Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

Umeandika kama mpemba 😃
Nimegundua ukiwa unaandiks vitu kiushabiki bila facts ni unakia unajisikia raha sana. Unajiona mwepesii wala huna deni ma mtu. Kuna watu wanang’ang’ania ujinga na upumbavu, kumbe kwenye nchi kama Tanzania una raha yake, ingawa ni mzigo😂
 
Dunia ya leo? Hata Al Jazeera? Ila wewe umezipata habari? 🤣🤣🤣🤣
Usilolijua kwa sasa Aljazeera hii ya leo siyo ile iliyokuwa ikiripoti enzi za akina Osama. Mabeberu walishainunua na sasa hivi habari zake zinachujwa kama za CNN tu. Lakini Mkuu ulitegemea Israel na Marekani wangekubali kuwa mashambulizi ya Iran yamefanikiwa? Kwa propaganda za kivita lazima wakanushe. Hata Ukraine husema wametungua makombora yote ya Urusi lakini ukweli unajulikana.
 
Ngoja tuone malipizi ya israel hakika iran itakipata na kujutia kuipiga israel taifa lililobarikiwa
Karibariki mdudu gani
Pale ni Palestina
Wale ni wazungu kutoka ulaya waliopewa ardhi kinguvu na wazungu wenzao wa magharibi mwaka 1948
 
vituo viwili vya kijeshi ambavyo runway ya ngeze zimeharibiwa ni vituo ambavyo vinalinwa na technology ya hali ya juu kuliko zote ulimwenguni chini ya Jeshi la US. Kuna rada ya kisasa kudetect missile ikiwa mbali sana.

Leo wataalam wa kijeshi wamejifungia wanatafakari ni mbinu wametumia Iran kupenetrate mabomu yao hadi hapo na kama hiyo imewezekana, wangeweza kufanya chochote zaidi ya hicho. Kwa mujibu wa media house ya US ABC News, ballistic missle zaidi ya 11 zimefanya uharibifu mbaya sana huko. Na uzuri hata kama kuna wanajeshi wamededi huwezi ambiwa. Wangekuwepo raia ndio utaonyeshwa ili ionekane Iran ni wanyama. Iran sio waoga kama waarabu.
 
Mkuu, Ilani ni noma. Mpaka sasa Mayahudi yamejificha kwenye mahandaki, ile mitaa yote hakuna hata mtu anatembea wala kuonekana. Vyombo vya habali vya magaribi vinaonyesha eti maisha yanaendelea kukbe wanaonyesha picha za zamani.
Ilani kamwambia Marikani ole wako ukiingilia na wewe na kuvamimia na kukutwanga, Marikani kusikia hivyo kaenda kumeambia Israili, mimi siingilii vita yenu, sitaki shida na Ilani na sina ugomvi nae. Israili kusikia hivyo kaogopa, na mpaka sasa hajajibu. Ilani kamwambia ukijibu safali hii nakufuta kabisa na nchi yote mawapa wapalestina, Israili kasema basi yaishe.
Mkuu we fuatilia habari, niamini mimi ndiyo nakwambia, achana na vyombo vya habari vya wazungu havisemi ukweli.
Ilimchukua Irani wiki 2 kujibu kipigo cha Israel kule Syrian ambako makamanda wa Iran walikufa. Kwahiyo ni mapema sn kujua Israel atashambulia lini kujibu mapigo
 
Tatizo medias zinazokulisha hiyo taarifa ni monopolysed by Jews, unategemea waseme wamechapwa, madhara ya hizo unazoziita baruti (drones),anazijua Benjamin Nentanyahu, waziri wake wa ulinzi na viongozi wao waaandamizi wa karibu
Umeongea vema. Vyombo vyote vikubwa vya habari duniani ikiwemo vinadhibitiwa na Mayahudi na hao ndio wanaoamua kipi kiende kwa hadhira kipi kiachwe. Ukitaka kujua kuwa jamaa wameumia kwenye shambulio la Iran povu jingi limewatoka na vikao haviishi kati ya Mazayuni na mabwana zao wa Magharibi.
 
Ilimchukua Irani wiki 2 kujibu kipigo cha Israel kule Syrian ambako makamanda wa Iran walikufa. Kwahiyo ni mapema sn kujua Israel atashambulia lini kujibu mapigo
Tunataka ajibu hapohapo kama yeye mwanaume kweli, siyo ssubiri ilani ajisahau
 
Makombora yanachukua masaa 9 kufika Israel, hayo masaa 9 Israel imesimama tu? Kweli Iran ni wapuuzi.
Pole Mkuu. Imewauma taifa teule la mchongo kuchapwa kichapo cha mbwa mwizi. Tena hapo wamesaidiwa na mabwana zao kutungua baadhi ya makombora bila hivyo hadithi ingekuwa nyingine.
 
Waambie hao, yaani Ilani ni noma. Israil ilikua imeshafutika tayali, ingawa hadi sasa kalibu kambi zoye za kijeshi za Islaili zimesambalatishwa na makombola ya Ilani. Sema vyombo vya magharibi haviandiki, natamani watu wangefuatilia post zake ili wajue wafunguke macho na kujua ukweli.
Umeishia darasa la ngapi?maana huo mwandiko siyo mchezo.
 
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?

Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?

Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.

Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.

Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
Usijitoe fahamu Israel inaficha habari zake zote na Aljazeera imepigwa marufuku Israel, sijuwi ata kama unajua kuangalia Tv wewe, madhara yapo sana base ya IDF ndio lilikuwa lengo la Iran kushambulia na Iran ilifanikiwa 100%, Kamanda wa Iran amethibitisha
 
Sema Uislam unaibukia Magharibi.

Hivi hauelewi kuwa Uislam unakuwa kwa haraka magharibi kuliko kwengine kokote duniani?
Kwa mashoga?

Uislamu unakua kwa kasi na ushoga nao unakua kwa kasi huko Magharibi eti?
 
Haujaangalia vizuri Alijezila wewe, kaangalie ile Alijezila ya ndanindani huko ndiyo utaona uharibifu uliofanyika. ulusi kamwambia Ilan na Alijezila wasionyeshe kwanza uhalibifu ili UN wasije kuingilia vita isimamishee.
Nyie fuatilieni vizuri haya mambo, msiamini vyombo vya habali vya magaribi.
We pimbi rudi shule ukajifunze tena kiswahili
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Chuki zako za Kidini (mazayuni) unadhani zitakusaidia we bibi kizee. Sio wewe tu ulifuatilia wenye uelewa mpana tunajua what happed and who will the loser at the end of the day...
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Mange anaongea upumbavu wake na tunauona, nchi zote hizo plus the eastern wing washindwe kutuonesha chochote kilichotokea nani ataamini Bibi?
 
Haujaangalia vizuri Alijezila wewe, kaangalie ile Alijezila ya ndanindani huko ndiyo utaona uharibifu uliofanyika. ulusi kamwambia Ilan na Alijezila wasionyeshe kwanza uhalibifu ili UN wasije kuingilia vita isimamishee.
Nyie fuatilieni vizuri haya mambo, msiamini vyombo vya habali vya magaribi.
Naona unatuchota akili wavaa kobazi, au sio Broh!?
Tuache tafadhali!!!
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Vinedhurika nini?
 
Back
Top Bottom