Mikosi ni dhana ya kufikirika, imaginations just an illusion.
Hakuna mikosi.
Uhusiano uliopo ukipenda ngono sana labda useme hela ambayo ungenunua matofali, unatumia kununua utelezi.
Unateleza mpaka una anguka kuwa maskini.
Ndio imeshanitokeaNikiwa sijafanya hivyo
Ukute wanapata the WanapotezaHaya mambo ya ku exchange energy ukifanya ngono ni uongo.
Kama ingekuwa ukifanya ngono una exchange energy, Wanawake malaya wanaofanya ngono na matajiri wangepata energy za utajiri.
Ila wapi, wanabaki na umaskini wao wakiendelea kudanga kwa watu wengine zaidi.
Ilikuaje mkuu nipe experienceNdio imeshanitokea
Never approach a bull from the front, a horse from behind, An idiot from any direction..😄
Mkuu ongeza na kusuka kwa Niffer 35000, bando ya kuwasiliana 10,000 na nauli itategemea na umbaliUkipiga gharama za Lodge 20,000/-, bia 20,000/-, posho 30000/-
DayMonde ana right sex na kila anayelala naye anachukua nyota yake, sasa wewe lala na wenye mikosi !Hiiv hii habari ya kua ukifanya unapenda sana ngono unajiletea mikosi maishani yani mambo yako ya utafutaji yanakua hayaendi vizuri ni kweli? Na kama kweli kwanini? Humu ndani yupo imewahi mtokea?
Nataka kuwa sahihi katika utafutaji sitaki ndumba Asanteni
Nimesikia kuna roho zinakuzamisha mkuu
Changanya na zakoDayMonde ana right sex na kila anayelala naye anachukua nyota yake, sasa wewe lala na wenye mikosi !
Too expensiveMkuu ongeza na kusuka kwa Niffer 35000, bando ya kuwasiliana 10,000 na nauli itategemea na umbali
DayaMundi , akikukula anachukua nyota yako, ndio maana lazma ato**** madem wazuri wenye nyota kali.Changanya na zako
Wanaume niliokuwa nao walinitumia kupata fedha na wakao kwingine, nawalinifanya nyama saivi napumulia gesi nimehangaika wamenirushia majini , mapepo , mikosi, walinichukulia hedhi, mkojo, nywele, chupi , akili , uchangamfu , kuonekana , zamani nikifanya interview chapu kazini. Mshahara mnono maisha yangu yalikuwa nabadilisha nguo , nabiashara inaenda sasa hivi hakuna mitu nimehangaika hadi basi acha tu .Ilikuaje mkuu nipe experience
Kama hivo ni kwel Mimi uko nyuma nimelala na mademu wengi sana ila sasa nimeachaKama ambavyo unaweza pata mikosi ndo unavyoweza kupata baraka .
Kiroho - unapojmiana na MTU mnkuwa mmeshakuwa mwili mmoja .
So kama ana nguvu fulani chanya inaweza kuja kwako na ya kwako ikaenda kwake.
Kiuchumi
Unapokuwa na mwanamke zaidi ya mmoja unaweza kuyumbisha uchumi wako.
Siri ya mtungiDayaMundi , akikukula anachukua nyota yako, ndio maana lazma ato**** madem wazuri wenye nyota kali.
Kimbilia kanisani ukaonane na upate msaada wa kirohoWanaume niliokuwa nao walinitumia kupata fedha na wakao kwingine, nawalinifanya nyama saivi napumulia gesi nimehangaika wamenirushia majini , mapepo , mikosi, walinichukulia hedhi, mkojo, nywele, chupi , akili , uchangamfu , kuonekana , zamani nikifanya interview chapu kazini. Mshahara mnono maisha yangu yalikuwa nabadilisha nguo , nabiashara inaenda sasa hivi hakuna mitu nimehangaika hadi basi acha tu .
Nimebakia siingizi hata mia hakuna anayeniona
Usimwambie mwenzako, baki nayo.Siri ya mtungi
I said what i said akipenda ushauri achukue asipopenda aendelee kulala na hao wanawake atapata anachotafuta done.Haya mambo ya ku exchange energy ukifanya ngono ni uongo.
Kama ingekuwa ukifanya ngono una exchange energy, Wanawake malaya wanaofanya ngono na matajiri wangepata energy za utajiri.
Ila wapi, wanabaki na umaskini wao wakiendelea kudanga kwa watu wengine zaidi.
Umesema vizuri lakini bado hujanipa nini hasa sababu ya kua sex inakua BarakaAngalia bro, tunaishi kwenye bara maskini kuliko yote duniani, mbaya zaidi ni kwenye sub-continent maskini kuliko zote duniani(East Africa).
Unadhani kwa ugumu huu wa maisha, watu hawatotafuta namna za kujipa moyo, za kukwepa mzigo wa lawama walionao?
Na ni namna gani rahisi zaidi ya kufanya hivyo kama sio kukariri dhana potofu?
'Ngono inaleta mikosi.'
'Ukitaka utajiri uza roho kwa shetani.'
'Wazungu ni freemason.'
Fikiria bro.
Hamna.Ukute wanapata the Wanapoteza