Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata clips za wananchi wa kawaida wa Israel zingevuja,madhara yangaonekana tu acheni bla blaal jazeera wamepigwa marufuku kufanya kazi israel, hawawezi kupata habari kule tena. bunge lao lilikaa likapitisha kuwa al jazeera walishiriki kwa namna moja ama nyingine kusapoti au kufanya ugaidi wa october 7, hivyo wamepigwa marufuku. hatutakiwi kukimbia ukweli, israel amepigwa na pamemuuma ndio maana anajiandaa kurudisha kisasi.
ndugu, madhara yapo, na sasaivi Israel wamejiandaa kuna vita kubwa ipo mbeleni hapa, kama uliona jana na leo, ben gulio international airpot imekuwa congested kiasi kwamba wanashindwa hata kupumua, watu wanakimbia nchi, na inaonekana wameonywa wakimbie nchi kwasababu kuna vita kubwa tu inaandaliwa, na wamesubirisha kidogo wananchi wengi waondoke nchini manake actually wengi wana uraia wa nchi mbili.baada ya hapo, Mungu aisaidie tu hii dunia kwasababu najua hata iran naye hatakubali ushindwa, na vitapigwa vita vikali tu.Hata clips za wananchi wa kawaida wa Israel zingevuja,madhara yangaonekana tu acheni bla bla
Wahamiaji haramu, ila Ukristu pia unakuwa kwa kasi Asia kuliko pengine popote.Sema Uislam unaibukia Magharibi.
Hivi hauelewi kuwa Uislam unakuwa kwa haraka magharibi kuliko kwengine kokote duniani?
Ndani ya mada, kwa hiyo unataka kusema Saudi Arabia, Egypt, Oman, Kuwait, Bahrain, Qatar, Jordan na UAE nazo ni nchi za kishoga na kikafir mpaka zinasimama wima kuilinda Israel isichakazwe na makombora ya Iran?
Kama ni kweli huko tunakoelekea Uislamu wote unakwenda kumezwa na umagharibi huku ukafir ukizidi kushika hatamu milele.
Takibiiiir!
98% ya vitu au bidhaa unazotumia ni za makafiri. Ukisema waislamu watumie bidhaa zao watabaki naBila shaka wewe ni muabudu mfuuu, alafu kama hayo mafataki mbona Israel waliomkataa yesu wameshindwa kuyatungua mpaka wamesaidiwa na marekani
SarcasmWamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?
Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?
Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.
Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.
Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
Mademu tu...Wanagombea nini kwani?
Wanagombea mademuWanagombea nini kwani?
Sawa wewe ndiye unaelewa vyema yaliyotokea.Ni fikra zakonkwa juwa huna unachokielewa, unafikiri ni ushabiki wa simba na yanga.
Hata clips za wananchi wa kawaida wa Israel zingevuja,madhara yangaonekana tu acheni bla bla
southfront.press
kombora kutoka Iran linaanza safair likiwa njiani Hao mashosti wa Israel wanatoka walipo na kufika mpk uwanja wa kiyatungua ila Kombora bado halijafika Israel , na bado unapata nguvu ya kushangilia tuIran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.
Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.
Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Kombora linagoka Iran , Mtu anatoka alipo anafika hadi Israel na Jordan kisha wanaanza yatungua bado Makombora hayajafika Israel , unapata wap ujasiri wa kuendelea kushangilia ?Bila shaka wewe ni muabudu mfuuu, alafu kama hayo mafataki mbona Israel waliomkataa yesu wameshindwa kuyatungua mpaka wamesaidiwa na marekani
mbona mashambuliz ya hamas yalioneshwa , hata maeneo yaliathiriwa yalioneshwa , nyie wabantu kichwan kuna nati zimelegea , mkiamini mtu X ni mbabe bas akifanya lolote mnataka pia likuza na hamkubaliani na ukwel mtakaoambiwaTatizo medias zinazokulisha hiyo taarifa ni monopolysed by Jews, unategemea waseme wamechapwa, madhara ya hizo unazoziita baruti (drones),anazijua Benjamin Nentanyahu, waziri wake wa ulinzi na viongozi wao waaandamizi wa karibu
Wairan wamefanya makusudi kwa hilo.kombora kutoka Iran linaanza safair likiwa njiani Hao mashosti wa Israel wanatoka walipo na kufika mpk uwanja wa kiyatungua ila Kombora bado halijafika Israel , na bado unapata nguvu ya kushangilia tu
Yaani hata hakieleweki wanachogombea. Sisi wa buza huku udini ndio shida.Wanagombea nini kwani?
Hasara iliyopatikana nikubwa sana kuna kambi kadhaa za kijeshi huko Israel zimeharibiwa vibaya hiyo ni siri hawawezi kuweka azaran ni aibu. Palestine hawakuchelewa kujibu, lakin had leo hawajamjibu Iran na mabwana zao wamesema wajizuie wasijibu wanajua balaa litakuwa kubwa tofaut na laawali.Marekani na washirika wake wamesema wanashukuru kwa kuwa makombora zaidi ya 99% yaliyorushwa ,na Irani yanezuiwa/kuharibiwa na kama hayo makombora yangefanikiwa kuipiga Israel basi hali ingekuwa mbaya sana kwa upande wa Irani kwasababu Israeli ikijeruhiwa huwa haichagui pa kupiga, iwe msikiti, hospitali au handaki yenyewe inatandika tu.
Kwa upande wa Israeli baada ya kufanya tathimini ya madhara yaliyotokana na mashambulizi ya makombora ya Irani wamegundua kuwa kuna binti wa kiizraeli amejeruhiwa mguu na makombora ya Irani.
na hivyo Israeli kuapa kulipa kisasi.
Kamati ya vita ya Israeli imekaa na kuapa kuwa miji kadhaa ya Irani inakwenda kulipa gharama za kumjeruhi mguu BINTI wa kiizraeli
Unaweza kutoa ushahidi wa madai yakoal jazeera wamepigwa marufuku kufanya kazi israel, hawawezi kupata habari kule tena. bunge lao lilikaa likapitisha kuwa al jazeera walishiriki kwa namna moja ama nyingine kusapoti au kufanya ugaidi wa october 7, hivyo wamepigwa marufuku. hatutakiwi kukimbia ukweli, israel amepigwa na pamemuuma ndio maana anajiandaa kurudisha kisasi.