Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Hiyo mimba yakwako [emoji817] angalia hapo umekutana nae tarehe 24 ambapo ilikuwa siku ya 19 ilikuwa bado ni danger ukihesbau siku kumi kutoka siku ya 12 ambapo danger inaanzia achana na mambo cocacola lea mwanao .View attachment 1779423
nimeshachelewa ngoja nikapime ntaleta mrejesho

Mkuu kama hukukutana nae kati ya tar 16-23 jua umepigwa hapo (hizo tarehe ni kwa mzunguko wa siku 28 hadi 31)

Hiyo siku uliyomla ni siku ya 18.

Hata kama demu angekuwa na mzunguko wa siku 28 bado hiyo siku ya 18 ni siku ya hatari.

Tafadhali huo mzigo ni wako. Acha kuruka.

Jinga kabisa.
Vp mbona mnanichanganya??
 
Hakuna kitu kinauma kama ugonge tugoli tuwili tu halafu usingiziwe mimba yaani papuchi haujaetembezea moto kuongezea maili hata 100 haiwezekani nasema haiwezekani kwa niaba ya mashabiki wote wa simba Sport club
 
Hiyo mimba yakwako [emoji817] angalia hapo umekutana nae tarehe 24 ambapo ilikuwa siku ya 19 ilikuwa bado ni danger ukihesbau siku kumi kutoka siku ya 12 ambapo danger inaanzia achana na mambo cocacola lea mwanao .View attachment 1779423
Hii calendar yako sijaielewa kabisa!

Mzunguko ni wa siku 5/5 kwa average! 5 days za bleed, 5 days za probation, 5-7 days za danger zone!

Sasa kama mtu bleed kaanza tarehe 6-9 anzia kuhesabu siku 5 toka tarehe 9! Means tarehe 14 kaanza danger siku 7 mbele itakuwa tarehe 21 baada ya hapo mimba haishiki! Sasa huyu mtu kapataje mimba tarehe 24? Huu ni utapeli wa wazi kabisa!
 
Hakuna kitu kinauma kama ugonge tugoli tuwili tu halafu usingiziwe mimba yaani papuchi haujaetembezea moto kuongezea maili hata 100 haiwezekani nasema haiwezekani kwa niaba ya mashabiki wote wa simba Sport club
Naumia sana mkuu
 
Daah aisee ukipiga dry kuruka mimba huwa ni ngumu aisee.
Lakini na wewe kajamaa unaenda kununua coca badala ya condom.

Fanya hivi sasa japo ni maumivu, hifadhi tarehe mliyokutana(mimba ilipoingia) , hadi tarehe atakayojifungua walau unaweza kupiga hesabu zako kujijua kama we ni muhusika ama lah, hii njia ilishwahi kuniokoa na kisanga kama chako.
 
Vp mbona mnanichanganya??
Kaka demu ameanza danger tarehe 14 na akamaliza 21 hapo! ungemgonga tarehe 22 ningeweza sema probability ila demu wako mzunguko wake wa bleed ni siku 4 sio 7 so average ya bleed days na probation ni siku 5!

Kuna room ya siku 7 ambazo zinatosha kabisa kwa yai kushuka na kuwa demolished kabla halijakutana na mbegu! Unaongea na mtu mwenye A ya biology NECTA na mwenye uzoefu wa kutosha na hii mitikasi!
 
1:Maswali mawili madogo ya nyongeza,Ulishindwaje kujua kama alikuwa na mahusiano nyuma au la mpaka ukawa unamuuliza yeye?
2: Kwa maelezo yako mwanamke anaonekana anakuzidi umri na akili,je ni kweli anakuzidi vyote au kimojawapo?
Unanizidishia stress zaid mkuu.
 
Kwani lazima mzini vijana ?
 
Hakika mkuu me ntamsomesha yaani mpaka akiri.
 
Kweli mkuu nimejifunza sana, tena sana
We pima nae mimba! Mchawi wa kwanza ultra sound. Hakikisha unacheki umri wa mimba na utunze tarehe! Ikitokea mimba ina umri mkubwa kuliko tarehe mlio sex jua hio ni redflag.

Na kwa uzoefu wengi wanaobambikiwaga mimba huwa inakuwa ina mwezi mmoja au mwezi na nusu kabla!
 
Hakuna mimba ya namna hiyo, hapo unatapeliwa kwa 100%.
Achana na huyo malaya faster faster, mpige chini mapema.
Yeye anasema umempa mimba, na wewe mwambie yeye kakuambukiza gono au ukimwi na vimeanza kukutesa, hivyo kila mtu apambane na hali yake.
Ukumbuke unamshauri mtu aliyeamini koka baridi inazuia mimba akaachana na condom akakatikia huko ndani na kushusha mzigo.
 
Si lazima mkuu wangu, me nimekuwepo namwamini lakini sjui kwa yeye maana tabia ya mtu anaweza kukufichia.
Ulitakiwa uishie hapa "Si lazima mkuu wangu".

Haya maelezo mengine unazidikukosea tu.

Ngoja wadau wakushauri,mimi nitazidi kukupa stress aisee,maana huwa sipendi ujinga kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…