Me mwenyewe nilistuka mapema kwa kauri zake,, nikweli kabisa nimeamini mimba siyo yangu tarehe 24 na 28 siyo sku za kushika mimba kabisa, nilimtafuta mtu wa kike nikampatia mfano wa huu mzunguko ilikuja kuangukia kwenye "siku salama"Wanakutisha mzee mimba hio imewekwa na mwenzio before! Hata lugha ya demu inaashiria ana jambo lake.
Pow mkuu lakini haya nimaswala ya wote, sisi sote ni wanaume so kuomba ushauri kwa wanaume wenzangu si tatizo, hata we pia laweza kukutokea wanawake wana mambo mengi.Ulitakiwa uishie hapa "Si lazima mkuu wangu".
Haya maelezo mengine unazidikukosea tu.
Ngoja wadau wakushauri,mimi nitazidi kukupa stress aisee,maana huwa sipendi ujinga kabisa.
Daah ngoja niangalie lakini huyu binti, sinanae uhakika kabisa.bwana mdogo elimu yako ni ya kiwango gani na ni wapi ulisikia kinywaji kama CocaCola kinazuia mimba?
wewe ulisoma wapi hizo habari?
usilumbane sasa hivi maana hiyo ni yako mngojee azae mtoto ukajihakikishie na mungu atakusaidia
mungu atakusaidia (kwa sauti ya christian bella)
Pole.Mkuu nipo na huzuni lakini umenfurahisha "baba koka?!
Ok.. Sasa tulia usipaniki...Sawa mkuu nimejifunza tokana na makosa.
Kuna mambo ya msingi duniani ni lazima kuyajua. Condom ndo kinga ya mimba na magonjwa. Wewe umepuuza sababu hukutumia ubongo wako aliokupa MUNGU uliongozwa na nyege.Mkuu huwezi jua yote hapa duniani
Acha abebe madhambi yaliyotokana na undezi wa baba yake wa kuamini kwamba coca cola inazuia mimba.[emoji1787] baba koka.
Unamwonea mtoto hana hatia
Umemkula siku ya 18 kabebe mzigo wako.Vp mbona mnanichanganya??
naam hapo sawa fanya hivyo mkuuMkuu Utra sound inasaidia kutambua umri wa mimba, labda nitumie hiyo na nataka nimwambie kama nikweli niyangu aje tupime kama akikubali.