Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Training Day na Flight nazo tamu sanaJohnQ ilinisisimua,ilinifundisha namna mwanamume anavyopaswa kuwa jasiri when it comes to protect his family, ilinitoa machozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Training Day na Flight nazo tamu sanaJohnQ ilinisisimua,ilinifundisha namna mwanamume anavyopaswa kuwa jasiri when it comes to protect his family, ilinitoa machozi.
Flight ni bonge moja ya movie... everTraining Day na Flight nazo tamu sana
Mbona picha ya mkewe hujaweka ili tuthibitishe kwamba ni 'mbichi kabisa'Nilianza kuangalia movie yake kitambo akiwa kijana kabisa ikiitwa mississippi masala, zikaja Training Day, Dejavu, Man on fire, Inside job, American gangster, Great debetors, Malcom X, Manchurian candidate, Antwoine fisher nk.
Huko kote alionekana akizeeka taratiiibu
Juzi nimeona picha yake akiwa na miaka 70, amezeeka ni babu, uzee is real.
Mke wake ambaye ni mkubwa kiumri kumzidi miaka4, mshangazi Paulleta bado mbichi kabisa.
Wanawake wamarekani na Ulaya hawazeeki ovyo.
View attachment 3214316
hii Franchise jamaa aliua sana"The Equalizer"
Kwamba huyo ni Mtz? MmhKamachumu bukoba,ana ndugu yake muhaya kafariki mwaka juzi anaitwa michael njumba,google utamuona