welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
Hata marekan wabwea unga ñi wengi +mashoga yajayo yanakuja!Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Crack cocaine ni rocks kama mabonge ya chumvi ghafi. Sio powder.Nafatilia sana haya mambo ya madawa majority hutumia cracked cocaine Tena Hawa mateja wa mtaani ndio usiseme aisee.
Hii ni ka experience changu tu na hata hyo yako nayo ni experience pia
Bangi? Alafu mimi sio mshamba wa dar. Born there lived there. Ata huko Arusha lazima watakuwa na hayo mambo. Its an urban city.Ni kama nilivyo fika Arusha nilishanga sana bangi inavutwa hadi stendi Yani ulikaa mahali lazima Moshi wa bangi ufuke
Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Starehe za kujitakia matatizo,,All in all watumiaji wa hii kitu waonewe huruma maana akikosa ka mgonjwa Hadi huruma na hyo kujichoma sindano doh
Itakusaidia nini?Kwahiyo wewe unataka kujua wanapataje ila unaogopa kutaja ulipoona watu wakitumia? Hii ni umbea kama mwingine wote
Unaanza Matusi sasa we jamaa ni mpumbavu unataka tuanze kutukanana kwa kitu kisicho hata na maana hapa?Sasa kama uliacha ulifanya biashara hizo inchi gani?
kama umeacha utabishanaje na ukwl ninaozungumza Mimi?
Nilichojifunza kwako,
wewe ni nguchiro mmoja ambaye hata Nairobi hujawahifika.
Na wala hujuwi chochote kuhusu lolote,,
Mind your manners you piece of shit.
Kwenu kumwita mtu mpumbavu sio matusi?Unaanza Matusi sasa we jamaa ni mpumbavu unataka tuanze kutukanana kwa kitu kisicho hata na maana hapa?
Mind your manners you piece of shit ni lugha gani kwanza ?
We usilete hayo mambo tulia kidogo.
Ahaa ni wewe Mwandende tena, haya bana naomba sorry nimekosa mimi nimekosa sana🙏Kwenu kumwita mtu mpumbavu sio matusi?
Rejea kwenye quote zako ulizonijibu.
Kipi kinacholeta UtejaCocaine inachukua muda mrefu sana kuleta uteja. Ni kazi ya miaka. Ni ngumu kumjua mtumiaji pia.
Shukran mkuu,,Ahaa ni wewe Mwandende tena, haya bana naomba sorry nimekosa mimi nimekosa sana[emoji120]
mkuu wewe ni mkamashap chombo Cha dola,Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Uteja hata sigara,,kunywa soda Sana,,pombe, kubeti ,,picha za ngono,,,yaani chochote kilichokufanya addicted basi ni uteja.Kipi kinacholeta Uteja
Uliingizwa chaka..Bashite hakutaka kumkomboa mtu. Alitaka awe new Don in town...Mishe zote aonwe yeye apige hela.Haya mambo kama kina Bashite waliyavalia njuga kisha wakafitinishwa na umma na kuonekana ni maadui wa Taifa, wacha watu wavute, ndiyo maisha waTz wanapenda.
Hata ukisontea eneo linalouzwa haitasaidia chochote.
Sisi Jf tuendelee na mada zetu za hoja mchanganyiko zingene mbali kabisa na hiyo mada.
Waje wawashe moto au wachukue rushwa? Liwe chimbo lao la kuponeaHuko uliko ona mbona unakuficha?
Unaogopa nini?
Kama Ni hapa Kimara, taja jina la bar vijana wa kova wawashe Moto.
Itakusaidia nini?
Duuuh, sasa kwanini wanatumia heroine na sio cocaine ilhali wanajua side effects za heroine, au tatizo ni bei ?Uteja hata sigara,,kunywa soda Sana,,pombe, kubeti ,,picha za ngono,,,yaani chochote kilichokufanya addicted basi ni uteja.
Ndy maana unaona mtu akikikosa kitu ambacho yupo addicted nacho ,,
anahaha mradi apate kile anachotamani.,
Ila tatizo la heroine ukiikosa unaumwa(AROSTO),,
either tumbo,,au unapigwa na kitu kama shot ya umeme mwilini.
Especially asubuhi lazima uvute ukae Sawa,,
Na jioni ili uweze kulala.
Hapo ni lazima uitafute kete uvute kwnz ndy inatibu hiyo AROSTO..
Vinginevyo utaharisha au kupata maumivu makali mwili mzima.
Cocaine haina madhara Sana.
Ndy maana hata marekani wakikushika na hyo COCAINE adhabu yake tofauti kidogo na heroine..
Heroine ni sumu..