Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

Yani nikishaona mtu anaandika "habali" badala ya "habari" naona ni jinga limoja lililokimbia shule. Alafu hua majuaji wakati kichwani bashite.

Mkuu vipi kwanza ukiridi shule ya msingi ukajifunze kutofautisha "r" na "L" ?!
sio "Ulusi" ni "Ururi"
Sio "vizuli" ni "vizuri"
sio "habali" ni "habari"
Mkuu, No need for DNA, inawezekana mimi na wewe ni ndugu kabisa, tofauti ni wewe ulisoma ‘International’ School wakati mimi nilisoma kwa michango ya UPE na misaada ya SIDA😂
 
Huu mchezo hautaki hasira, wananchi wa Iran wameshangilia sana pamoja na wairan weusi kumbe nyuma ya pazia ni brain made war 😂😆!.
 
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?

Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?

Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.

Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.

Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
kwa hujajibiwa huu upuuzi inabidi tuju unaposimamia,kwamba iran walirusha fataki au makombora?
maana uzi wako unaamini nini katika hivyo viwili
 
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?

Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?

Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.

Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.

Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
Fanyeni kazi, Tafuteni pesa
Sio mnakomalia ya İran na kutukana wanaotafuta
 
Tatizo yalitunguluwa angani, kama sio msaada wa nchi kadhaa kusaidia katika kutungua, moto ungewaka Israel. Ila Iran ni wajanja, wameanza na rasharasha, mvua kamili inaandaliwa ambapo hakuna wa kuizuia.
 
Ulitegemea kamanda wa iran angesema shambulizi lao limefeli kweli wafia dini akili hamnaga sijui ni hizi elimu za madrasa mnafundishwa chuki
Wewe si unamuamini kamanda wa kiyahudi, endelea kubaki huko
Muda umefika kuondolewa kwa taifa la mchongo la kizayuni la israel, watarudi kwao walikotoka
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Acha uongo bi kidude hizo stori na propaganda zimeandaliwa na pro Iran na ndo nyie wajinga mnaleta habar za uongo izo nchi zingne hazikuepo hata israel imefanya vingi kwa iron dome ikisaidiwa na fight jets za nchi kam US UK France na Jordan nchi zingne ni chumvi unaleta ww na wavaa makaobazi wenzako hupenda sana stor za uongo ingia kweny platform zote utakuta aloy of fake news mmeleta
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Kwa taarifa Yako Iron dome imepata umaarufu mkubwa sana na nchi nyingi za ulaya sasa zinaitaka kuinunua kwa sababu Iran imesaidia kuitest watu tumeona ubara wake kwa ujumla israel ni kinara katika defense systems
 
Hadi Qatar na UAE usifanye sie wajinga tunaelewa zaidi yko mama izo hazna interest na Israel never huko Qatar ndo hamas wanajificha ww ni muongo sana huwa unaleta habr za Arab media hawawez mkubal israel hat siku Moja ww ni fake kam fake zingne
 
Af wengi dunian wanaichukia Israel koz ameuwa wengi wasio na hatia gaza ukilrudi kwenye ukwel Israel wabobezi taja nchi gan ya kiarabu yaweza mfikia kwa tech na wengi hum ushabik uchwara mnaweka dini mbele
 
Aiseee! wamechokoza mzinga wa nyuki, wakae mkao wa kupokea shoo..

Soma hii Mwanzo 49, ujielimishe kuhusu hii kitu inaitwa Israel...nimekuwekea mstari wa 9 utambue nguvu waliyowekewa.

MWANZO 49: 9 Yuda ni mwana-simba, Kutoka katika mawindo, mwanangu, umepanda; Aliinama akajilaza kama simba, Na kama simba mke; ni nani atakaye mwamsha?
 
Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.

Wachambuzi wote wa mambo ya kivita wanakwambia ni pigo kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.

Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Pole sana.
Ni aibu kubwa sana kwa Khamenei na walinzi wa mapinduzi.
 
Tatizo yalitunguluwa angani, kama sio msaada wa nchi kadhaa kusaidia katika kutungua, moto ungewaka Israel. Ila Iran ni wajanja, wameanza na rasharasha, mvua kamili inaandaliwa ambapo hakuna wa kuizuia.
Iran ni wajanja sana aisee!
 
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?

Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?

Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.

Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.

Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
Irani imenivunja moyo wangu.
 
Back
Top Bottom