Uchaguzi 2020 Nimesikitishwa na ubinafsi wa CHADEMA katika mkakati wa wapinzani kusimamisha mgombea mmoja

Uchaguzi 2020 Nimesikitishwa na ubinafsi wa CHADEMA katika mkakati wa wapinzani kusimamisha mgombea mmoja

Kwahiyo kama alisimama kidedea ndiyo tiketi ya kutulazimisha wapinzani wengine tumuunge mkono? Wewe na vibaraka wenzako hamjui kilicho wafanya cdm wawe busy kiasi kumfanya Zitto aonekane yeye ndiye kinara wa kuutetea upinzani?

Ebu hesabu kuanzia mwaka 2915 hadi mwaka huu ni kesi ngapi viongozi wa cdm walikuwa nazo mahakamani? Tupe hesabu ya masaa waliyo tumia kuhudhulia mahakamani ukilinganisha na Zitto ndiyo uje na hiyo comparison yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo toka 2017 mpaka 2020 siasa za Chadema zilihusu hiyo kesi mahakamani pale Kisutu. Huku wabunge na madiwani wenu wakinunuliwa kama njugu. Na pia kwenda kuomba maridhiano ya Kitaifa kwenye sherehe za Uhuru pale Mwanza.

Ila nitapenda msiungane kabisa na kwa ubinafsi wenu muendelee kujiona mnaweza kushinda uchaguzi. Halafu hiyo November tupate matokeo ya jeuri yenu. Kwanza naona ACT haina cha kupoteza kivile.... Ina uhakika wa majimbo huko Zanzbar na Pemba na mengine machache hapa bara.
 
Salaam Wakuu,

Hii hali ya kujiona CHADEMA ndo Baba lao kwenye vyama vya Upinzani, inaumiza watu wanaounga mkono Upinzani. Nimesikitika kuona CHADEMA wanaweka Mashariti magumu kwa vyama Vingine kuunganana as if wana haki miliki na wapiga kura.

Mbowe alisema lengo ni kuiondoa CCM madarakani, kwanini leo watu wagombanie fito wakati lengo lao moja?

ACT wapo tayari kwa Ushirikiano ila sio kuonekana wapo chini ya chama fulani.

Wanasiasa wa Sera mbadala, kama watampa nafasi Mwenyekiti wa CHAUMA Mheshimiwa Hashim Rungwe awashauri na kuweka Mikakati ya kuungana, watafanya Vizuri sana.

Chonde chonde CHADEMA chini ya Mbowe, kuweni na Moyo uliopondeka na wenye kupenda Umoja bila kiburi.

Mkikataa Ushirikiano, mtachakazwa na CCM hadi Mshangae. Sababu vyama vya upinzani mtagawana gawana kura za wafuasi wenu walio wengi.

TANZANIA hakuna chama Kidogo. ACT haina hata miaka 10 lakini inaonekana sawa na zaidi ya vyama vyenye miaka zaidi ya 20
Sasa unataka Mbowe awe anakuja kuripoti huku JF kila hatua wanayofikia? Mbona kwenye mkutano mkuu wa CHADEMA alitangaza kuwa kuna mazungumzo yanaendelea. Vuta subira
 
Salaam Wakuu,

Hii hali ya kujiona CHADEMA ndo Baba lao kwenye vyama vya Upinzani, inaumiza watu wanaounga mkono Upinzani. Nimesikitika kuona CHADEMA wanaweka Mashariti magumu kwa vyama Vingine kuunganana as if wana haki miliki na wapiga kura.

Mbowe alisema lengo ni kuiondoa CCM madarakani, kwanini leo watu wagombanie fito wakati lengo lao moja?

ACT wapo tayari kwa Ushirikiano ila sio kuonekana wapo chini ya chama fulani.

Wanasiasa wa Sera mbadala, kama watampa nafasi Mwenyekiti wa CHAUMA Mheshimiwa Hashim Rungwe awashauri na kuweka Mikakati ya kuungana, watafanya Vizuri sana.

Chonde chonde CHADEMA chini ya Mbowe, kuweni na Moyo uliopondeka na wenye kupenda Umoja bila kiburi.

Mkikataa Ushirikiano, mtachakazwa na CCM hadi Mshangae. Sababu vyama vya upinzani mtagawana gawana kura za wafuasi wenu walio wengi.

TANZANIA hakuna chama Kidogo. ACT haina hata miaka 10 lakini inaonekana sawa na zaidi ya vyama vyenye miaka zaidi ya 20
Nakuunga mkono. CDM wasifnye kosa hilola kutosikiliza wenzao hasa ACT.
Ila nikusahihishe kidogo.. ACT imepata ujiko baada ya kuingia Maalim, short of that kulikuwa hakuna kitu! Na ukiangalia wengi ni wafuasi wa Maalim. Ila kweli kimepata nguvu ya ujio wa Maalim.
 
Waliochukua fomu kugombea urais tume ni 17 na chadema ikiwemo, lakini kwa ubinafsi wanalaumiwa chadema.Nimeamini mti wenye matunda ndo unaotupiwa mawe.
 
Watu wanakosea sehemu moja au kwa kujua au kutojua kuwa ACT ya sasa ni sawa na cuf ambayo bila ukawa haikuwa tishio kwa Tanzania bara. Hivyo hata sasa ACT ili wafanikiwe ni lazima wahitaji uungwaji mkono wa cdm tu

Sent using Jamii Forums mobile app
This is a very good analysis! Kwa bara, ACT lazima uingane na CDM kufanya vizuri. Visiwani lazima CDM iungane na ACT kufanya vizuri! Uko sahihi kabisa
 
Upo sahihi kabisa mkuu Mshana Jr hawa watu wana agenda yao na usishangae na mbaya wetu akawa nyuma ya pazia akichekelea kabisa jinsi tunavyotaka kuingia kwenye dema

Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema bila nyota ya Lissu haina lolote jipya.... Ndio alikibeba sana chama 2015 hadi 2017. Alipokuwa kwenye matibabu Zitto Kabwe ndiye aliubeba upinzani wakati mgumu sana yaani 2017 hadi hii 2020 na mmekuwa mkisapoti sana hoja zake hapa. Kurudi kwa Lissu ndiko kunakowabeba sasahivi na anataka ushirikiano aliouomba kwa dhati kwenye mkutano wa ACT. Ninyi mavuvuzela ya chadema badala yakusonga mbele mmerudi kwenye kui_attack ACT eti ni chama cha mamluki na wasaliti.... Subirini mshindwe uchaguzi ndipo mtaona wakina Lijualikali na Mollel wengine waliobaki huko chamani watakavyojiuza na kununuliwa kama njugu mawe.........
Basi haina haja ya kumaliza calories zako kuchonga juu ya cdm, tangu lini ccm mkawa na ushauri wenye tija juu ya ustawi wa cdm?

Hesabuni maumivu safari hii wacha tupambane tunavyo weza maana tayari tushaumwa na nyoka wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ninyi Chadema mna ruhusa ya kuiongea hovyo ACT kama mlivyoanza nyodo toka Lissu arudi nchini. Tukianza kuwapiga 'spana' mnaanza kulialia hivi. Upinzani ukienda kwenye uchaguzi na siasa za majitaka za kushambuliana wenyewe kwa wenyewe nina uhakika Chadema ndiyo itapoteza pakubwa huku bara......Yaani msiungane muendelee kushambuluana halafu hiyo November tupeane mrejesho wa siasa za majitaka......
 
Salaam Wakuu,

Hii hali ya kujiona CHADEMA ndo Baba lao kwenye vyama vya Upinzani, inaumiza watu wanaounga mkono Upinzani. Nimesikitika kuona CHADEMA wanaweka Mashariti magumu kwa vyama Vingine kuunganana as if wana haki miliki na wapiga kura.

Mbowe alisema lengo ni kuiondoa CCM madarakani, kwanini leo watu wagombanie fito wakati lengo lao moja?

ACT wapo tayari kwa Ushirikiano ila sio kuonekana wapo chini ya chama fulani.

Wanasiasa wa Sera mbadala, kama watampa nafasi Mwenyekiti wa CHAUMA Mheshimiwa Hashim Rungwe awashauri na kuweka Mikakati ya kuungana, watafanya Vizuri sana.

Chonde chonde CHADEMA chini ya Mbowe, kuweni na Moyo uliopondeka na wenye kupenda Umoja bila kiburi.

Mkikataa Ushirikiano, mtachakazwa na CCM hadi Mshangae. Sababu vyama vya upinzani mtagawana gawana kura za wafuasi wenu walio wengi.

TANZANIA hakuna chama Kidogo. ACT haina hata miaka 10 lakini inaonekana sawa na zaidi ya vyama vyenye miaka zaidi ya 20

Umekuja na technic mpya ya kutega kunguru kwa maharage makavu?

Mtamaliza zote mwaka huu.

Hadi Oct 28 si ajabu kusikia tuchangie jiwe kwani kahamia CDM.
 
Sasa kwako lipi jema kama mwana ccm? Tangu lini ccm mliwahi kuitakua mema cdm? Cdm ni taasisi kubwa ina kila kitengo cha kuilinda, kuitetea na kuiongoza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mkipewa ushauri mnahisi huyu ni mamluki wa chama tawala. Nimenote ACT haina 'keyboard warriors' kama Chadema na CCM. Nikaamua kuwapazia sauti kidogo kwa sababu navutiwa na siasa yao ya sera nzuri na hoja mujarabu. Niwie radhi kwa kuparurana nawe. Uchaguzi mwema.....
 
Nguvu imekua kubwa ghafla tu kulazimisha hii kitu. Kuna Nini huko?
Kwasababu sisi wananchi tusio na vyama ndii tunataka.

CCM inatesa mnoooo watu.

Mdude yuko Jela.

Akwilini kafariki.

Alphonse Mawazo kafariki.

Lissu risasi 36 kama anauliwa dubu.

Wakulima wanateseka.

Ajira hakuna.

Rushwa imehalalishwa.

Anyway yetu macho.
 
Salaam Wakuu,

Hii hali ya kujiona CHADEMA ndo Baba lao kwenye vyama vya Upinzani, inaumiza watu wanaounga mkono Upinzani. Nimesikitika kuona CHADEMA wanaweka Mashariti magumu kwa vyama Vingine kuunganana as if wana haki miliki na wapiga kura.

Mbowe alisema lengo ni kuiondoa CCM madarakani, kwanini leo watu wagombanie fito wakati lengo lao moja?

ACT wapo tayari kwa Ushirikiano ila sio kuonekana wapo chini ya chama fulani.

Wanasiasa wa Sera mbadala, kama watampa nafasi Mwenyekiti wa CHAUMA Mheshimiwa Hashim Rungwe awashauri na kuweka Mikakati ya kuungana, watafanya Vizuri sana.

Chonde chonde CHADEMA chini ya Mbowe, kuweni na Moyo uliopondeka na wenye kupenda Umoja bila kiburi.

Mkikataa Ushirikiano, mtachakazwa na CCM hadi Mshangae. Sababu vyama vya upinzani mtagawana gawana kura za wafuasi wenu walio wengi.

TANZANIA hakuna chama Kidogo. ACT haina hata miaka 10 lakini inaonekana sawa na zaidi ya vyama vyenye miaka zaidi ya 20

Ww unaamini kabisa wanaccm wote watawapigia kura?
 
Hii tabia ya kumsimanga Zitto, na kutaka kumtumia tu pale mnapodhani Chadema itanufaika kisha baada ya hapo mnaleta dharau na kejeli dhidi yake ni jambo baya sana

Hawa wasiomwamini Zitto na kumshushia kila aina ya shutuma kuwa sijui haaminiki hawasemi lolote juu ya Mashinji, Kafulila, Waitara, Dr Slaa, Mollel, Silinde, Lijualikali, Katambi waliounga mkono juhudi. Once upon a time mlikuwa mkiwaona watu hao kama makamanda wa ukweli, wapinzani wa ukweli kuliko Zitto lakini Je leo wako wapi?

Kuanzia mwaka 2017 hadi 2020 June mwaka buu kabla Lissu hajarudi ni Zitto ndiye aliyebeba jukumu la kubeba tochi ya upinzani dhidi ya CCM na Magufuli, na aliupa upinzani lifeline ya kutosha baada ya Magufuli kuweka kibano kikali kwa upinzani kwelikweli.

Leo Lissu karudi na anaonekana kupata umaarufu basi mnaleta nyodo kwa Zitto

Acheni mambo yenu nyinyi, Bila ACT na Membe kumuunga mkono Lissu, Mikoa ya kusini na Zanzibar Lissu hawezi kutoboa!. Hivi nyie hamlionk hili?.

Zitto anajaribu kusacrifice kupoteza opportunity ya kuijenga ACT nchi nzima kwenye msimu huu wa kampeni kwa ajili ya kumng'oa Magufuli na CCM halafu bado mnaongea shombo dhidi yake?

Mimi namshauri Zitto, kama Chadema wataweka ubinafsi mbele, basi ACT songeni kivyenu, hamkuanzisha chama ili muwe wabeba viatu wa vyama vingine
Ndugu yangu hata siku moja usiweke makubaliano na mchagga kichwa kichwa

Kwao uaminifu ni ZERO.

Ukiona anakufuata fuata jua kuna kitu kakiona kwako anakitaka.

Hata huyo Lissu wanampamba sana kwa kuwa wamemwona kwa sasa anaweza kuwapa watakacho.

Kama asipofanikiwa baada ya Uchaguzi, fuko lote la pesa anakuwa nalo Mbowe hawezi kumwelewa Lissu tena.

Kila mmoja kwa muda wake.

Mbowe alimtumia Slaa kupambana na Zitto.

Vile vile, Kamtumia Rose Kamili kupambana na Slaa.

Narudia tena, kuwa makini unapofanya makubaliano yoyote na mchagga.

Tusubiri UBATIZO WA MOTO PART 2.

Kumbe JIWE hajawanyoosha VIZURI.
 
Umetumwa?
CCM wanawaambieni umoja ni ushindi bado hamtaki kuelewa.
Tatizo tulilo nalo sisi wanachama wa hivi vyama ni kuvitazama kwa nje tu wala hatujisumbui kuchimba na kuona chimbuko la chama husika ni wapi au ni upi.

Amini nawaambia ukweli kuwa kuna baadhi ya vyama ni kichaka cha watu wa usalama ( kitengo) wapo kwenye hicho chama ili kuudanganya umma tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hutaki kajinyonge cdm hatuwezi kushirikiana na virusi vya CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
figganigga,

Kama unaiona cdm haina thamani mbele ya hiyo ACT yako poa tu Waacheni cdm na nyie fanyeni ushirika na TLP na CUF na NCCR

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ninyi wapambe wa Chadema kama Chadema hamna data (takwimu) za kujivunia kwamba mtaweza kuchukua dola kivyenu. Mkijipa matumaini 'feki' kuwa mna nguvu ya kupigana kivyenu mtashindwa uchaguzi (uraisi na ubunge maeneo nyeti) asubuhi na mapema. Zaidi mnatembelea nyota ya Lissu kurudi Tz hadi sasa na mikusanyiko ya watu wakati wa kutafuta wadhamini.

Na Lissu ni msomi na anajua umuhimu wa ushirikiano na ameshauongea kwenye hotuba zake........ Sioni jinsi Chadema inaweza kushinda huu uchaguzi bila ushirikiano na ACT ili kupata kura za kutosha sehemu mikoa kama Kigoma, mikoa yote ya pwani na kusini mwa Tanzania, Zanzbar na miji mikubwa kama Dar na kadhalika......
Majina hayajatoka ya wagombea waungane kivipi wakati hata wale wa CCM hawajajua mustakabali wao.

CCM yenyewe haijaunga mana CCM ni Chama chenye wapinzani wa ndani kwa ndani.
Ilikua inawagombea makumi elfu wenye uroho wa madaraka.
Hivyo kuungana kwa wapinzani sio ishu ya kuiangusha CCM.

Kuna vyama vimewekeza maisha ,Mali na muda na mateso kwa miaka Mitano.
Lakini pia kuna vyama Vilivyoingia kwa kusaidiwa na CCM ili kama vyama vingine vitasusia basi vitangazie dunia kuwa uchaguzi ulikua huru na haki.

Kwa mtizamo wangu vyama vya kuungana ni Chadema ,ACT na Chauma.
Wengine ni wamsimu wakaungane na CCM.
Walishajisalimisha huko wakiamini Chadema imekufa .
 
Majina hayajatoka ya wagombea waungane kivipi wakati hata wale wa CCM hawajajua mustakabali wao.

CCM yenyewe haijaunga mana CCM ni Chama chenye wapinzani wa ndani kwa ndani.
Ilikua inawagombea makumi elfu wenye uroho wa madaraka.
Hivyo kuungana kwa wapinzani sio ishu ya kuiangusha CCM.

Kuna vyama vimewekeza maisha ,Mali na muda na mateso kwa miaka Mitano.
Lakini pia kuna vyama Vilivyoingia kwa kusaidiwa na CCM ili kama vyama vingine vitasusia basi vitangazie dunia kuwa uchaguzi ulikua huru na haki.

Kwa mtizamo wangu vyama vya kuungana ni Chadema ,ACT na Chauma.
Wengine ni wamsimu wakaungane na CCM.
Walishajisalimisha huko wakiamini Chadema imekufa .


Mkuu.usiwaamini.sana ACt
 
Na ninyi wapambe wa Chadema kama Chadema hamna data (takwimu) za kujivunia kwamba mtaweza kuchukua dola kivyenu. Mkijipa matumaini 'feki' kuwa mna nguvu ya kupigana kivyenu mtashindwa uchaguzi (uraisi na ubunge maeneo nyeti) asubuhi na mapema. Zaidi mnatembelea nyota ya Lissu kurudi Tz hadi sasa na mikusanyiko ya watu wakati wa kutafuta wadhamini.

Na Lissu ni msomi na anajua umuhimu wa ushirikiano na ameshauongea kwenye hotuba zake........ Sioni jinsi Chadema inaweza kushinda huu uchaguzi bila ushirikiano na ACT ili kupata kura za kutosha sehemu mikoa kama Kigoma, mikoa yote ya pwani na kusini mwa Tanzania, Zanzbar na miji mikubwa kama Dar na kadhalika......
Tangu lini chadema wakawa na akili timamu, kile ni kikundi cha wasaka tonge, hebu fikiria sasa hivi wachoma ofisi zao eti ili umma uwaonee huruma ya kuonewa.Kuungana na CHADEMA ni sawa na kuanzisha chama cha upinzani mwezi mmoja kabla ya uchaguzi mkuu ukitegemea utashiriki sawa na vyama kongwe.
 
Salaam Wakuu,

Hii hali ya kujiona CHADEMA ndo Baba lao kwenye vyama vya Upinzani, inaumiza watu wanaounga mkono Upinzani. Nimesikitika kuona CHADEMA wanaweka Mashariti magumu kwa vyama Vingine kuunganana as if wana haki miliki na wapiga kura.

Mbowe alisema lengo ni kuiondoa CCM madarakani, kwanini leo watu wagombanie fito wakati lengo lao moja?

ACT wapo tayari kwa Ushirikiano ila sio kuonekana wapo chini ya chama fulani.

Wanasiasa wa Sera mbadala, kama watampa nafasi Mwenyekiti wa CHAUMA Mheshimiwa Hashim Rungwe awashauri na kuweka Mikakati ya kuungana, watafanya Vizuri sana.

Chonde chonde CHADEMA chini ya Mbowe, kuweni na Moyo uliopondeka na wenye kupenda Umoja bila kiburi.

Mkikataa Ushirikiano, mtachakazwa na CCM hadi Mshangae. Sababu vyama vya upinzani mtagawana gawana kura za wafuasi wenu walio wengi.

TANZANIA hakuna chama Kidogo. ACT haina hata miaka 10 lakini inaonekana sawa na zaidi ya vyama vyenye miaka zaidi ya 20
Kila mwaka Chadema wanataka wao ndo waweke mgombea urais.ubinafsi umewajaa sana.
Chief we mgeni na hao, watu wanafightia majimbo, ruzuku ndugu yangu. We hujui maalim sef ni mtaji mkubwa kwa zitto? Zito amejihakikishia Pemba, hata chadema wakijitia hivo, dogo anauhaka wakuwa chama kikuu cha upinzani. Mjumbe hauawi
Na ninyi wapambe wa Chadema kama Chadema hamna data (takwimu) za kujivunia kwamba mtaweza kuchukua dola kivyenu. Mkijipa matumaini 'feki' kuwa mna nguvu ya kupigana kivyenu mtashindwa uchaguzi (uraisi na ubunge maeneo nyeti) asubuhi na mapema. Zaidi mnatembelea nyota ya Lissu kurudi Tz hadi sasa na mikusanyiko ya watu wakati wa kutafuta wadhamini.

Na Lissu ni msomi na anajua umuhimu wa ushirikiano na ameshauongea kwenye hotuba zake........ Sioni jinsi Chadema inaweza kushinda huu uchaguzi bila ushirikiano na ACT ili kupata kura za kutosha sehemu mikoa kama Kigoma, mikoa yote ya pwani na kusini mwa Tanzania, Zanzbar na miji mikubwa kama Dar na kadhalika......
Upinzani wote tu kuanzia Act, Chauma, CDM ni wabinafsi na wako kuisaidia ccm itawale kiurahisi kwa kuhadaa umma. Wote ni Kama kenge hawasikii mpaka watoke damu
Chadema yana tamaa sana,

Na kwa tamaa zao hizo mwaka huu hawaoati kura!

Zitto ataendelea kushine hasa Zanzibar, huku Chadema ikiendelea kushine Kilimanjaro pekee.
Chadema yana tamaa sana,

Na kwa tamaa zao hizo mwaka huu hawaoati kura!

Zitto ataendelea kushine hasa Zanzibar, huku Chadema ikiendelea kushine Kilimanjaro pekee.
SI MLISEMA KUWA CHADEMA IMEKUFA, SASA WASIWASI WENU NI NINI TENA
 
ACT Kigoma ina nguvu, hebu niambie wana majimbo mangapi waliyoshinda huko uchaguzi mkuu uliopita?

Hata ukisema wana nguvu Pwani, niambie wana majimbo mangapi waliyoshinda huko Pwani uchaguzi mkuu uliopita?

Inshort, umeandika mambo mengi ambayo hayapo kabisa.
Zanzibar pia wananguvu lkn hakuna hata diwani walieshinda uchaguzi 2015. Jambo kubwa lakuangalia na ambalo nawatahadharisha upinzani manzingira ya 2015 si sawa na manzingira ya 2020 kwahio wawe makini katika kushirikiana au kutokushirikiana.
 
Back
Top Bottom