Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Hiyo mimba yakwako [emoji817] angalia hapo umekutana nae tarehe 24 ambapo ilikuwa siku ya 19 ilikuwa bado ni danger ukihesbau siku kumi kutoka siku ya 12 ambapo danger inaanzia achana na mambo cocacola lea mwanao .View attachment 1779423
nimeshachelewa ngoja nikapime ntaleta mrejesho

Mkuu kama hukukutana nae kati ya tar 16-23 jua umepigwa hapo (hizo tarehe ni kwa mzunguko wa siku 28 hadi 31)

Hiyo siku uliyomla ni siku ya 18.

Hata kama demu angekuwa na mzunguko wa siku 28 bado hiyo siku ya 18 ni siku ya hatari.

Tafadhali huo mzigo ni wako. Acha kuruka.

Jinga kabisa.
Vp mbona mnanichanganya??
 
Hakuna kitu kinauma kama ugonge tugoli tuwili tu halafu usingiziwe mimba yaani papuchi haujaetembezea moto kuongezea maili hata 100 haiwezekani nasema haiwezekani kwa niaba ya mashabiki wote wa simba Sport club
 
Hiyo mimba yakwako [emoji817] angalia hapo umekutana nae tarehe 24 ambapo ilikuwa siku ya 19 ilikuwa bado ni danger ukihesbau siku kumi kutoka siku ya 12 ambapo danger inaanzia achana na mambo cocacola lea mwanao .View attachment 1779423
Hii calendar yako sijaielewa kabisa!

Mzunguko ni wa siku 5/5 kwa average! 5 days za bleed, 5 days za probation, 5-7 days za danger zone!

Sasa kama mtu bleed kaanza tarehe 6-9 anzia kuhesabu siku 5 toka tarehe 9! Means tarehe 14 kaanza danger siku 7 mbele itakuwa tarehe 21 baada ya hapo mimba haishiki! Sasa huyu mtu kapataje mimba tarehe 24? Huu ni utapeli wa wazi kabisa!
 
Hakuna kitu kinauma kama ugonge tugoli tuwili tu halafu usingiziwe mimba yaani papuchi haujaetembezea moto kuongezea maili hata 100 haiwezekani nasema haiwezekani kwa niaba ya mashabiki wote wa simba Sport club
Naumia sana mkuu
 
Daah aisee ukipiga dry kuruka mimba huwa ni ngumu aisee.
Lakini na wewe kajamaa unaenda kununua coca badala ya condom.

Fanya hivi sasa japo ni maumivu, hifadhi tarehe mliyokutana(mimba ilipoingia) , hadi tarehe atakayojifungua walau unaweza kupiga hesabu zako kujijua kama we ni muhusika ama lah, hii njia ilishwahi kuniokoa na kisanga kama chako.
 
Vp mbona mnanichanganya??
Kaka demu ameanza danger tarehe 14 na akamaliza 21 hapo! ungemgonga tarehe 22 ningeweza sema probability ila demu wako mzunguko wake wa bleed ni siku 4 sio 7 so average ya bleed days na probation ni siku 5!

Kuna room ya siku 7 ambazo zinatosha kabisa kwa yai kushuka na kuwa demolished kabla halijakutana na mbegu! Unaongea na mtu mwenye A ya biology NECTA na mwenye uzoefu wa kutosha na hii mitikasi!
 
1:Maswali mawili madogo ya nyongeza,Ulishindwaje kujua kama alikuwa na mahusiano nyuma au la mpaka ukawa unamuuliza yeye?
2: Kwa maelezo yako mwanamke anaonekana anakuzidi umri na akili,je ni kweli anakuzidi vyote au kimojawapo?
Unanizidishia stress zaid mkuu.
 
Habari za Jumapili njema wapendwa, sifa zote apewe Mungu muumba mbingu na nchi. Amina.

Soma kwa makini kuna fundisho hapa

Jamani nimekuja humu ndani kupata suruhisho la masaibu yanayo nisumbua na kunipa stress zaidi katika wakati huu.

Hii changamoto naona inanilemea tofauti na kupata msaada wenu ntaishia pabaya.

Maada:

Me nimekuwepo na girl friend ambae tumezoeana takriban mwezi mmoja, tumezoeana siku hadi siku baadae mwafaka ukawa baadaye tuoane.

Amekuwa akija kunitembelea kama kawaida geto,, lakini tokana na nguvu ya shetani kutuvaa tulijikuta tumeanguka.

Ilikuwa tarehe 24 ya mwezi wa 4 usiku ndo tulishiriki ngono lakini pia katika kushiriki binti aliniambia nikanunue soda ya Coca Cola kwa ajili ya kutumia kama kinga.

Basi sikuwa na hiana nikafata baada ya kunikazia kuwa yupo kwenye siku za hatari yasije tokea mengine ya mimba.

Nilipoileta basi tukaendelea na mambo mengine baada ya kumaliza alimimina na kuanza kunywa taratibu,,nikamuuliza kazi yake, anadai anapokunywa zile shahawa zinatelemka zenyewe tu.

Basi na kweli zikawa zinatelemka anajifuta.

Baada ya siku hiyo kupita tukakutana tena tarehe 28 mwezi 4 huo huo mchana.

Baada ya kumaliza, siku hiyo akaanza kudai tumbo linamuuma,nikamwambia itakuwa hali tu ya tumbo,, siku ya pili hivyo hivyo basi ikafika tarehe 6 ya mwezi wa 5 akadai haoni siku zake na siku ya pili yake hakuaona ambayo ni tarehe 7,mpaka sasa anasema yupo dry.

Nikamsihi itakuwa mabadiliko ya hali ya hewa lakini ananambia hii itakuwa mimba,, wakati huo sipo nae maana yupo kwao alisafiri hiyo tarehe 6 tokana na changamoto alizokuwa akipata alipo kuwa anaishi.

Mimi nikamsisitiza kapime tuone tatizo nini(yupo kwao mda huu) anasema ntapima tu lakini itakuwa mimba.

Nimemtolea uvivu nikamtega maswali, alidai breed aliingia tarehe 6 mwezi wa nne akatoka tarehe 9 na mimi nilikutana nae tarehe 24 kwa kinga ya soda,tarehe 28 bila kinga,.

Nimefatilia kuhusu mzunguko maana me si kweli alikuwa kwenye hatari ya kupata mimba, na nimemhusisha imekuwa kesi,nikamwambia aniambie ukweli kama hakuwa na mahusiano huko nyuma kabla yangu lakini kakana.kalia sana eti hakutegemea kama ntamwambia mambo kama hayo.

Mara mimi najua hii mimba niyako hata ukikataa,, lakini mimi moyo wangu hauna amani kabisa juu ya swala hili,, nahisi kubambikiwa mzigo usiyo kuwa wangu.

Ilikuwa imebaki kidogo tu tuanze maisha ya ndoa maana wazazi taarifa wanazo kuwa runataka kuoana,,

lakini amani moyoni mwangu haipo nahisi harufu ya usaliti imepita.

Nisiwachoshe sana wakuu swali langu.

Kwa wataalamu wa mzunguko wa hedhi hasa wanawake mnisaidie je nikweli huu mzigo ni wangu?

Maana mimi nikiangalia siku zote tulizo shiriki siyo siku za kushika mimba kufatana na huo mzunguko wake.

Asije ikawa mimba alikuwa nayo halafu kaja kutegesha kwangu.

Nikomee hapo wakuu, msaada wenu ni mhimu sana.

Asanteni.

Kwani lazima mzini vijana ?
 
Hii calendar yako sijaielewa kabisa!

Mzunguko ni wa siku 5/5 kwa average! 5 days za bleed, 5 days za probation, 5-7 days za danger zone!

Sasa kama mtu bleed kaanza tarehe 6-9 anzia kuhesabu siku 5 toka tarehe 9! Means tarehe 14 kaanza danger siku 7 mbele itakuwa tarehe 21 baada ya hapo mimba haishiki! Sasa huyu mtu kapataje mimba tarehe 24? Huu ni utapeli wa wazi kabisa!
Hakika mkuu me ntamsomesha yaani mpaka akiri.
 
Kweli mkuu nimejifunza sana, tena sana
We pima nae mimba! Mchawi wa kwanza ultra sound. Hakikisha unacheki umri wa mimba na utunze tarehe! Ikitokea mimba ina umri mkubwa kuliko tarehe mlio sex jua hio ni redflag.

Na kwa uzoefu wengi wanaobambikiwaga mimba huwa inakuwa ina mwezi mmoja au mwezi na nusu kabla!
 
Hakuna mimba ya namna hiyo, hapo unatapeliwa kwa 100%.
Achana na huyo malaya faster faster, mpige chini mapema.
Yeye anasema umempa mimba, na wewe mwambie yeye kakuambukiza gono au ukimwi na vimeanza kukutesa, hivyo kila mtu apambane na hali yake.
Ukumbuke unamshauri mtu aliyeamini koka baridi inazuia mimba akaachana na condom akakatikia huko ndani na kushusha mzigo.
 
Si lazima mkuu wangu, me nimekuwepo namwamini lakini sjui kwa yeye maana tabia ya mtu anaweza kukufichia.
Ulitakiwa uishie hapa "Si lazima mkuu wangu".

Haya maelezo mengine unazidikukosea tu.

Ngoja wadau wakushauri,mimi nitazidi kukupa stress aisee,maana huwa sipendi ujinga kabisa.
 
Back
Top Bottom