Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Kwahiyo mkuu me namtema aisee hadi aseme ukweli, asije nipakazia kumbe baba wa mtoto yupo maana kwa story zake za kusema yeye marafiki wengi ni wakiume inanitia shaka Sana.
Huyo demu anaonekana ana janja janja za ajabu!
 
Solution ni rahisi sana nenda nae hospitali mkapime mimba ina umri gani. Kama ni katika hizo tarehe mzee baba karibu katika chama la wazazi Baba mtarajiwa. Wala usifanye nae ligi maana kama tarehe zikioana goma lako hilo ukiona mimba ina miezi miwili utakuwa umepigwa changa la macho
 
Habari za Jumapili njema wapendwa, sifa zote apewe Mungu muumba mbingu na nchi. Amina.

Soma kwa makini kuna fundisho hapa

Jamani nimekuja humu ndani kupata suruhisho la masaibu yanayo nisumbua na kunipa stress zaidi katika wakati huu.

Hii changamoto naona inanilemea tofauti na kupata msaada wenu ntaishia pabaya.

Maada:

Me nimekuwepo na girl friend ambae tumezoeana takriban mwezi mmoja,, tumezoeana siku had siku baadae mwafaka ukawa baadae tuoane.

Amekuwa akija kunitembelea kama kawaida geto,, lakini tokana na nguvu ya shetani kutuvaa tulijikuta tumeanguka.

Ilikuwa tarehe 24 ya mwezi wa 4 usiku ndo tulishiriki ngono lakini pia katika kushiriki binti aliniambia nikanunue soda ya Coca Cola kwa ajili ya kutumia kama kinga,,

Basi sikuwa na hiana nikafata baada ya kunikazia kuwa yupo kwenye siku za hatari yasije tokea mengine ya mimba,

Nilipo ileta basi tukaendelea na mambo mengine baada ya kumaliza alimimina na kuanza kunywa taratibu,,nikamuuliza kazi yake, anadai anapo kunywa zile shahawa zinatelemka zenyewe tu,

Basi na kweli zikawa zinatelemka anajifuta,,

Baada ya siku hiyo kupita tukakutana tena tarehe 28 mwezi 4 huo huo mchana.

Baada ya kumaliza, siku hiyo akaanza kudai tumbo linamuuma,, nikamwambia itakuwa hali tu ya tumbo,, siku ya pili hivyo hivyo basi ikafika tarehe 6 ya mwezi wa 5 akadai haoni siku zake na siku ya pili yake hakuaona ambayo ni tarehe 7,mpaka sasa anasema yupo dry.

Nikamsihi itakuwa mabadiliko ya hali ya hewa lakini ananambia hii itakuwa mimba,, wakati huo sipo nae maana yupo kwao alisafiri hiyo tarehe 6 tokana na changamoto alizokuwa akipata alipo kuwa anaishi.

Mimi nikamsisitiza kapime tuone tatizo nini(yupo kwao mda huu) anasema ntapima tu lakini itakuwa mimba.

Nimemtolea uvivu nikamtega maswali, alidai breed aliingia tarehe 6 mwezi wa nne akatoka tarehe 9 na mimi nilikutana nae tarehe 24 kwa kinga ya soda,tarehe 28 bila kinga,.

Nimefatilia kuhusu mzunguko maana me si kweli alikuwa kwenye hatari ya kupata mimba, na nimemhusisha imekuwa kesi,nikamwambia aniambie ukweli kama hakuwa na mahusiano huko nyuma kabla yangu lakini kakana.kalia sana eti hakutegemea kama ntamwambia mambo kama hayo.

Mara mimi najua hii mimba niyako hata ukikataa,, lakini mimi moyo wangu hauna amani kabisa juu ya swala hili,, nahisi kubambikiwa mzigo usiyo kuwa wangu.

Ilikuwa imebaki kidogo tu tuanze maisha ya ndoa maana wazazi taarifa wanazo kuwa runataka kuoana,,

lakini amani moyoni mwangu haipo nahisi harufu ya usariti imepita.

Nisiwachoshe sana wakuu swali langu.

Kwa wataalamu wa mzunguko wa hedhi hasa wanawake mnisaidie je nikweli huu mzigo ni wangu?

Maana mimi nikiangalia siku zote tulizo shiriki siyo siku za kushika mimba kufatana na huo mzunguko wake.

Asije ikawa mimba alikuwa nayo halafu kaja kutegesha kwangu.

Nikomee hapo wakuu, msaada wenu ni mhimu sana.
Asanteni.
Hayo machozi yake yasi kuponze hiyo mimba sio yako.
 
ilishawahi kunitokea...

demu nilimpiga ubolo tena kwa mpira katikat ya mechi akasema nivue inamuumiza nikakaza

kesho yake ananiambia "nahisi nina mimba" nikamjibu "tafuta baba yake hali" mwisho wa siku alikuja kuniambia "nilikuwa nakupima ili nione ikiwa ,kweli utalea?"

nilichomjibu ni siri yake mpka hatuongei kaninunia maishaaa!!

USHAURI:

INAWEZEKANA ANAKUPIMA MKUU AONE RESPONSE YAKO KWAKE
Hiyo nami nihisi,,nipe mbinu mkuu nimbane vipi maana sahizi tulikuwa na mchakato wa kuoana hivi karibuni kama mambo yangekaa sawa lakini swala hili limenimaliza nguvu yakuendelea kabisa.
 
Eti tuishi nao kwa akili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akili sio mat...o kwamba kila mtu anayo.
 
Solution ni rahisi sana nenda nae hospitali mkapime mimba ina umri gani. Kama ni katika hizo tarehe mzee baba karibu katika chama la wazazi Baba mtarajiwa. Wala usifanye nae ligi maana kama tarehe zikioana goma lako hilo ukiona mimba ina miezi miwili utakuwa umepigwa changa la macho
Asante mkuu nashukuru sana,, kwahiyo nivute muda kidogo halafu nikapime nae?
 
Habari za Jumapili njema wapendwa, sifa zote apewe Mungu muumba mbingu na nchi. Amina.

Soma kwa makini kuna fundisho hapa

Jamani nimekuja humu ndani kupata suruhisho la masaibu yanayo nisumbua na kunipa stress zaidi katika wakati huu.

Hii changamoto naona inanilemea tofauti na kupata msaada wenu ntaishia pabaya.

Maada:

Me nimekuwepo na girl friend ambae tumezoeana takriban mwezi mmoja,, tumezoeana siku had siku baadae mwafaka ukawa baadae tuoane.

Amekuwa akija kunitembelea kama kawaida geto,, lakini tokana na nguvu ya shetani kutuvaa tulijikuta tumeanguka.

Ilikuwa tarehe 24 ya mwezi wa 4 usiku ndo tulishiriki ngono lakini pia katika kushiriki binti aliniambia nikanunue soda ya Coca Cola kwa ajili ya kutumia kama kinga,,

Basi sikuwa na hiana nikafata baada ya kunikazia kuwa yupo kwenye siku za hatari yasije tokea mengine ya mimba,

Nilipo ileta basi tukaendelea na mambo mengine baada ya kumaliza alimimina na kuanza kunywa taratibu,,nikamuuliza kazi yake, anadai anapo kunywa zile shahawa zinatelemka zenyewe tu,

Basi na kweli zikawa zinatelemka anajifuta,,

Baada ya siku hiyo kupita tukakutana tena tarehe 28 mwezi 4 huo huo mchana.

Baada ya kumaliza, siku hiyo akaanza kudai tumbo linamuuma,, nikamwambia itakuwa hali tu ya tumbo,, siku ya pili hivyo hivyo basi ikafika tarehe 6 ya mwezi wa 5 akadai haoni siku zake na siku ya pili yake hakuaona ambayo ni tarehe 7,mpaka sasa anasema yupo dry.

Nikamsihi itakuwa mabadiliko ya hali ya hewa lakini ananambia hii itakuwa mimba,, wakati huo sipo nae maana yupo kwao alisafiri hiyo tarehe 6 tokana na changamoto alizokuwa akipata alipo kuwa anaishi.

Mimi nikamsisitiza kapime tuone tatizo nini(yupo kwao mda huu) anasema ntapima tu lakini itakuwa mimba.

Nimemtolea uvivu nikamtega maswali, alidai breed aliingia tarehe 6 mwezi wa nne akatoka tarehe 9 na mimi nilikutana nae tarehe 24 kwa kinga ya soda,tarehe 28 bila kinga,.

Nimefatilia kuhusu mzunguko maana me si kweli alikuwa kwenye hatari ya kupata mimba, na nimemhusisha imekuwa kesi,nikamwambia aniambie ukweli kama hakuwa na mahusiano huko nyuma kabla yangu lakini kakana.kalia sana eti hakutegemea kama ntamwambia mambo kama hayo.

Mara mimi najua hii mimba niyako hata ukikataa,, lakini mimi moyo wangu hauna amani kabisa juu ya swala hili,, nahisi kubambikiwa mzigo usiyo kuwa wangu.

Ilikuwa imebaki kidogo tu tuanze maisha ya ndoa maana wazazi taarifa wanazo kuwa runataka kuoana,,

lakini amani moyoni mwangu haipo nahisi harufu ya usariti imepita.

Nisiwachoshe sana wakuu swali langu.

Kwa wataalamu wa mzunguko wa hedhi hasa wanawake mnisaidie je nikweli huu mzigo ni wangu?

Maana mimi nikiangalia siku zote tulizo shiriki siyo siku za kushika mimba kufatana na huo mzunguko wake.

Asije ikawa mimba alikuwa nayo halafu kaja kutegesha kwangu.

Nikomee hapo wakuu, msaada wenu ni mhimu sana.
Asanteni.
Acha kulia punguza kidogo kale kahela ka mahari kapime DNA.Usiishi na mtu kwa huruma wala machozi.Marriage is for life and adultery is just a temporary game.
 
As long umekula dry, na mzunguko wake haujui hapo pagumu kujitoa.

Acha mabaharia wake wakupe mbinu manake hawashindwagi kitu.

Binafsi kupitia sredi zako nimeona kwamba wewe bado mdogo na ni 'kadinyaji sana' ila maturity na mindset ya kuingia kwenye ndoa bado bado.

Eti kadinyaji, ila me kanishangaza mahusiano mwezi mmoja anataka kuingia kwenye ndoa ? au sijasoma vizuri ??
 
mhh coca cola jmn sio kwa tango pori hilo...

Yan me nimeshangaa hizo soda nnazo kwenye fridge wanakunywaga sana na wakisema wanamimba wala sishangai sijawah kujua kama cocacola inafanya hilo jambo aisee nimeshangaa leo
 
Acha kulia punguza kidogo kale kahela ka mahari kapime DNA.Usiishi na mtu kwa huruma wala machozi.Marriage is for life and adultery is just a temporary game.
Ni kweli mkuu, yaweza kuwa ndo maana alitaka tujitambulishe mapema kwa baadhi ya wahusika kuwa sisi tutakuwa wachumba ili nisiruke nyaya.
 
Asante mkuu nashukuru sana,, kwahiyo nivute muda kidogo halafu nikapime nae?
Yes usikatae maana kalenda itaongea kila kitu. Kubaliana nae ila akikisha unaenda nae kupima ili ujue yote kuhusu tarehe zako na umri wa mimba. Kama yako utajua tu. Pia usiweke kichwani kuwa umesingiziwa na kuwa defensive subiri majibu ya daktari yatakupa mwanga na ndipo utachukua hatua
 
Back
Top Bottom