Memento JF-Expert Member Joined Jun 13, 2021 Posts 4,423 Reaction score 9,986 Jan 2, 2022 #21 Kufanya makosa ni kawaida, Ila iku kurudia makosa yaleyale sio sawa
fyddell JF-Expert Member Joined Dec 19, 2011 Posts 12,026 Reaction score 22,549 Jan 2, 2022 #22 Vitu vidogo vidogo kama hivi vikiwa vinakosewa kosewa kila muda na mbaya zaidi wanaogundua ni hadhala basi kuna shida huko kwenye maofisi ya umma. Je kwenye mikataba serikali inayoingia na wadau wa maendeleo mambo yako sawa?!
Vitu vidogo vidogo kama hivi vikiwa vinakosewa kosewa kila muda na mbaya zaidi wanaogundua ni hadhala basi kuna shida huko kwenye maofisi ya umma. Je kwenye mikataba serikali inayoingia na wadau wa maendeleo mambo yako sawa?!
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 21,741 Reaction score 26,735 Jan 2, 2022 #23 ricostersundi said: Chokochoko gani sasa.mtajipendekeza mpaka lini kwa huu ujinga Click to expand... Hayo si maneno yangu ni maneno ya watawala wanaposhindwa kujibu hoja nyepesi.
ricostersundi said: Chokochoko gani sasa.mtajipendekeza mpaka lini kwa huu ujinga Click to expand... Hayo si maneno yangu ni maneno ya watawala wanaposhindwa kujibu hoja nyepesi.