yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Hata kwa Sasa huwa unachapiwa ila bado hujajua tuNaomba isinikute ninavyompenda mama A naomba inikute nikiwa nimekufa maana nipo na wivu sana boss wangu Digba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kwa Sasa huwa unachapiwa ila bado hujajua tuNaomba isinikute ninavyompenda mama A naomba inikute nikiwa nimekufa maana nipo na wivu sana boss wangu Digba
Umevimbiwa "mabanzi" ya Makanyagio weye!😂😂😂😂Toka zamani ipohiyo sema sikuhizi iko njenje Sana jamaa anakununulia komoni hapo anakuaga nimeitwa anaenda anakazaa mkunyunge anarudi mnaendelea kuupiga na mkeo anaitwa akatafte hasusa mshikaki Fulani hivi wewe mwenyewe mwenye mke unamwita mama gito hegelage konoo. Tuliosoma mkwawa high school zamani tunarahaa Sana
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba huu mchongo ulianzia Eden,Umekuja kuutangaza JF ili iweje? Mke wa mtu mwasisi wa kuchepuka alikuwa EVA
Jamani,kuna nn tena...Leo umekuwa mpole sana mkuu- Kwa ufupi vijana wa sasa mna tabu sana maisha yenu ya sasa yamejaa anasa kwelikweli.
- Nawaonea huruma sana maana mnazungukwa sana huko maofisini.
- Ngoja nipambane na maisha yangu hawa vijana niwaachie maisha yao.
- Hakika kikulacho kiko nguoni mwako.
Yes[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba huu mchongo ulianzia Eden,
Ndo alizaa wale watoto wawili kain na AbeliUmekuja kuutangaza JF ili iweje? Mke wa mtu mwasisi wa kuchepuka alikuwa EVA