ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza kukubali taratibu pigo za mama 🔥🔥
Huwezi kujua kitu, ametesa watu wengi sana na familia zimeumia sana tunaushahidi usuo na shaka.Naona kama jpm slikua muuaji basi alikubakiza wewe tu. Acha ukasuku kudakia maneno yasiyokua kweli.
Sumu zipo nyingi tu kunywa mfuate Magufuli mkaanzishe utawala wenu wa kijima huko.Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Kesi hazifunguliwi na mahakama bali na DPP ambae ni mfanyakazi wa serikali, kama hazifunguliwi na mahakama hata kuzifuta mahakama haifuti bali alofungua DPPNimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Kutoka mtaani akihema ilibidi iwe hivyo maana mbele ya dikteta ulitegemea angemfanya nini, kama mtu bila mamlaka anadukua mawasiliano ya wengine unadhani huyo syo dikteta? Maana alifanikiwa kuwafunga vinywa watu ikabidi aingilie hata faragha za watu atashindwa kuondoa uhai wako?Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Achaneni na habari za Magufuli, ameishaoza na hawezi kufufuka. Aliharibu uchumi, kapora pesa za watu, kifupi alikuwa jambazi na mwehuNimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Kalale naeMagufuli Daima alituonesha njia sahihi Watanzania tunapaswa kupita.
Tulikua tunaona Tanzania inapiga hatu kubwa ya kiuchumi na kujenga uchumi sawa kwa raia wake.
Pumzika kwa Amani JIWE la Afrika
Wewe msukuma gang Bure kabisaNimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
UNA UELEWA MDOGO WA UCHUMI KAMA AKILI YA PANYA MBWA WEE.Nimemsikia Nape akisema na kutamba huku anapiga vijembe vikali awamu ya tano.
Eti Bureau de change sio tu wamerudishiwa hela ila wameruhusiwa kuendelea. Wizara, toaasisi za umma na mashirika ya serikali wameruhusiwa tena kuweka fedha mabenki badala ya benki kuu kwa hivyo ule uchafu wa serikali kukopa fedha zake yenyewe kwa hati fungani zinazonunuliwa na fedha yake yenyewe na mabenki unaweza kuendelea. Eti mama kamruhusu lema kurudi na kumfutia kesi. Kesi zenyewe hazitaji na mama kuingilia mahakama kufuta kesi je sawa?
Dah hakika magufuli alikua sahihi kuwatema hawa walamba asali sema delilah huyu mama msaliti kawakusanya wanatamba tena wamejaa kiburi.
Ungeona ile clip ya video nape akitokea mtaani anahema na kutokwa jasho kwenda ikulu kuomba msamaha kwa magufuli halafu hivi leo anatamba kwamba serikali ya mama inareverse hatua muhimu alizochukua jpm kuhusu uchumi utajua sasa nchi iko kwenye mikono ya walafi na wabinafsi wakubwa. Wataweza kuvunja hata ukuta wa mererani ili watu wao wezi wa madini yetu kenya waweze kuendelea kutuibia kwa uzuri.
Nape bado ana chuki na Jiwe,anawashwa sana toka apigwe chini.
I agreeKichwa Cha SSH uelewa wake, unaendana na Vichwa vya akina Nape.
Huu ndio ukweli, hata yeye kama anabisha, aweke Vyeti vyake vya Elimu .
Yaan Intelligence Quotient ya Kila mmoja wao ,unaweza hisi ni mapacha .
Uwezo wa kuongoza hautegemei elimu ya darasani peke yake.Maushungi wamekutana na Nepi Nnauye ni kama PIPA NA MFUNIKO.
Wote wameishia LA SABA.
Miradi ilianza kipindi gani?Magufuli Kuna mambo amedhubitu kufanya mf kuanzisha hii miradi mikubwa , ilikua sahihi kabisa, lakini alishindwa kujua uchumi ndio unatoa fedha za kukamilisha hiyo miradi, uendeshaji mbaya WA uchumi ungepelekea miradi kukwama, ni bahato sana mh Samia alikuja kwa mda sahihi
Mbona marehemu mjombako alifanya nchi kama ya ukoo, alikaa ikulu, hazina kampa Doto mpwaye na sehemu zote nyeti kaweka wasukuma hukuona hilo kama ubinafsi na undugunization?Eti unasema hakuna msomi anamkubali jpm kwani wewe umefika la ngapi? Kwani unajua elimu yangu mimi? Hiyo statement yako mwanzo ndio inaonyesha wewe ni mjinga tu... kufikiri tunaomuunga mkono jpm ni watu masikini na hatuna elimu ya juu. Je polepole sio msomi? bashiru aly sio msomi, na maelfu siwezi kuwataja. Au utajiri wewe unaupima kivipi? Je nape ndio kwako msomi? Acha dhihaka wewe.
Ubinafsi mtu anazaliwa nao. Unaitwa mbinafsi kama unajijali wewe tu na familia yako. Uongozi wa nchi sio kuongoza kampuni ya ukoo.
Halafu ni empty set kichwani!Na
Nape ni mnafiki sana
Hap akina polepole walikuwa wanufaika hawawezi kumsema vibaya lazima wamseme vizuri mana utajiri alionao polepole na akina makonda na bashiru hauelezeki. Jpm aliwanyima utajiri majority akawatajirisha anaowapenda. Makonda kule madake ana majuma usipeme mpaka amepangisha wazungu tu. Nenda kule madake ujionee, ni karibu na mother of mercy schools.Eti unasema hakuna msomi anamkubali jpm kwani wewe umefika la ngapi? Kwani unajua elimu yangu mimi? Hiyo statement yako mwanzo ndio inaonyesha wewe ni mjinga tu... kufikiri tunaomuunga mkono jpm ni watu masikini na hatuna elimu ya juu. Je polepole sio msomi? bashiru aly sio msomi, na maelfu siwezi kuwataja. Au utajiri wewe unaupima kivipi? Je nape ndio kwako msomi? Acha dhihaka wewe.
Ubinafsi mtu anazaliwa nao. Unaitwa mbinafsi kama unajijali wewe tu na familia yako. Uongozi wa nchi sio kuongoza kampuni ya ukoo.