Nimesikitishwa, huzunishwa na kufadhaishwa na uongo wa Kamati ya PAC! Escrow sio fedha za umma!

Mayala anaweza kulikana andiko, jamaa anatafutaga kiki ili aonekane akabidhiwe ukuu, lakini hana nyota sijui awamu hii ya ngosha mwenzake itakuwaje?! anaweza kufikiriwa labda.
 
Pascal buana, unafukua makaburi. Pesa ni za umma au za wafanya biashara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aje atoe ufafanuzi wa kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ufafanuzi gani wakati kule mwanzo tumesema kila kitu!.

Kwenye mabadiliko ya uongozi wa juu, kuna kitu kinaitwa kuheshimiana kati ya uongozi iliotangulia na uongozi uliopo, aliyesema Escrow sio fedha za umma ni JK, na huu ndio ukweli halisi hadi mwisho wa dunia. Baada ya kutokea mabadiliko, jamaa ndio hivyo tena, wamehifadhiwa, kuusema huu ukiukwaji wa haki za watu utakuja kuleta a very bad karmic blows as a hit back!.
Time will tell, mimi nitakuwa ninawakumbusha tuu kila mapigo yakishuka.

P.
 
Mheshimiwa alisema ataki kufukua makaburi kwasababu hawezi kuhimili harufu ya mizoga iliyozikwa humo, sasa wewe ndugu Pascal hili kaburi unalolifukua unaweza kulikabili?
 
Wanabodi,
Kwenye issue hii ya fedha za Escrow kama ni za umma au la, the authority ni ofisi ya GAG na Ripoti ya CAG ndio wakweli, Fedha za Escrow sio fedha za umma!.

Paskali
Mkuu Capt Tamar ,
Asante,
Ubarikiwe
Japo sina uhakika, kwavile siwezi kusoma mabandiko ya watu wote humu, lakini humu JF, mimi ni miongoni mwa tuliomuongelea sana CAG, Ofisi ya CAG na Ripoti za CAG!.
Nakutakia Jumapili Njema
P
 
Pascally ndugu yangu huoni kama haya maneno yako ungeyasema kipindi mzee huyo JR anakamatwa hadi anapelekwa huko rupango yangekuwa na sauti?
P
 
Hiki nilichokisema humu, kimekuja kutokea kwa Mzee JR kukamatwa na kushitakiwa. Kiukweli kabisa, huyu Mzee ameshitakiwa kwa kuonewa bure, hana kosa lolote, baada ya Habinder Sing Sethi kukiri na kuachiwa huru, kinachofuatia ni Mzee JR kufutiwa kesi na kuachiwa huru bila masharti yoyote.

Wito wangu kwa Mzee JR, maadam karma imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake, hana sababu ya kudai fidia yoyote ya kutiwa ndani kwa zaidi ya miaka 4 bila kosa lolote, hakuna kiwango chochote cha fidia kinaweza kumfidia kwenye dunia hii, hivyo aiachie karma imalizane na watesi wake wengine waliobakia.

Welcome back uraiani Mzee wetu JR.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…