ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Uko hivi 👇Sawa mkuu!
Embu elezea sasa uchumi wetu ulivyo kwa sasa ukiondoa hii mikopo ya kila mwezi tunayokopeshwa Karibu T 1+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko hivi 👇Sawa mkuu!
Embu elezea sasa uchumi wetu ulivyo kwa sasa ukiondoa hii mikopo ya kila mwezi tunayokopeshwa Karibu T 1+
Mbumbu wengi?We mkuu umaskini ndo unakusumbua. Unahisi kwamba ukiwa maskini eti ndo mzalendo wa kweli. Money should be in the hands of people siyo bank kuu kuzifungia. Jpm was totally wrong na angekuwa hai halafu akishastafu angejionea mwenyewe jinsi watu wanavyomfundisha kazi. Umeshasikia federal reserve inafanya biasha za kipumbavu kama alivyokuwa anafanya jpm. Bureau de change zinapaswa kuwa nyingi ili kuongeza liquidity kwenye mzunguko siyo kuzimaliza na eti pesa za kigeni unataka zipitie bank za biashara kama nmb nk.
Fungukeni nyie mitanzania msiojua jua hili na lile ndo mana JPm anapenda na mbumbumbu wengi huwezi kukuta msomi anajadili upuuzi wa jpm ambaye alitaka kuzika uchumi wa Tanzania na mbaya zaidi anatupiga fix hadharani kabisa eti tumeingia uchumi wa kati wakati daily biashara za mahoteli, duka, viwand nk vinafunga biashaza zao. Nenda kule bagamoyo viwanda vya chumvi vilishindwa kufanya biashara kipindi Cha jpm na kuamua kufunga na kurudi kukaa lakini Sasa hivi kila kiwanda kimerudi na mahoteli yanafanya kazi very strongly. Nenda pale manzese uone mahoteli yaliyojifunga yenyewe kwa Sasa yanafanya kazi tena upya na kwa Kasi kwa sababu clients wapo na watu wanalala na kula Bata daily. Umaskini unakusumbua we bwana mdogo
Kama yalifanyika mambo mabovu ni vyema kuyarekebisha.Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Kwani uchumi haukui au hautakuaMagufuli Daima alituonesha njia sahihi Watanzania tunapaswa kupita.
Tulikua tunaona Tanzania inapiga hatu kubwa ya kiuchumi na kujenga uchumi sawa kwa raia wake.
Pumzika kwa Amani JIWE la Afrika
Kweli bwashee,..uchumi wetu under Chato empire ungevurugika zaid ya Zimbabwe,..Sasa Magufuli na Uchumi wapi na wapi Bwashee? Yule si alikuwa analiangamiza Taifa au nalo hili Hadi upewe ushahidi?
Tungefikia hatua ya kununua wembe kwa shilingi milioni kama ilivyokuwa ZimbabweKweli bwashee,..uchumi wetu under Chato empire ungevurugika zaid ya Zimbabwe,..
Ulipanda at a decreasing rate 😂😂😂.Huelewi criteria za kukubali..Ulipanda ndio but at decreasing rate..
Nikuletee data?
Mradi w reli,ndege na mingine ya aina hiyo kama mastandi,maviwnja ambayo yanchakaa tuu vina Tija gani kwa Nchi?Magufuli Kuna mambo amedhubitu kufanya mf kuanzisha hii miradi mikubwa , ilikua sahihi kabisa, lakini alishindwa kujua uchumi ndio unatoa fedha za kukamilisha hiyo miradi, uendeshaji mbaya WA uchumi ungepelekea miradi kukwama, ni bahato sana mh Samia alikuja kwa mda sahihi
Yes meaning Kasi ya ukuaji ilipungua.Ulipanda at a decreasing rate 😂😂😂.
Kweli kabisa mkuu,..we fikilia mifuko ya hifadhi za jamii ilishaanza kufilisika walikuwa wanashindwa hata kulipa pension za waarimu,..mzee wangu alisota miaka mi3 baada ya kustaafu.,..kapata pension chini ya Mama Samia.Tungefikia hatua ya kununua wembe kwa shilingi milioni kama ilivyokuwa Zimbabwe
Akifeli sana na bado tunaugulia maumivu ya uchumiMagufuli alikuwa anaangamiza uchumi kwa siasa zake mbovu.
Alikimbiza wawekezaji wote yule Jamaa mwisho akaanza Kupora pesa za watu accountsTungefikia hatua ya kununua wembe kwa shilingi milioni kama ilivyokuwa Zimbabwe
Upande wa kesi za Lema ni saw maana ni mmoja wa wanasiasa waliobambikiwa kesi!!Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Mtaongea kila jambo kujifariji Kwa maumivu,uchungu na hasira ila ukweli unabikia kwamba Samia amemfunika vibaya sana legacy..Maushungi wamekutana na Nepi Nnauye ni kama PIPA NA MFUNIKO.
Wote wameishia LA SABA.
Unaweza ona kazi kubwa na nzuri ya Samia Kwa miaka 2 tuu hapa kwenye Afya 👇Akifeli sana na bado tunaugulia maumivu ya uchumi