Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Yani kanawadinya tu halafu kakwepe majukumu,kwa hapa kalivyojieleza kana kesi ya kujibu.
 
Lea tu mkuu anaweza akaja kuwa Rais badae
Huo ni udhaifu tu.unapenda taasisi ya urais lkn siyo mtu km alivo.

Bado hauta ufurahia akiwa rais. Mapikipiki utayasikia tuu....
 
Mkuu mwana mke akisema hii mimba yako hakuna kupinga mm nilishawai kukataa mimba nikajua labda akizaa atabadilisha maamuz na sikutoa hata mia lakn aliendelea kushikilia msimamo huo huo mtoto kuzaliwa mm kabisa nilipata aibu nikaanza kujikomba komba mtoto anamiaka saba sasa hivi namlea kama kawa nilisha jifunza mkuu
 
Kubari tu mimba ni yako mlee mtoto wenu baraka hiyo amekuletea
 
Ukweli utaujua tu bro.
 
Hauna cha kukimbia hapa mkuu, labda kama uliongoza na muhuni, ila hapa iko wazi kabisa ukipiga hesabu za kisayansi mzigo ni wako, expect baby gal kabisa.
 
Mkuu hiyo coca ni hi nayoijua mim[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…