Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
namuona kuvichaka hapo avatar🙌
😁😁😁😁namuona kuvichaka hapo avatar🙌
Vipi kuhusu heroineMkuu tangu lni mleta information akawa kwnye matatizo?
Au wewe ndy unajaribu kumziba mdomo?
COCAINE Ni kweli ndy zinzouzwa Sana kwa sasa.
Especially wasanii na celebrities wengi wanatumia.
COCAINE inamfanya mtu atoe aibu na achangamke.
Na kwenye SEX NI BALAA KUBWA
Mfano wanamuziki wengi wa marekani na Dunia nzima wanatumia hyo especially wakiwa ktk stage
Mleta habari ameleta taarifa kueleza umma ana hoja asikilizwe
Ni kweli hilo Jambo lipo.
Heroine gram sh ngapi?Wala hakuna show off yeyote.
Gram moja cocaine Ni sh 50000 ya tanzania.
Ambayo mtu mmoja anaweza akavuta siku 3 au week kutegemea na dose yake ya uteja.
.hapo Pana show off gani.
Amesema kufanya show off na kubwia cocaineKubwia cocaine ni show off kumbe? Naendelea kujifunza.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sio kila mvaa barakashia ni ustadhi wengine wana vichwa vidogo na upaa hivyo barakashia inasaidia
We ndo mana unajiita mwandende kwasababu ni mwandende kweli kweliWewe huna unalojuwa kaa kimya,,
Hamna Cocain bongo ya 50000 huyo Mwongo kabisa.
Hiyo heroine ya 5000 ni kipimo kiasi gani?Hamna Cocain bongo ya 50000 huyo Mwongo kabisa.
Hizo wanaagiza maponjoro hao zinaletwa toka pakistan
Heroin ipo mitaani hata 5000 utapimiwa.
Hata kijiko kimoja haijai
Ni hiyo masheesha ye anasema Cocain.Mwamba kaona shisha japo Huwa sijui kilichopo mle.Lakini vijana tuache ulimbukeni kwa kutumia vitu vya ovyo ovyo.
bei ya gram hiyoHata kijiko kimoja haijai
Dozi moja chafu ukajifie huko.bei ya gram hiyo
Hivi alikuwa blackmailed nini kama kweli yupo unayemsema? Sasa anashindwa kujinasua kutoka kwenye makucha Yao? Maana sidhani kama ana roho mbaya kiasi hicho cha kuona vijana na watoto na Hata watu wazima wanaangamia!Mnataka kujifanya hamumjui supplier mkuu wa ngada sio?
Vijana hawaijui cokeDozi moja chafu ukajifie huko.
Sio Coke.