Nimesikitika sana kuona mke wa mtu akichukuliwa mbele ya macho yangu

Nimesikitika sana kuona mke wa mtu akichukuliwa mbele ya macho yangu

Kwani inaacha alama?

Halafu mngejua hao wanawake wanaoshinda nyumbani wanavyogongwa gongwa hovyo....walahi mngewaswaga wake zenu wote waende ofisini
 
Toka zamani ipohiyo sema sikuhizi iko njenje Sana jamaa anakununulia komoni hapo anakuaga nimeitwa anaenda anakazaa mkunyunge anarudi mnaendelea kuupiga na mkeo anaitwa akatafte hasusa mshikaki Fulani hivi wewe mwenyewe mwenye mke unamwita mama gito hegelage konoo. Tuliosoma mkwawa high school zamani tunarahaa Sana
Umevimbiwa "mabanzi" ya Makanyagio weye!😂😂😂😂
 
- Kwa ufupi vijana wa sasa mna tabu sana maisha yenu ya sasa yamejaa anasa kwelikweli.

- Nawaonea huruma sana maana mnazungukwa sana huko maofisini.

- Ngoja nipambane na maisha yangu hawa vijana niwaachie maisha yao.

- Hakika kikulacho kiko nguoni mwako.
Jamani,kuna nn tena...Leo umekuwa mpole sana mkuu
 
Kikao kilichokaa baada ya valentine hakijafua dafu

Tumekaa tena siku ya wanawake duniani kujadili Hawa viumbe

Mi nahisi Kuna watu huwa wanavujisha Siri za kambi
 
Anatumia papuchi yake mwenyewe wewe unaumia.

Acha utoto
 
Cha muhimu hakikisha watoto ulionao ni wako hayo mengine achana nayo
 
Hao vijana wa sahiv na wewe mnatofauti gani?

 
Back
Top Bottom