nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
-
- #81
Sawa sawa kabisaMisingi ya dini inafundisha kwamba ngono na mtu asiye mwenzi wa ndoa ni dhambi, na Mungu anaadhibu dhambi usipotubu.
Kama unaamini hayo, jibu mbona unalo....
Kama huamini, ngono haina baraka wala mikosi, ni starehe.
Ukihonga sana na kununua malaya basi lazima useme ngono ina mikosi.
Ndo maana wanawake hawaegemei sana hii dhana kwasababu ngono haiwaumizi kiuchumi.
Mkuu unaandika kwa kujiamini sanaMikosi wapii,ni vile tu unakuwa umezaliwa na nyota iliyofifia.Chagua kutulia lakini mikosi na sex ni vitu viwili tofauti....Gaza imefutika pamoja na watu wake,je wataka kaniambia walikuwa na dhambi wote.Maisha haya ishi vile uonavyo ni sahihi...kujiwekea masharti kwenye maisha ni kujikatili.....lisilo sahihi kwako kulifanya mbona roho yenyewe hukataa,unajikuta hufanyi...we ishi tu mkuu....Sheria kwenye nchi na kwenye maisha binafsi pia !?😳🙄
lakini mbuzi kagoma NOMikosi wapii,ni vile tu unakuwa umezaliwa na nyota iliyofifia.Chagua kutulia lakini mikosi na sex ni vitu viwili tofauti....Gaza imefutika pamoja na watu wake,je wataka kaniambia walikuwa na dhambi wote.Maisha haya ishi vile uonavyo ni sahihi...kujiwekea masharti kwenye maisha ni kujikatili.....lisilo sahihi kwako kulifanya mbona roho yenyewe hukataa,unajikuta hufanyi...we ishi tu mkuu....Sheria kwenye nchi na kwenye maisha binafsi pia !?😳🙄
Naiweza sahivi mkuu 🤒lakini mbuzi kagoma NO
Kwani ngono imewahi kukusaidia niniKwanini?
Wanaosema hayo wana wivu tuHiiv hii habari ya kua ukifanya unapenda sana ngono unajiletea mikosi maishani yani mambo yako ya utafutaji yanakua hayaendi vizuri ni kweli? Na kama kweli kwanini? Humu ndani yupo imewahi mtokea?
Nataka kuwa sahihi katika utafutaji sitaki ndumba Asanteni
Kwenye mapenzi Mwanaume ndo Una Gharama, mwanamke yeye anapataa Faida mara mbili, ata enjoy mapenzi na Posho juuu.Ukipiga gharama za Lodge 20,000/-, bia 20,000/-, posho 30000/-
InafikirishaWanaosema hayo wana wivu tu
Ina maana matajiri huwa hawachepuki?
Ina maana kila masikini amefika hapo kwasababu ya ngono?
Hivi IPP si bado ipoInafikirisha
Kuna watu tangu vijana ni malaya lakini kwa sasa ndio matajiri
Ndio mnavyoaminishana kwenye vijiwa vyenu vya kahawaDayMonde ana right sex na kila anayelala naye anachukua nyota yake, sasa wewe lala na wenye mikosi !
Kwani akiwa mweupe na tako kuna tatizo?Tafuta mpenzi mmoja, sio lazima awe mweupe na ana tako..
Mkapime kisha fungeni ndoa halali..
Atakua msaidizi wako kiroho na kimwili.
Tubu Kwa mwenyezimungu na kuwa Mwenye kutenda mema achana na zinaa ,. Ni dhambiNimeendaa hali ndio hihiii
Hakuna mwenye kukikubali cheo hicho, hayupo.Wapenda ngonoo mkujee hapa, mnaitwaaa, kuna jambo lenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kama kuna ukweli wakeMaisha ya sasa yamebadilika, Unaweza ukawa unatembea na mwanamke/mwanamke fulani. Lakini ikawa wazazi wake wamempandikiza ushirikina... ( so unakuwa msukule uliye hai huwezi kufanikiwa hata iweje), kila kukicha mikosi, mabalaa na ajali ni vyako.
. Ni kuwa makini tu, Ndo maana wazee wa zamani walikuwa kini sana kwenye mambo kama haya waliona mbali sana.
Unamapepo jamani maana sikuelewiTubu Kwa mwenyezimungu na kuwa Mwenye kutenda mema achana na zinaa ,. Ni dhambi
Hamna kitu kama hicho mbona mie napemda mbususu na hapa nilipo nina billion zangu 3 kwenye accountHiiv hii habari ya kua ukifanya unapenda sana ngono unajiletea mikosi maishani yani mambo yako ya utafutaji yanakua hayaendi vizuri ni kweli? Na kama kweli kwanini? Humu ndani yupo imewahi mtokea?
Nataka kuwa sahihi katika utafutaji sitaki ndumba Asanteni
Ipo hii mkuu, kuna mzee mmoja hivi ana watoto wakike wa 4, wote anafanya nao mapenzi kimazingara ( wote wamezeekea nyumbani hakuna hata mmoja aliye olewa). Zipo kesi nyingi sana za namna hiyo vijana wamebaki kama wasindikazaji kwenye maisha.kama kuna ukweli wake
MKuu hizi elimu ni pana Sana hata Nikijaribu kuelezea Nitakuwa Naacha vitu Vingi Mno..
Tako mbili wazungu haoUkipiga gharama za Lodge 20,000/-, bia 20,000/-, posho 30000/-
Wewe ndio mchukuaji ndio maana unalenga wenye nyotaHamna kitu kama hicho mbona mie napemda mbususu na hapa nilipo nina billion zangu 3 kwenye account