wewe vitu vingapi unapotezea..mtu anakuja kazini anababaisha kazi kumbe akili muda mwingi inawaza ngono, akiondolewa kazini kwa underperfomance analia njaa, halafu wewe unasema upotezee..lini familia zenu zitaondokana na umaskini, kama kila kitu unasema potezea..utakufa ukiwa na umri mdogo wewe. vitu vingine unapotezea tu
Hamu ya tendo haijawahi kumwacha mtu salamaNimestushwa hasa nilipoona kwenye baadhi ya magroup ya WhatsApp, redio, magazeti niliyodhani wana weledi wa kutosha kuhusu masuala ya kijamii kuangukia kwenye hoja kama hii, tena wengine ni wasomi wanaojinasibu kuwa wameelimika.
Vina hovyo badala ya kuhoji mambo ya msingi wamekalia ujinga hawa wafunzi wamekuja hapa nchini kwa mkataba gani?wameletwa na nani mbona hatuna mpaka nao kwanini wavuke mipaka yote waje huku waache nchi jiraniMkuu vijana wengi wa ktz iq zao ni ndogo sana.
HaaaaaaUsipangie watu maisha wewe! Wewe na userious wako umefika wapi?
kama si wewe achana nayo....fight your own war. kwa nini unajaribu kupigana vita ya wengine isiyo yako. Kuumia unakodhihirisha kuumia ndiko kutakuondoa duniani mapema. Acha moyo wako usukume damu bila shinikizo.wewe vitu vingapi unapotezea..mtu anakuja kazini anababaisha kazi kumbe akili muda mwingi inawaza ngono, akiondolewa kazini kwa underperfomance analia njaa, halafu wewe unasema upotezee..lini familia zenu zitaondokana na umaskini, kama kila kitu unasema potezea..
kuondoka kwangu duniani mapema wewe inakuhusu nini..? na wewe unapigana vita ya nani?kama si wewe achana nayo....fight your own war. kwa nini unajaribu kupigana vita ya wengine isiyo yako. Kuumia unakodhihirisha kuumia ndiko kutakuondoa duniani mapema. Acha moyo wako usukume damu bila shinikizo.
Cp Maggid mjengwaWakuu,
Mimi nikiwa kama Mtanzania mwenye akili timamu, nimechukizwa sana na jinsi watanzania mbalimbali walivyolishadadia na kuendelea kuchangia maoni yao kwa wanafunzi waliokuja kutoka Sudan kufanya mafunzo yao ya udaktari kwa vitendo katika chuo cha Afya Muhimbili.
Nasema nimegadhabishwa kwa sababu mtizamo wa watanzania wengi umejikita kwenye utani wa kuwadhalilisha wanawake na kutweza uanaume kwa malengo yasiyofahamika.
Wachangiaji wengi wameonyesha kuwa vijana wengi wa Kitanzania hawana maadili na mawazo yao yamejikita zaidi kwenye masuala ya kingono kwa wanafunzi hao wa Ssudan na wameendelea mbele zaidi kuonesha kuwa wanaume wengi wa Tanzania fikra zao ni ngono tu na hawana jambo lingine wanalofikiria.
Nimestushwa hasa nilipoona kwenye baadhi ya magroup ya WhatsApp, redio, magazeti niliyodhani wana weledi wa kutosha kuhusu masuala ya kijamii kuangukia kwenye hoja kama hii, tena wengine ni wasomi wanaojinasibu kuwa wameelimika.
Tabia hii ya hovyo iliyooneshwa na wanajamii wenzetu inatuzalilisha kwa kiasi kikubwa na kutweza utu wetu sisi kama Watanzania, hasa nikirejea sakata lililotokea mwaka baada ya Klabu ya Simba kumsajili Mchezaji mmoja kutoka barani Ulaya ambapo waandishi wetu walijikuta wakifanya masihara kwa kumuita mzungu yaliyopelekea kuleta hisia za kibaguzi kwa mwana soka yule nguli kiasi cha kuamua kukatisha mkataba wake na kuondoka.
Kenya Gani hiyo ile inayoongoza na royal family,Ujinga wa watanzania wengi ndio unaosababisha wakenya wapate mwanya wa kuwatumia katika mambo mbali mbali yanayohusiana na vita vya kiuchumi, kama vile hili swala la bandari, ujenzi wa bomba kutoka Tanzania hadi Uganda, na lile lingine waliloshindwa la kule Loliondo.
Adui kabla ya kuku target ili akutumie huwa aangalia kwanza akili yako, mawazo yako, na uwezo wako wa kufikiri.
Akigundua uko weak katika mambo yote matatu, basi na yeye anapata mwanya wa kukutumia kwa njia anazozijua yeye kama wanavyotumiwa vijana wetu na wanasiasa wetu uchwara wa Tanzania.
Kamwe ujinga huo hawawezi kuwafanyia wanyarwanda, au waganda, maana wanajua fika kuwa jamaa wako vizuri vichwani mwao.
Wakuu,
Mimi nikiwa kama Mtanzania mwenye akili timamu, nimechukizwa sana na jinsi watanzania mbalimbali walivyolishadadia na kuendelea kuchangia maoni yao kwa wanafunzi waliokuja kutoka Sudan kufanya mafunzo yao ya udaktari kwa vitendo katika chuo cha Afya Muhimbili.
Nasema nimegadhabishwa kwa sababu mtizamo wa watanzania wengi umejikita kwenye utani wa kuwadhalilisha wanawake na kutweza uanaume kwa malengo yasiyofahamika.
Wachangiaji wengi wameonyesha kuwa vijana wengi wa Kitanzania hawana maadili na mawazo yao yamejikita zaidi kwenye masuala ya kingono kwa wanafunzi hao wa Ssudan na wameendelea mbele zaidi kuonesha kuwa wanaume wengi wa Tanzania fikra zao ni ngono tu na hawana jambo lingine wanalofikiria.
Nimestushwa hasa nilipoona kwenye baadhi ya magroup ya WhatsApp, redio, magazeti niliyodhani wana weledi wa kutosha kuhusu masuala ya kijamii kuangukia kwenye hoja kama hii, tena wengine ni wasomi wanaojinasibu kuwa wameelimika.
Tabia hii ya hovyo iliyooneshwa na wanajamii wenzetu inatuzalilisha kwa kiasi kikubwa na kutweza utu wetu sisi kama Watanzania, hasa nikirejea sakata lililotokea mwaka baada ya Klabu ya Simba kumsajili Mchezaji mmoja kutoka barani Ulaya ambapo waandishi wetu walijikuta wakifanya masihara kwa kumuita mzungu yaliyopelekea kuleta hisia za kibaguzi kwa mwana soka yule nguli kiasi cha kuamua kukatisha mkataba wake na kuondoka.
The tallest acha mambo yakisenge. Rudisha avatar picha Yako tuliyokuzoea ya picha ya Bob Marley na simbaHilo ndio watanzania tunaliweza,hakuna kingine, lingine ni kulalama baada ya muda tunasahau