Nimesikitika Nape alipotamba wamefumua hatua mbalimbali kuhusu uchumi alizochukua Magufuli

Nimesikitika Nape alipotamba wamefumua hatua mbalimbali kuhusu uchumi alizochukua Magufuli

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.

Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, taasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?

Dah hakika Magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.

Ungeona ile clip ya video Nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa Magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua JPM kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa Mererani ili watu wao wezi wa madini yetu Kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
 
Nimemsikia Nape akisema na kutba huku anapiga vijembe awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara ,taasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.

Nimemsikia Nape akisema na kutba huku anapiga vijembe awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara ,taasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Na
Nimemsikia Nape akisema na kutba huku anapiga vijembe awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara ,taasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Nape ni mnafiki sana
 
Nimemsikia Nape akisema na kutba huku anapiga vijembe awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara ,taasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Sasa Magufuli na Uchumi wapi na wapi Bwashee? Yule si alikuwa analiangamiza Taifa au nalo hili Hadi upewe ushahidi?

Uchumi unakuzwa hivi 👇
 
Nimemsikia Nape akisema na kutba huku anapiga vijembe awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara ,taasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Magufuli alikuwa anaangamiza uchumi kwa siasa zake mbovu.
 
Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Majitu yenye roho mbaya utajua tu, wsliotawala kwa mabavu na kuuwa watu hajaishi maisha marefu tafakari !
 
Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Mama ana reverse madudu mengi alofanya jpm, tumerudishwa nyuma sana na huyu mtu.
 
Sasa Magufuli na Uchumi wapi na wapi Bwashee? Yule si alikuwa analiangamiza Taifa au nalo hili Hadi upewe ushahidi?
Aliangamiza taifa kivipi wakati hata imf na world bank wachumi walikubali uchumi umepanda hadi nchi tukaingia lower middle icome nation.
Shida yetu elites watz ubinafsi. Kila mtu anaangalia binafsi alipigika vipi kukutwa 18 za jpm. Alichukua maamuzi yanatakiwa bila kumuangalia mtu yeyote usoni.
 
Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
We mkuu umaskini ndo unakusumbua. Unahisi kwamba ukiwa maskini eti ndo mzalendo wa kweli. Money should be in the hands of people siyo bank kuu kuzifungia. Jpm was totally wrong na angekuwa hai halafu akishastafu angejionea mwenyewe jinsi watu wanavyomfundisha kazi. Umeshasikia federal reserve inafanya biasha za kipumbavu kama alivyokuwa anafanya jpm. Bureau de change zinapaswa kuwa nyingi ili kuongeza liquidity kwenye mzunguko siyo kuzimaliza na eti pesa za kigeni unataka zipitie bank za biashara kama nmb nk.

Fungukeni nyie mitanzania msiojua jua hili na lile ndo mana JPm anapenda na mbumbumbu wengi huwezi kukuta msomi anajadili upuuzi wa jpm ambaye alitaka kuzika uchumi wa Tanzania na mbaya zaidi anatupiga fix hadharani kabisa eti tumeingia uchumi wa kati wakati daily biashara za mahoteli, duka, viwand nk vinafunga biashaza zao. Nenda kule bagamoyo viwanda vya chumvi vilishindwa kufanya biashara kipindi Cha jpm na kuamua kufunga na kurudi kukaa lakini Sasa hivi kila kiwanda kimerudi na mahoteli yanafanya kazi very strongly. Nenda pale manzese uone mahoteli yaliyojifunga yenyewe kwa Sasa yanafanya kazi tena upya na kwa Kasi kwa sababu clients wapo na watu wanalala na kula Bata daily. Umaskini unakusumbua we bwana mdogo
 
Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Kuna matajiri wapya wanatengenezwa. Baada ya mwinyi SASA ni Samia kutengeneza mabilionea wezi wa Mali Za umma.

Matajiri wengi unaowsona SASA walitengenezwa na mwinyi. Na hawatataka kumwacha maza Maana Ni pazia tu.
 
Sasa Magufuli na Uchumi wapi na wapi Bwashee? Yule si alikuwa analiangamiza Taifa au nalo hili Hadi upewe ushahidi?

Huelewi criteria za kukubali..Ulipanda ndio but at decreasing rate..

Nikuletee data?
Uniletee data wakati mwenyewe naelewa. Kuna mtu alikua anamshambulia jpm anapima uchumi kwa growth rate badala ya gdp per capita🤣.
 
Back
Top Bottom