Thread za watanzania ni vituko😀😀😀
Yaani mtu anaandika anadhani alafu anakomalia point zake kama vile anauwakika na kitu anachokizungumza,watanzania tujifunze kuacha porojo.
Hao wabunge wanamoral authority ipi ya kunyooshea wengine vidole wakati wao ni mzigo namba moja katika hii nchi.Nyie majitu myeusi mnashida gani lakini,mbona mnamacho lakini hamuoni???!!!?
Mnalalamika kwa vitu vya kudhani.Ni mtu gani anaakili timamu anatoa hoja na tuhuma nzito kwa vitu vya kufikirika.
Hii nchi kila mtu amechanganyikiwa,hii inapelekea watu kutafuta mchaka ya kutolea machungu yao ya maisha.Kwahiyo nyie mnaona hii failed system ipo kwa watumishi hamuona kama nchi yote ipo ICU😄😄😄