Nimesikitishwa na kugadhabika jinsi Watanzania walivyopokea suala la wanafunzi waliotoka Sudan

Kwanza kajifunze kuandika kiswahili fasaha kisha uje utufuate.


Pili punguza makasiriko unafupisha maisha kwa presha
 
Usione ajabu sana maana binadamu tunatofautiana sana kiakili ! Zipo simple minds zipo ordinary minds na zipo Great minds !! Hiyo isikuumize ni kawaida sana !
 
atakayemchukua hata mmoja atuambie kama kuna antena ya king'amuzi. tena hao huwa wanafyeka vibaya hadi panabaki tu peusiii na kishimo kilee, ule wekundu haupo.
 
Pale unapoanza kuwapangia watu cha kusifia
 
Usitufokee,
 
Asa kama Millard ayo kapost picha 10 9 za pisi kali afu moja tuh ndio yawanaume ulitegemea tusipagawe [emoji23]
Kwani Millard ayo ndio nan kwenye jamii yetu?!!
Huwa nashangaa sana watu kama hao kuonekana wanajua sana na kushikilia rimoti ya ufikiriaji wa watu wengi kwenye jamii.
Utasikia mtu mzima msomi mkubwa anasapoti Jambo/pointi kwa kusema eti si unaona hata Fulani kasema au kaposti....
 
Ungefika muhimbili kwanza ujiridhishe kisha uje kufungua uzi hapa jf
 
Bumbavu .

Watanzania wamelipokea au wameamua kujifurahisha.

Acha kuwa serious na mambo ya kipumbavu.

Wenzako wanafamya utani wewe unabung'aa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…