Uchaguzi 2020 Nimesikitishwa na ubinafsi wa CHADEMA katika mkakati wa wapinzani kusimamisha mgombea mmoja

Uchaguzi 2020 Nimesikitishwa na ubinafsi wa CHADEMA katika mkakati wa wapinzani kusimamisha mgombea mmoja

Wee una taarifa kuwa Mkiti wako Taifa amewahi kujiunga na Nccr mageuzi? Mwakyembe na nape je?? Au ulikuwa bado hujaja duniani??
Nimeuliza swali ulitakiwa unijibu kuwa uliona akirudisha kadi au hukuona Sasa ukiuliza swali kwa swali si unadhihirisha ufinyu wako wa kufikiri
 
Mimi nasimama na Mheshimiwa Zitto, Zitto amejitahidi sana kutafuta maridhiano na umoja wa upinzani.

Kama Chadema wataleta tamaa, na ubinafsi kiasi kwamba ikitaka ichukue lionshare ya majimbo ya Bara bila kujali kuwa ACT nacho ni chama kinachotaka kuendelea kujijenga basi ACT isimame kivyakevyake.

Zitto aingie kwenye mazungumzo kama chama chenye turufu, asiingie kwenye mazungumzo kama subservient au surbodinate wa Chadema.

Hoja siyo kuing'oa CCM tu, bali hoja ni kuingiza madarakani coalition itakayoweza kufanya reforms za maana. Sasa kama kuna chama kinataka kiwatumie wengine tu ili kufikia lengo lake basi hicho chama hakiwezi kutuletea watanzania mabadiriko tunayoyataka. Bora kuanza upya!
 
ACT Kigoma ina nguvu, hebu niambie wana majimbo mangapi waliyoshinda huko uchaguzi mkuu uliopita?

Hata ukisema wana nguvu Pwani, niambie wana majimbo mangapi waliyoshinda huko Pwani uchaguzi mkuu uliopita?

Inshort, umeandika mambo mengi ambayo hayapo kabisa.

Kuna tofauti ya ACT ya 2015 (ikiwa mtoto mchanga kabisa) . Na ACT ya 2020 (mseto wa ACT na CUF)....Hata hiyo 2015 majimbo mengi Kigoma na Dar yalipotezwa kwa kugawanya kura za upinzani.......
 
Hii tabia ya kumsimanga Zitto, na kutaka kumtumia tu pale mnapodhani Chadema itanufaika kisha baada ya hapo mnaleta dharau na kejeli dhidi yake ni jambo baya sana

Hawa wasiomwamini Zitto na kumshushia kila aina ya shutuma kuwa sijui haaminiki hawasemi lolote juu ya Mashinji, Kafulila, Waitara, Dr Slaa, Mollel, Silinde, Lijualikali, Katambi waliounga mkono juhudi. Once upon a time mlikuwa mkiwaona watu hao kama makamanda wa ukweli, wapinzani wa ukweli kuliko Zitto lakini Je leo wako wapi?

Kuanzia mwaka 2017 hadi 2020 June mwaka buu kabla Lissu hajarudi ni Zitto ndiye aliyebeba jukumu la kubeba tochi ya upinzani dhidi ya CCM na Magufuli, na aliupa upinzani lifeline ya kutosha baada ya Magufuli kuweka kibano kikali kwa upinzani kwelikweli.

Leo Lissu karudi na anaonekana kupata umaarufu basi mnaleta nyodo kwa Zitto

Acheni mambo yenu nyinyi, Bila ACT na Membe kumuunga mkono Lissu, Mikoa ya kusini na Zanzibar Lissu hawezi kutoboa!. Hivi nyie hamlionk hili?.

Zitto anajaribu kusacrifice kupoteza opportunity ya kuijenga ACT nchi nzima kwenye msimu huu wa kampeni kwa ajili ya kumng'oa Magufuli na CCM halafu bado mnaongea shombo dhidi yake?

Mimi namshauri Zitto, kama Chadema wataweka ubinafsi mbele, basi ACT songeni kivyenu, hamkuanzisha chama ili muwe wabeba viatu wa vyama vingine
 
Mimi nasimama na Mheshimiwa Zitto, Zitto amejitahidi sana kutafuta maridhiano na umoja wa upinzani.

Kama Chadema wataleta tamaa, na ubinafsi kiasi kwamba ikitaka ichukue lionshare ya majimbo ya Bara bila kujali kuwa ACT nacho ni chama kinachotaka kuendelea kujijenga basi ACT isimame kivyakevyake.

Zitto aingie kwenye mazungumzo kama chama chenye turufu, asiingie kwenye mazungumzo kama subservient au surbodinate wa Chadema.

Hoja siyo kuing'oa CCM tu, bali hoja ni kuingiza madarakani coalition itakayoweza kufanya reforms za maana. Sasa kama kuna chama kinataka kiwatumie wengine tu ili kufikia lengo lake basi hicho chama hakiwezi kutuletea watanzania mabadiriko tunayoyataka. Bora kuanza upya!
ACT kwakuwa mnajiona ni ma superior ingieni pekee yenu na cdm atasimama kivyake. Hatuwezi kuwa chini ya mwavuli wa ACT hata siku moja.

Labda itokee miujiza ya kulazimishwa na hali halisi lkn siyo kwa kuamua tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii tabia ya kumsimanga Zitto, na kutaka kumtumia tu pale mnaodhani Chadema itanufaika kisha baada ya hapo mnaleta dharau na kejeli dhidi yake ni jambo baya sana

Hawa wasiomwamini Zitto na kumshushia kila aina ya shutuma kuwa sijui haaminiki hawasemi lolote juu ya Mashinji, Kafulila, Waitaea, Dr Slaa, Mollel, Silinde, Lijualikali, Katabi waliounga mkono juhudi. Once upon a tkme mlikuwa mkiwaona hao kama makamanda wa ukweli, wapinzani wa ukweli kuiko Zitto lakini Je leo wako wapi?

Kuanzia mwaka 2017 hadi 2020 June mwaka buu kabla Lissu hajarudi ni Zitto ndiye aliyebeba jukumu la kubeba tochi ya upinzani dhidi ya CCM na Magufuli

Leo Lissu karudi na anaonekana kupata umaarufu basi mnaleta nyodo kwa Zitto

Acheni mambo yenu nyinyi, Bila ACT na Membe kumuunga mkono Lissu, Mikoa ya kusini na Zanzibar Lissu hawezi kutoboa!. Hivi nyie hamlionk hili?
Hata jiwe alikuwa tayari kuwafukuza wabunge wote wa kusini. Hivyo usitutishe kabisa na hiyo ACT yako.
Naona unamsifia sana Membe kuchukua majimbo yote ya kusini utadhani yeye ni mpya kwenye siasa.

Kama vipi kila chama kushinde kwake basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ACT kwakuwa mnajiona ni ma superior ingieni pekee yenu na cdm atasimama kivyake. Hatuwezi kuwa chini ya mwavuli wa ACT hata siku moja.

Labda itokee miujiza ya kulazimishwa na hali halisi lkn siyo kwa kuamua tu

Sent using Jamii Forums mobile app

ACT ikitia timu Bara haina cha kupoteza zaidi ya kujitangaza na kujikita kikamilifu katika mikoa ya kusini na pwani pamoja na Kigoma na Tabora na mingineyo ambayo meseji yake itapokelewa na wananchi huku ikiwa na nafasi nzuri ya kuwa kwenye serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar (SUK)

ACT inachofanya ni kuwa inataka kwa dhati kabisa CCM ing'olewe ndiyo maana inataka kuunganisha nguvu na Chadema kwenye suala hili.

Ila kama Chadema wanadhani they can do it alone, well then nitamshauri Zitto kuwa mabadiliko ya kweli hayawezi kuzaliwa katika mimba ya ubinafsi na hivyo basi kila mtu ashinde mechi zake!
 
Hata jiwe alikuwa tayari kuwafukuza wabunge wote wa kusini. Hivyo usitutishe kabisa na hiyo ACT yako.
Naona unamsifia sana Membe kuchukua majimbo yote ya kusini utadhani yeye ni mpya kwenye siasa.

Kama vipi kila chama kushinde kwake basi

Sent using Jamii Forums mobile app
Missile of the Nation! Usipoteze muda kumjibu huyu kichwa maji. Mara nyingi ni vuvuzela asiye na hoja za msingi.....
 
Missile of the Nation! Usipoteze muda kumjibu huyu kichwa maji. Mara nyingi ni vuvuzela asiye na hoja za msingi.....
Yeye yupo na Zitto hivyo analazimisha cdm kuiunga mkono ACT wasimamishe rais na cdm tuwe mtaji wao.

Zitto huyu huyu ambaye miaka yote alikuwa akituwacha wana cdm tukisusa vikao kwa manufaa ya watanzania wote lkn yeye anaona abakie ndani ya bunge ili tuonekane sisi cdm ndiyo wakorofi bungeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye yupo na Zitto hivyo analazimisha cdm kuiunga mkono ACT wasimamishe rais na cdm tuwe mtaji wao.

Zitto huyu huyu ambaye miaka yote alikuwa akituwacha wana cdm tukisusa vikao kwa manufaa ya watanzania wote lkn yeye anaona abakie ndani ya bunge ili tuonekane sisi cdm ndiyo wakorofi bungeni

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimeshauriwa nisikujibu lakini ngoja nikujibu mara ya mwisho

Waitara, Mollel, Lijualikali, Silinde wote hao walitoka nje ya bunge, leo wako wapi?, Hapo mwanzo si ulikuwa unawaona hao ni makamanda wa ukweli na mashujaa kuliko Zitto eh?, Sasa wako wapi!

Mwaka 2015 Zitto hakuwa UKAWA, wakati huo bado mlikuwa na chuki nae!, sasa ulitaka vipi aenende kwa kufuata misimamo ya chama chako wakati huo?

Ngoja nikuulize swali moja, Mwenyekiti wako alipotajwa na Makonda kwenye list ya wauza ngada, ni Dr Slaa au Zitto aliyesimama kumtetea mbele ya Camera mwenyekiti wako?

Huyo Dr Slaa si ndo ulikuwa unamuona booooonge la kamanda huku ukimuita Zitto msaliti eh?. Sasa leo yuko wapi?

Wakati mwingine huwa nadhani mna ile kitu inayoitwa LOVE-HATE juu ya Zitto, yaani ama mnamkubali sana lakini mnajifanya hamumpendi, au mnatambua uwezo wake mzuri na mkubwa ila tu mnataka kumtumia kwa manufaa yenu binafsi kupitia tactic ya kumblackmail kwa kumsimanga, kumshutumu, etc Lakini down kwenye mioyo yenu na up kwenye bongo zenu mnatambua kuwa yule jamaa ni jembe!
 
Yeye yupo na Zitto hivyo analazimisha cdm kuiunga mkono ACT wasimamishe rais na cdm tuwe mtaji wao.

Zitto huyu huyu ambaye miaka yote alikuwa akituwacha wana cdm tukisusa vikao kwa manufaa ya watanzania wote lkn yeye anaona abakie ndani ya bunge ili tuonekane sisi cdm ndiyo wakorofi bungeni

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimaanisha wewe ndiye vuvuzela unaendekeza vitu vya hovyo. Hakuna mtu aliyesimama kidete upande wa upinzani mwaka 2017-2020 kama Zitto Kabwe! Hamna? Simuoni kabisa.
 
Salaam Wakuu,

Hii hali ya kujiona CHADEMA ndo Baba lao kwenye vyama vya Upinzani, inaumiza watu wanaounga mkono Upinzani. Nimesikitika kuona CHADEMA wanaweka Mashariti magumu kwa vyama Vingine kuunganana as if wana haki miliki na wapiga kura.

Mbowe alisema lengo ni kuiondoa CCM madarakani, kwanini leo watu wagombanie fito wakati lengo lao moja?

ACT wapo tayari kwa Ushirikiano ila sio kuonekana wapo chini ya chama fulani.

Wanasiasa wa Sera mbadala, kama watampa nafasi Mwenyekiti wa CHAUMA Mheshimiwa Hashim Rungwe awashauri na kuweka Mikakati ya kuungana, watafanya Vizuri sana.

Chonde chonde CHADEMA chini ya Mbowe, kuweni na Moyo uliopondeka na wenye kupenda Umoja bila kiburi.

Mkikataa Ushirikiano, mtachakazwa na CCM hadi Mshangae. Sababu vyama vya upinzani mtagawana gawana kura za wafuasi wenu walio wengi.

TANZANIA hakuna chama Kidogo. ACT haina hata miaka 10 lakini inaonekana sawa na zaidi ya vyama vyenye miaka zaidi ya 20
Nakumbuka maneno ya mgombea mwenza ndugu salum mwalimu aliposema:
"Kuna watu wamezoea kujitekenya wenyewe halafu wacheke, lakini mwaka huu sisi ndio tutawatekenya halafu wao ndio wacheke"
 
Hapo ndo makosa yalipo na huo ndo ubinafsi.
kama kigezo ni idadi ya wabunge kwa nini Chadema inajaribu kuungana na ACT ambao wana mbunge mmoja?
Chadema haijajaribu kuungana na ACT ila ACT ndio inajaribu kuungana na Chadema.

Umeshawasikia viongozi wa Chadema wakisisitiza kila mara suala la kumsimamisha mgombea mmoja 2020?Sanasana utamsikia Zitto ndio akililia huo muungano ambao mwaka 2015 aliukataa kabisa.
 
Salaam Wakuu,

Hii hali ya kujiona CHADEMA ndo Baba lao kwenye vyama vya Upinzani, inaumiza watu wanaounga mkono Upinzani. Nimesikitika kuona CHADEMA wanaweka Mashariti magumu kwa vyama Vingine kuunganana as if wana haki miliki na wapiga kura.

Mbowe alisema lengo ni kuiondoa CCM madarakani, kwanini leo watu wagombanie fito wakati lengo lao moja?

ACT wapo tayari kwa Ushirikiano ila sio kuonekana wapo chini ya chama fulani.

Wanasiasa wa Sera mbadala, kama watampa nafasi Mwenyekiti wa CHAUMA Mheshimiwa Hashim Rungwe awashauri na kuweka Mikakati ya kuungana, watafanya Vizuri sana.

Chonde chonde CHADEMA chini ya Mbowe, kuweni na Moyo uliopondeka na wenye kupenda Umoja bila kiburi.

Mkikataa Ushirikiano, mtachakazwa na CCM hadi Mshangae. Sababu vyama vya upinzani mtagawana gawana kura za wafuasi wenu walio wengi.

TANZANIA hakuna chama Kidogo. ACT haina hata miaka 10 lakini inaonekana sawa na zaidi ya vyama vyenye miaka zaidi ya 20
Kwa hili hapana kabisa...napongeza maamuzi ya CHADEMA wamejifunza ya 2015 kwenye UKAWA..
Hiyo ACT ya sasa ni chotara na inapata nguvu kupitia Maalim Seif CUF na Membe CCM..
 
Back
Top Bottom