tofauti yake cocaine na heroine ni nini?Kitu kikiwa pure ndio uteja fasta. Yani ni sawa na pombe yenye alcohol percent 4, na yenye 40. Ya 40 itakupeleka fasta. Logic hiyo watu wengi inawacost. Maskini wanapata heroin tena nzuri maana pwani ya Tanzania inaleta sana kutoka Pakistan na Iran kabla ya kwenda ulaya. Usichanganye cocaine na heroin.
Ni vitu viwili tofauti kabisa. Heroin inatokana na poppy plant, huko bara la asia. Cocaine inatokana na coca leaves za coca plant huko south America, peru., colombia etc.tofauti yake cocaine na heroine ni nini?
Tumalize hili. Kama unaona Makonda alipigana na wafanya biashara ya madawa ya kulevya akili zako zitakuwa ng'ambo ambako ni watu wachache walioko huko.Unaweza kufafanua na kuiweka vizuri hoja yako?
Sisi tuliona namna alivyotoka na orodha ya watu wanaojihusisha na hiyo "kada" na watu hao kuanza kushughulikiwa!
Sasa kusema tu alifanya kinyume na bila kufafanua wakati mamlaka za kisheria zilikuwepo na hazikumchukulia hatua, yahitaji maelezo ya ziada ama ya kina kuiweka sawa hoja yako hiyo.
Mimi nimekwisha kueleza kuwa, alifitinishwa na kuonekana ni adui wa nchi baada ya kutaja na kuwanyooshea vidole watu wasiogusika, wakatumia ukwasi wao kumpaka "upupu".
Na kwa kuwa waTz ni vibendera fuata upepo, kila mtu akageuka na kumsema vibaya Makonda, bila uthibitisho wa mabaya aliyoyatenda.
Maana mpaka leo ukimuuliza mtu, ni makosa gani dhahiri ya Makonda ayaweke wazi kwa vielelezo, kwamba ni aina gani ya "rafu" alizocheza katika mchakato huo ama katika uongozi wake wa uRc, huwa hakuna wa kujibu vya maana!
Ni kesi ngapi Makonda anafunguliwa kwa kishindo,halafu zinaisha kimya kimya kama upepo wa pancha?
Sisi tunaamini kwamba jamii iliyo'corrupt' huwa imelaaniwa, ni ngumu sana kama ngamia kupita katika tundu la sindano kuirudisha katika maadili, labda kizazi chote kiangamizwe kwa kiama kama cha Sodoma, kitakapozaliwa kizazi kingine kipya, labda chaweza kuwa na maadili pamwe hofu ya Mungu!
Kuna watu wanapaswa kuishi vijijini na hawakupaswa kwenda shule maana haina msaada kwao.Tumalize hili. Kama unaona Makonda alipigana na wafanya biashara ya madawa ya kulevya akili zako zitakuwa ng'ambo ambako ni watu wachache walioko huko.
Ni vitu viwili tofauti kabisa. Heroin inatokana na poppy plant, huko bara la asia. Cocaine inatokana na coca leaves za coca plant huko south America, peru., colombia etc.
Cocaine ni stimulant, inachangamsha, unakuwa alert. Heroin ni sedative, unalewa unalalaa.
Kwenye ma club ya usiku kuna ufirauni mwingi sana,usipende kwenda huko, maana kuna wengine wanashikishana ukuta wanamalizana alafu wanarudi ndani wanaendelea na mengineo!!Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Nimeona mengi sana, i frequented kwa macheni, kino yote usiku lakini sikuwa naona livelive watu wakisniff bila woga. Hiyo sio ishara nzuri.Kwenye ma club ya usiku kuna ufirauni mwingi sana,usipende kwenda huko, maana kuna wengine wanashikishana ukuta wanamalizana alafu wanarudi ndani wanaendelea na mengineo!!
Wengi wanadhani ni alama ya ujanja, kuonekana una pesa. Alafu ukiwa na pesa unapewa ile pure kabisa. Ndio safari ya matatizo inaanza. Bahati tu cocaine sio addictive kama heroin. Matajiri wengi wanatumia coke. Haijalishi ni safi au chafu. Addiction yake inachukua muda sana. Ila chuma heroin ambayo east africa ipo sana, ni hatari. Siku moja tu na gari linawaka.Oooh, nimeelewa sasa.
Na kwanini wanasema madawa hayaonjwi, siku ukionja ndio ushakua teja?
Na why wengi wanaanza kutumia licha ya kujua madhara yake, yaani jamii ina mifano kabisa ya watu walio haribikiwa na madawa lakini kila siku watu wanaingia tena.
Nini ni motive ya wengi kuanza kutumia madawa, na yana ladha gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukisikia punda maana yake Ni mbebaji ambaye anatumwa,,Sasa tunavyoambiwaga kuwa punda kunalipa mbona sielewi.
Gram bei ya kuuza 18000, means imefika chini ya hapo labda huko pakistan ni 5000 kwa one gram.
Kilo moja yaani 1000 grams ndio 5M sasa punda analipwa bei gani ili mzigo utoe faida/super profit ili achukue hiyo risk na kilo moja sio mchezo kumeza (wanavyosema wanameza).
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh!Wengi wanadhani ni alama ya ujanja, kuonekana una pesa. Alafu ukiwa na pesa unapewa ile pure kabisa. Ndio safari ya matatizo inaanza. Bahati tu cocaine sio addictive kama heroin. Matajiri wengi wanatumia coke. Haijalishi ni safi au chafu. Addiction yake inachukua muda sana. Ila chuma heroin ambayo east africa ipo sana, ni hatari. Siku moja tu na gari linawaka.
Sio domo tu,,Nasikia domo anapiga coca kitambo tu. Sema coca safi hainaga noma sana..kuipata sasa safi ndo kipengele
Biochemistry yake. Euphiria yake. Potential ya addiction ni kubwa sana.
Wengi waliingia kwa style kama hiyo ,,
Mkuu kama hujuwi kitu Si unyamaze?hamna hiyo kitu mwongo huyo,tushasema hamna coke hapo ya kuvutwa mitaani,
heroin tena chafu ipo na ni vikete tu ndo utapata kwa bei hiyo anataja
Sijui , sifanyi hiyo biaShara, we unajua tutajie.Mkuu kama hujuwi kitu Si unyamaze?
Unajuwa kilo moja ya pure cocaine Brazil Dola ngp?
Na pure heroine Pakistan Dola ngp?
Tuanzie hapo kwnz..
Ili nifahamu upeo wako wa kufahamu hayq mambo
Mkuu hivi unajuwa kama heroine Ni bei mbaya sana marekani na brazili kuliko COCAINE?Nimeshangaa jamaa anaitaja cocaine bila wasiwasi, na sidhani hata km anaijua, Cocaine ni pesa, cocaine cyo ya kutumiwa na mandezi ndezi
Sasa kwann mnabishana?Sijui , sifanyi hiyo biaShara, we unajua tutajie.
We hayo mambo watu wanayajua kabla hujaja mjini toka uporoto acha upoyoyoSasa kwann mnabishana?
Sasa unataka utajiwe idadi ili?Sijawahi kusema hivyo, mimi na wewe tulionana wapi nikakutamkia hivyo??
Sasa nijibu basi maswali yangu,,We hayo mambo watu wanayajua kabla hujaja mjini toka uporoto acha upoyoyo