Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

Haujaangalia vizuri Alijezila wewe, kaangalie ile Alijezila ya ndanindani huko ndiyo utaona uharibifu uliofanyika. ulusi kamwambia Ilan na Alijezila wasionyeshe kwanza uhalibifu ili UN wasije kuingilia vita isimamishee.
Nyie fuatilieni vizuri haya mambo, msiamini vyombo vya habali vya magaribi.
Pakijinja…usiwe unaandika ama andika kinyakyusa tu! Umeandika madudu gani sasa? #Ulusi #habali #Ilan # Uhalibifu.

Wewe kweli Mafufu.
 
Iran makobaz hawana akili hata kidogo na hata followers wao ni most stupid individuals, why? Wangekuwa na akili, Iran wangeogopa sana sanaaa kuona 385 strikes wamefanya na walisema ni very sophisticated arsenals, ila hakuna damage hata kidogo imetokea sbb zimetunguliwa almost 99.4%, yaani ni missiles 7 tu zimetua kiwanja cha jeshi na sio imefanya uharibifu kivile kwani ndege zinaruka na air base iko vizuri kabisa kwani imeangukia pembeni mwa kiwanja na kuchimba vishimo tu. Hii ingewashtua mno, ila sasa subiria Israel inaenda kujibu mapigo matakatifu.

Iran failed long ago, now Israel war cabinet said, they will HIT IRAN VERY VERY HARD AND LESSON WILL GO EVERY PART OF THE WORLD..!!

So Iran subirieni kipigo kitakatifu toka Israel and that will finish Iran and will be like Iraq, Libya or Syria or Aghanistan, hizi nchi hazina kitu tena, zimevurugwa hata hawajui leo ni lini au huu ni mwaka gani, Iran will be taken by nightmares watashangaa, for all those more than 385 strikes, hakuna hata damage imetokea Israel, kama ni mtu mwenye akili lazima uogope sana na kujiuliza, ila sbb Iran is blind, subiri sasa utaona retaliation ya Israel, itafunga Iran kabisa na hawatadhubutu tena kujaribu kujibu na Ayatollaah na dela lake na midevu michafu kunuka kama beberu inaenda kumalizwa, ndio maana Al Jazeera wameonyesha mashimo 2 mabomu yaliotua air base ya kijeshi sbb hakuna damage yoyote, nyoko zao
Hilo ni tamanio lako ....but ucdhani Iran imeanza kuandamwa jana au juzi na hao washenzi wa dunia
 
Iran makobaz hawana akili hata kidogo na hata followers wao ni most stupid individuals, why? Wangekuwa na akili, Iran wangeogopa sana sanaaa kuona 385 strikes wamefanya na walisema ni very sophisticated arsenals, ila hakuna damage hata kidogo imetokea sbb zimetunguliwa almost 99.4%, yaani ni missiles 7 tu zimetua kiwanja cha jeshi na sio imefanya uharibifu kivile kwani ndege zinaruka na air base iko vizuri kabisa kwani imeangukia pembeni mwa kiwanja na kuchimba vishimo tu. Hii ingewashtua mno, ila sasa subiria Israel inaenda kujibu mapigo matakatifu.

Iran failed long ago, now Israel war cabinet said, they will HIT IRAN VERY VERY HARD AND LESSON WILL GO EVERY PART OF THE WORLD..!!

So Iran subirieni kipigo kitakatifu toka Israel and that will finish Iran and will be like Iraq, Libya or Syria or Aghanistan, hizi nchi hazina kitu tena, zimevurugwa hata hawajui leo ni lini au huu ni mwaka gani, Iran will be taken by nightmares watashangaa, for all those more than 385 strikes, hakuna hata damage imetokea Israel, kama ni mtu mwenye akili lazima uogope sana na kujiuliza, ila sbb Iran is blind, subiri sasa utaona retaliation ya Israel, itafunga Iran kabisa na hawatadhubutu tena kujaribu kujibu na Ayatollaah na dela lake na midevu michafu kunuka kama beberu inaenda kumalizwa, ndio maana Al Jazeera wameonyesha mashimo 2 mabomu yaliotua air base ya kijeshi sbb hakuna damage yoyote, nyoko zao
Hilo ni tamanio lako ....but ucdhani Iran imeanza kuandamwa jana au juzi na hao washenzi wa dunia
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Na yeye akome kutumia wanajeshi wake kujifanya ni Hamas . Kashapoteza majeneralinqengi Sana. Sasa amechokoza wakubwa walikuwa wanamyafutia timing Sasa kaingia kwenye mfumo. Urusi anayemtegemea na yeye ana limfupa la Ukraine linamtafuna. Soon Iran itakuwa kamaniraq ,Kuwait na Afghanistan.
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Hakuna kituo cha kijeshi kilichoharibiwa esieneze uwongo na unafiki hata aljazeera
 
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?

Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?

Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.

Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.

Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
Yale mashambulizi netanyahuu alikosea kuyakinga yote angeacha kombora moja la iran liangukie Alaqsa tuone wafia dini wataikasirikia iran
 
Yale mashambulizi netanyahuu alikosea kuyakinga yote angeacha kombora moja la iran liangukie Alaqsa tuone wafia dini wataikasirikia iran
Usijitoe fahamu Israel inaficha habari zake zote na Aljazeera imepigwa marufuku Israel, sijuwi ata kama unajua kuangalia Tv wewe, madhara yapo sana base ya IDF ndio lilikuwa lengo la Iran kushambulia na Iran ilifanikiwa 100%, Kamanda wa Iran amethibitisha
Ulitegemea kamanda wa iran angesema shambulizi lao limefeli kweli wafia dini akili hamnaga sijui ni hizi elimu za madrasa mnafundishwa chuki
 
Makombora yanachukua masaa 9 kufika Israel, hayo masaa 9 Israel imesimama tu? Kweli Iran ni wapuuzi.
Na sijui kwanini alitangaza, si angewasurprise tu. Unampa mtu taarifa kuwa umetuma mashambulizi kwake na unampa masaa ya kutosha hivyo!!!, hawako sawa Iran, labda kama wanamaanisha kitu kingine ila sio nia ya kushambulia/kulipa kisasi.
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Ila hii kichwa imejaa Maji😂😂
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Makobasi mnajifariji.
 
Ndiyo walirusha mafataki kuwakata wenge Israel wakatoka jasho na ndugu yake USA
 
Haujaangalia vizuli Alijezila wewe, kaangalie ile Alijizila ya ndanindani huko ndiyo utaona uhalibifu uliofanyika. ulusi kamwambia Ilan na Alijezila wasionyeshe kwanza uhalibifu ili UN wasije kuingilia vita isimamishewe.
Nyie fuatilieni vizuli haya mambo, msiamini vyombo vya habali vya magalibi.
Yani nikishaona mtu anaandika "habali" badala ya "habari" naona ni jinga limoja lililokimbia shule. Alafu hua majuaji wakati kichwani bashite.

Mkuu vipi kwanza ukiridi shule ya msingi ukajifunze kutofautisha "r" na "L" ?!
sio "Ulusi" ni "Ururi"
Sio "vizuli" ni "vizuri"
sio "habali" ni "habari"
 
Back
Top Bottom