Uchaguzi 2020 Nimesikitishwa na ubinafsi wa CHADEMA katika mkakati wa wapinzani kusimamisha mgombea mmoja

Uchaguzi 2020 Nimesikitishwa na ubinafsi wa CHADEMA katika mkakati wa wapinzani kusimamisha mgombea mmoja

ACT Kigoma ina nguvu, hebu niambie wana majimbo mangapi waliyoshinda huko uchaguzi mkuu uliopita?

Hata ukisema wana nguvu Pwani, niambie wana majimbo mangapi waliyoshinda huko Pwani uchaguzi mkuu uliopita?

Inshort, umeandika mambo mengi ambayo hayapo kabisa.
Ameandika kiushabiki tupu, na kama utafuatilia utawagundua wapo ACT na Membe na Zitto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huyo Zitto tangu ile issue ya miezi miwili kabla ya uchaguzi wa 2010 sijawahi kumuamini tena.

Tatizo tulilo nalo sisi wanachama wa hivi vyama ni kuvitazama kwa nje tu wala hatujisumbui kuchimba na kuona chimbuko la chama husika ni wapi au ni upi.

Amini nawaambia ukweli kuwa kuna baadhi ya vyama ni kichaka cha watu wa usalama ( kitengo) wapo kwenye hicho chama ili kuudanganya umma tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga huo danganyaneni nyinyi wakuna nazi wa lumumba. Kwa cdm mmekwama maana kila mtu yupo macho na ulaghaia wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Waliojiandikisha kupiga kura ni mil 29.
je unauhakika na wewe umo kwenye hao mil 29?
ili kushinda inabidi uwe na miundombinu na mbinu za miundo.
hizi nyenzo mbili zote Chadema hamna.
Mpo kwenye mitandao tu.
 
Waliojiandikisha kupiga kura ni mil 29.
je unauhakika na wewe umo kwenye hao mil 29?
ili kushinda inabidi uwe na miundombinu na mbinu za miundo.
hizi nyenzo mbili zote Chadema hamna.
Mpo kwenye mitandao tu.
Hivi kwa akili yako hapa umeandika nini wewe? Vitu vingine uwe unaandikia watoto wa shemeji yako kwenye blackboard ili mfundishane, siyo hapa GT

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ACT ina mbunge mmoja ambaye ni Zitto na madiwani 3 Tanzania nzima,halafu isitoshe kumwamini zitto ni ngumu sana umoja wa vyama unaweza kuunda hoja au kuunda kitu halafu yeye akaja na wazo na humbadilishi na itakuwa too late kwa wakati huo ,mtashangaa mnaporomoka na kupiga kura imebaki week moja
ACT Kigoma ina nguvu, hebu niambie wana majimbo mangapi waliyoshinda huko uchaguzi mkuu uliopita?

Hata ukisema wana nguvu Pwani, niambie wana majimbo mangapi waliyoshinda huko Pwani uchaguzi mkuu uliopita?

Inshort, umeandika mambo mengi ambayo hayapo kabisa.
 
Mwenye kiti wa chadema ni CCM na ana kadi ya CCM ulishawahi kuona au kusikia alirudisha kadi?
Wee una taarifa kuwa Mkiti wako Taifa amewahi kujiunga na Nccr mageuzi? Mwakyembe na nape je?? Au ulikuwa bado hujaja duniani??
 
Back
Top Bottom