Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo nchi zote zilianzishwa au watawala wake walisimikwa na mabwana zao waingereza.Ndani ya mada, kwa hiyo unataka kusema Saudi Arabia, Egypt, Oman, Kuwait, Bahrain, Qatar, Jordan na UAE nazo ni nchi za kishoga na kikafir mpaka zinasimama wima kuilinda Israel isichakazwe na makombora ya Iran?
Kama ni kweli huko tunakoelekea Uislamu wote unakwenda kumezwa na umagharibi huku ukafir ukizidi kushika hatamu milele.
Takibiiiir!
Kwani sipo?Vile unaongea kwa hisia dah sipati picha ungekuwepo
Mnaoelewa vizuri hii lugha tusaidieni tafsiri please.Haujaangalia vizuri Alijezila wewe, kaangalie ile Alijezila ya ndanindani huko ndiyo utaona uharibifu uliofanyika. ulusi kamwambia Ilan na Alijezila wasionyeshe kwanza uhalibifu ili UN wasije kuingilia vita isimamishee.
Nyie fuatilieni vizuri haya mambo, msiamini vyombo vya habali vya magaribi.
HaupoKwani sipo?
Unaota?
Allah Akbar !!!Ndani ya mada, kwa hiyo unataka kusema Saudi Arabia, Egypt, Oman, Kuwait, Bahrain, Qatar, Jordan na UAE nazo ni nchi za kishoga na kikafir mpaka zinasimama wima kuilinda Israel isichakazwe na makombora ya Iran?
Kama ni kweli huko tunakoelekea Uislamu wote unakwenda kumezwa na umagharibi huku ukafir ukizidi kushika hatamu milele.
Takibiiiir!
Huyo atakuwa mhutu.Mnaoelewa vizuri hii lugha tusaidieni tafsiri please.
Bila shaka wewe ni muabudu mfuuu, alafu kama hayo mafataki mbona Israel waliomkataa yesu wameshindwa kuyatungua mpaka wamesaidiwa na marekani
Ndani ya mada, kwa hiyo unataka kusema Saudi Arabia, Egypt, Oman, Kuwait, Bahrain, Qatar, Jordan na UAE nazo ni nchi za kishoga na kikafir mpaka zinasimama wima kuilinda Israel isichakazwe na makombora ya Iran?
Kama ni kweli huko tunakoelekea Uislamu wote unakwenda kumezwa na umagharibi huku ukafir ukizidi kushika hatamu milele.
Takibiiiir!
Tatizo medias zinazokulisha hiyo taarifa ni monopolysed by Jews, unategemea waseme wamechapwa, madhara ya hizo unazoziita baruti (drones),anazijua Benjamin Nentanyahu, waziri wake wa ulinzi na viongozi wao waaandamizi wa karibuWamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki?
Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana Makombora 300 plus si kitu kidogo wadau. Au nasema uongo? Lakini nashangaa bado makafir wanadunda tu... Hii imekaaje wadau?
Mimi na wenzangu tulikaa mkao wa kula sasa Israel inaenda kufutwa. Lakini sioni dalili hiyo? Israel ni ka nchi kadogo sana. Iran ni kubwa kumbuka ilimsaidia hadi Russia makombora kwenye Vita yake dhidi ya Ukraine.
Sasa inakuaie? Maana hii Israel pia si ilishtakiwa huko South Africa? Alwaz na Ritz walituletea sana hizi taarifa. Sasa hukumu hajaleta mpaka leo. Walisema waisrael wote watafungwa nchi itbaki tupu wataenda kaa Wapalestine. Sasa imekuwa kimya.
Mi kwa kweli nakata tamaa maana sisi tunajipanga vizuri kuwasaidia wenzetu wao wanatuangusha. Kila tunalolianzisha linaishia njiani. FaizaFoxy alikuwa akitujulisha jinsi ambavyo makafir wanaenda kuteketea Gaza. Sasa hata taarifa hatupi tena. Wamepotea wenzangu wengi humu. Nimebaki mimi tu.
Hana akili huyo ,Iran hajalenga raia kalenga kambi za jeshi na Isreal Wana sera yao ya kuficha madhara wanaposhambuliwa ili waonekane wao Bora anategemea Nani ataingia kambi hizo za jeshi na kupiga picha ili aine yeye aliyekuwepo huko nanjilinji ,Iran level nyengine ukitaka nchi 10 bora kwa kutengeneza zana za kivita bc Iran lazima iwepo na haishiki namba ya mwisho.Iran nia yake ilikuwa kupiga vituo vya kijeshi na imevipiga.
Wachambuzi wote wa mamboi ya kivita wanakwambia ni pigoi kubwa sana kwa mazayuni na mashoga zao.
Nchi ngapi unajuwa zimejikusanya kuzuwia makombora ya engine za pikipiki ya Iran? Hesabu; mazayuni, USA, Uingereza, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Egypt, Kuwait, Bahrain na Oman kisirisiri.
Mainstream media zimefungwa kutoa habari.
Waambie hao, yaani Ilani ni noma. Israil ilikua imeshafutika tayali, ingawa hadi sasa kalibu kambi zoye za kijeshi za Islaili zimesambalatishwa na makombola ya Ilani. Sema vyombo vya magharibi haviandiki, natamani watu wangefuatilia post zake ili wajue wafunguke macho na kujua ukweli.
Sema Uislam unaibukia Magharibi.Ndani ya mada, kwa hiyo unataka kusema Saudi Arabia, Egypt, Oman, Kuwait, Bahrain, Qatar, Jordan na UAE nazo ni nchi za kishoga na kikafir mpaka zinasimama wima kuilinda Israel isichakazwe na makombora ya Iran?
Kama ni kweli huko tunakoelekea Uislamu wote unakwenda kumezwa na umagharibi huku ukafir ukizidi kushika hatamu milele.
Takibiiiir!
Shangaaa na wewDunia ya leo? Hata Al Jazeera? Ila wewe umezipata habari? 🤣🤣🤣🤣
Mkuu, Ilani ni noma. Mpaka sasa Mayahudi yamejificha kwenye mahandaki, ile mitaa yote hakuna hata mtu anatembea wala kuonekana. Vyombo vya habali vya magaribi vinaonyesha eti maisha yanaendelea kukbe wanaonyesha picha za zamani.Mbona unatulisha tango pori. Tuletee ushahidi.
Una point lakini unaweza jifunza kwanza kuandika?Waambie hao, yaani Ilani ni noma. Israil ilikua imeshafutika tayali, ingawa hadi sasa kalibu kambi zoye za kijeshi za Islaili zimesambalatishwa na makombola ya Ilani. Sema vyombo vya magharibi haviandiki, natamani watu wangefuatilia post zake ili wajue wafunguke macho na kujua ukweli.
Endelea kunitafuta tu.Haupo
Unakua au waislam wanakimbilia Magharibi? Usisahau pia kwamba idadi ya waislam waliopo Marekani ni ndogo ukiringanisha na Wakristo waliopo Saudia. Na hapo Waislam wa Marekani wapo huru kwa kila kitu wakati Wakristo wa Saudia hawaruhusiwi kujenga makanisa wala kusali hadharani.Sema Uislam unaibukia Magharibi.
Hivi hauelewi kuwa Uislam unakuwa kwa haraka magharibi kuliko kwengine kokote duniani?