Nimeshuhudia kwa macho yangu Denzel Washinton akizeeka

Nimeshuhudia kwa macho yangu Denzel Washinton akizeeka

Kweli,

Tunasema kumsifia mwanaume mwenzako ni uchoko,

Lakini angalia tunavyowasifia action stars kama Denzel na Jackie Chan

Tunavyotamani kuwa na miili kama ya bodybuilders

Tunavyopata sonona baada ya kuangalia maumbile ya porn actors....

Ungekuta wanaume wanachagua miili yao huko mbinguni wangechagua miili ya action stars na athletes.
Yeah i see…

Kitu kingine najifunza kadri ninavyokua ni kuishi na ego za kiume, Mwanaume akinimbia kitu na tafsiri kuwa si yeye pengine ni ego yake.
 
Nilianza kuangalia movie yake kitambo akiwa kijana kabisa ikiitwa mississippi masala, zikaja Training Day, Dejavu, Man on fire, Inside job, American gangster, Great debetors, Malcom X, Manchurian candidate, Antwoine fisher nk.
Huko kote alionekana akizeeka taratiiibu

Juzi nimeona picha yake akiwa na miaka 70, amezeeka ni babu, uzee is real.

Mke wake ambaye ni mkubwa kiumri kumzidi miaka4, mshangazi Paulleta bado mbichi kabisa.
Wanawake wamarekani na Ulaya hawazeeki ovyo.


View attachment 3214316
Chanajabu ni nini? Everyboy eventual get old. Ni kumshukuru Mungu umeshuhudia kazi zake katika prime age yake.
 
Hapa ndo nakumb
Nilianza kuangalia movie yake kitambo akiwa kijana kabisa ikiitwa mississippi masala, zikaja Training Day, Dejavu, Man on fire, Inside job, American gangster, Great debetors, Malcom X, Manchurian candidate, Antwoine fisher nk.
Huko kote alionekana akizeeka taratiiibu

Juzi nimeona picha yake akiwa na miaka 70, amezeeka ni babu, uzee is real.

Mke wake ambaye ni mkubwa kiumri kumzidi miaka4, mshangazi Paulleta bado mbichi kabisa.
Wanawake wamarekani na Ulaya hawazeeki ovyo.


View attachment 3214316
hapa ndo nakumbuka wimbo wa one direction uitwao night changes "we only get older baby now I've been thinking about it lately"
 
Actors sio Celebrity kivile sasa hivi kuna enzi appearance yako ndio inakuletea mkata hivyo wengi walikuwa wanfanya plastic surgery na face / neck lift...; sasa hivi sio issue kivile kwahio wanajiachia..., my point being Denzel hashindwi kuonekana kama kwenye Carbon Copy..., hapo anaweka dye na face / neck lift
Inawezekana kabisa,wenzetu hawashindwi kitu,ila kumbuka mama yake Kanye west alikufa sababu ya hizo kitu
 
Mimi nina mvi nyingi sana ila nikiinyoa panki langu na kupaka superblack utasema nina 30s kumbe nilisoma na maulid kitenge darasa moja,nakula hadi vibinti vya 2000
Ulisoma nae Al-haramain islamic secondary ya Kariakioo au primary?
 
Mi mwenyewe nimemuona Jakaya jana, nikasema kumbe uzee ukifika umefika.
hq720.jpg
Duh .
70 haidanganyi wazee...😭😭
 
Nilianza kuangalia movie yake kitambo akiwa kijana kabisa ikiitwa mississippi masala, zikaja Training Day, Dejavu, Man on fire, Inside job, American gangster, Great debetors, Malcom X, Manchurian candidate, Antwoine fisher nk.
Huko kote alionekana akizeeka taratiiibu

Juzi nimeona picha yake akiwa na miaka 70, amezeeka ni babu, uzee is real.

Mke wake ambaye ni mkubwa kiumri kumzidi miaka4, mshangazi Paulleta bado mbichi kabisa.
Wanawake wamarekani na Ulaya hawazeeki ovyo.


View attachment 3214316
Wanawake siku zote hawazeeki na kuchoka kama sisi sababu kazi zao nyingi ni nyepesi au ni wakuletewa, fuatilia familia nyingi utamuona Babu kachoka zaid ya bibi, hata barabarani utamkuta bibi kamshika mkono mbabu na kumuongoza katika ombaomba.
 
Why nikushukuru wakati jina limejaa tele google na sikwenda kugoogle. Empty set
Kati yangu na wewe nani ni empty set? wewe kuandika Schwarzenegger hadi ku google.. Mimi sija google.. empty set mwenyewe.
 
Sasa unalilia nini shwaziniga basi nenda kaombee mkopo bank. Empty set
Kati yangu na wewe nani ni empty set? wewe kuandika Schwarzenegger hadi ku google.. Mimi sija google.. empty set mwenyewe.
 
Back
Top Bottom