

Mkuu, Ilani ni noma. Mpaka sasa Mayahudi yamejificha kwenye mahandaki, ile mitaa yote hakuna hata mtu anatembea wala kuonekana. Vyombo vya habali vya magaribi vinaonyesha eti maisha yanaendelea kukbe wanaonyesha picha za zamani.
Ilani kamwambia Marikani ole wako ukiingilia na wewe na kuvamimia na kukutwanga, Marikani kusikia hivyo kaenda kumeambia Israili, mimi siingilii vita yenu, sitaki shida na Ilani na sina ugomvi nae. Israili kusikia hivyo kaogopa, na mpaka sasa hajajibu. Ilani kamwambia ukijibu safali hii nakufuta kabisa na nchi yote mawapa wapalestina, Israili kasema basi yaishe.
Mkuu we fuatilia habari, niamini mimi ndiyo nakwambia, achana na vyombo vya habari vya wazungu havisemi ukweli.
Wewe unatumia source gani, kupata taarifa
 
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?

Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?

Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.

Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.

Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.

Kwa hiyo Israel itakuwa inalipiza kwa mafataki?

IMG_20240416_080221.jpg


IMG_20240416_074456.jpg
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.

IMG_20240416_074456.jpg


IMG_20240416_074312.jpg
 
Haujaangalia vizuri Alijezila wewe, kaangalie ile Alijezila ya ndanindani huko ndiyo utaona uharibifu uliofanyika. ulusi kamwambia Ilan na Alijezila wasionyeshe kwanza uhalibifu ili UN wasije kuingilia vita isimamishee.
Nyie fuatilieni vizuri haya mambo, msiamini vyombo vya habali vya magaribi.
Daa! Umeandikia umelegea sana aisee!!! "Ilan" "alijezila" "ulusi". Hizi waachie kina FaizaFoxy.
Uko upinde Nini?!
 
Iran makobaz hawana akili hata kidogo na hata followers wao ni most stupid individuals, why? Wangekuwa na akili, Iran wangeogopa sana sanaaa kuona 385 strikes wamefanya na walisema ni very sophisticated arsenals, ila hakuna damage hata kidogo imetokea sbb zimetunguliwa almost 99.4%, yaani ni missiles 7 tu zimetua kiwanja cha jeshi na sio imefanya uharibifu kivile kwani ndege zinaruka na air base iko vizuri kabisa kwani imeangukia pembeni mwa kiwanja na kuchimba vishimo tu. Hii ingewashtua mno, ila sasa subiria Israel inaenda kujibu mapigo matakatifu.

Iran failed long ago, now Israel war cabinet said, they will HIT IRAN VERY VERY HARD AND LESSON WILL GO EVERY PART OF THE WORLD..!!

So Iran subirieni kipigo kitakatifu toka Israel and that will finish Iran and will be like Iraq, Libya or Syria or Aghanistan, hizi nchi hazina kitu tena, zimevurugwa hata hawajui leo ni lini au huu ni mwaka gani, Iran will be taken by nightmares watashangaa, for all those more than 385 strikes, hakuna hata damage imetokea Israel, kama ni mtu mwenye akili lazima uogope sana na kujiuliza, ila sbb Iran is blind, subiri sasa utaona retaliation ya Israel, itafunga Iran kabisa na hawatadhubutu tena kujaribu kujibu na Ayatollaah na dela lake na midevu michafu kunuka kama beberu inaenda kumalizwa, ndio maana Al Jazeera wameonyesha mashimo 2 mabomu yaliotua air base ya kijeshi sbb hakuna damage yoyote, nyoko zao
 
Haujaangalia vizuri Alijezila wewe, kaangalie ile Alijezila ya ndanindani huko ndiyo utaona uharibifu uliofanyika. ulusi kamwambia Ilan na Alijezila wasionyeshe kwanza uhalibifu ili UN wasije kuingilia vita isimamishee.
Nyie fuatilieni vizuri haya mambo, msiamini vyombo vya habali vya magaribi.

Alijezila, Ilani, Islail, ulusi ndo nini hizo 🙏
 
Hizo air defence ndio zinatakiwa zipelekwe Ukraine pale maanazinapiga kazi sio poa.
 
Haujaangalia vizuri Alijezila wewe, kaangalie ile Alijezila ya ndanindani huko ndiyo utaona uharibifu uliofanyika. ulusi kamwambia Ilan na Alijezila wasionyeshe kwanza uhalibifu ili UN wasije kuingilia vita isimamishee.
Nyie fuatilieni vizuri haya mambo, msiamini vyombo vya habali vya magaribi.

Umeandika kama mpemba 😃
 
Iran makobaz hawana akili hata kidogo na hata followers wao ni most stupid individuals, why? Wangekuwa na akili, Iran wangeogopa sana sanaaa kuona 385 strikes wamefanya na walisema ni very sophisticated arsenals, ila hakuna damage hata kidogo imetokea sbb zimetunguliwa almost 99.4%, yaani ni missiles 7 tu zimetua kiwanja cha jeshi na sio imefanya uharibifu kivile kwani ndege zinaruka na air base iko vizuri kabisa kwani imeangukia pembeni mwa kiwanja na kuchimba vishimo tu. Hii ingewashtua mno, ila sasa subiria Israel inaenda kujibu mapigo matakatifu.

Iran failed long ago, now Israel war cabinet said, they will HIT IRAN VERY VERY HARD AND LESSON WILL GO EVERY PART OF THE WORLD..!!

So Iran subirieni kipigo kitakatifu toka Israel and that will finish Iran and will be like Iraq, Libya or Syria or Aghanistan, hizi nchi hazina kitu tena, zimevurugwa hata hawajui leo ni lini au huu ni mwaka gani, Iran will be taken by nightmares watashangaa, for all those more than 385 strikes, hakuna hata damage imetokea Israel, kama ni mtu mwenye akili lazima uogope sana na kujiuliza, ila sbb Iran is blind, subiri sasa utaona retaliation ya Israel, itafunga Iran kabisa na hawatadhubutu tena kujaribu kujibu na Ayatollaah na dela lake na midevu michafu kunuka kama beberu inaenda kumalizwa, ndio maana Al Jazeera wameonyesha mashimo 2 mabomu yaliotua air base ya kijeshi sbb hakuna damage yoyote, nyoko zao
Al Jazeera Iran imewa disappoint sana maana wenyewe walikuwa washajiandaa kuonyesha maangamizi mara ghafra wanaambiwa " The operation has been concluded" na huku shughuli Israel zinaendelea kama kawaida
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
 

Attachments

  • IMG_7826.jpeg
    IMG_7826.jpeg
    154.7 KB · Views: 3
Ndani ya mada, kwa hiyo unataka kusema Saudi Arabia, Egypt, Oman, Kuwait, Bahrain, Qatar, Jordan na UAE nazo ni nchi za kishoga na kikafir mpaka zinasimama wima kuilinda Israel isichakazwe na makombora ya Iran?

Kama ni kweli huko tunakoelekea Uislamu wote unakwenda kumezwa na umagharibi huku ukafir ukizidi kushika hatamu milele.

Takibiiiir!
Tunachokiona ni kuwa makafiri wengi Marekani na Ulaya watakuwa waislamu kupitia hivi kwani wataona waliyokuwa hawakuwahi kuyaona.Ndio maana huko huko wanaimba Death to America,death to Israel.
 
Back
Top Bottom