Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Wanakutisha mzee mimba hio imewekwa na mwenzio before! Hata lugha ya demu inaashiria ana jambo lake.
Me mwenyewe nilistuka mapema kwa kauri zake,, nikweli kabisa nimeamini mimba siyo yangu tarehe 24 na 28 siyo sku za kushika mimba kabisa, nilimtafuta mtu wa kike nikampatia mfano wa huu mzunguko ilikuja kuangukia kwenye "siku salama"
 
bwana mdogo elimu yako ni ya kiwango gani na ni wapi ulisikia kinywaji kama CocaCola kinazuia mimba?
wewe ulisoma wapi hizo habari?
usilumbane sasa hivi maana hiyo ni yako mngojee azae mtoto ukajihakikishie na mungu atakusaidia
mungu atakusaidia (kwa sauti ya christian bella)
 
Ulitakiwa uishie hapa "Si lazima mkuu wangu".

Haya maelezo mengine unazidikukosea tu.

Ngoja wadau wakushauri,mimi nitazidi kukupa stress aisee,maana huwa sipendi ujinga kabisa.
Pow mkuu lakini haya nimaswala ya wote, sisi sote ni wanaume so kuomba ushauri kwa wanaume wenzangu si tatizo, hata we pia laweza kukutokea wanawake wana mambo mengi.
 
bwana mdogo elimu yako ni ya kiwango gani na ni wapi ulisikia kinywaji kama CocaCola kinazuia mimba?
wewe ulisoma wapi hizo habari?
usilumbane sasa hivi maana hiyo ni yako mngojee azae mtoto ukajihakikishie na mungu atakusaidia
mungu atakusaidia (kwa sauti ya christian bella)
Daah ngoja niangalie lakini huyu binti, sinanae uhakika kabisa.
 
Wanawake na wadada mliomo humu narudia tena

Sio kila anaekojoa amesimama anafaa kuwa mumeo na baba wa familia. Ona hii malaria
 
Lea mimba kaka hyo mimba imeingia tar 24 bila ubishi na alikuwa danger siku hyo na hyo haina ubishi
 
Mkuu hizo coca hazina uhakika 100% so jarb kuw mpole
 
Back
Top Bottom