Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
Katika uhalisia mfumo wa kiutawala unachangia kusiwe na uwajibikaji kwa watumishi wa umma nina uwakika kuna zaidi ya aslimia 99% za watumishi wa umma kuwa hawafanyi kazi zinaweza kuzidi hizi aslimia 40% nilizo zisikia.
Kutokuwa huku na uwajibikaji kwa watumishi hao kunaweza kuchangiwa na utawala uliopo mbovu kwasababu utawala ndio wasimamizi wakuu wa watumishi hao.
katika uhalisia utawala uliopo ndio wasimamizi wakuu wa watumishi hawa wasio wazalendo kama watumishi hawafanyi kazi inamaana hata hawa wasimamizi kwenye utawala pia hawafanyi kazi hili ni pengo kubwa sana kwa watanzania maskini.
Kutokuwa huku na uwajibikaji kwa watumishi hao kunaweza kuchangiwa na utawala uliopo mbovu kwasababu utawala ndio wasimamizi wakuu wa watumishi hao.
katika uhalisia utawala uliopo ndio wasimamizi wakuu wa watumishi hawa wasio wazalendo kama watumishi hawafanyi kazi inamaana hata hawa wasimamizi kwenye utawala pia hawafanyi kazi hili ni pengo kubwa sana kwa watanzania maskini.