Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Sasa km umekuja kimburula unadhani mwanamke atakuwa na huruma basi..

Anakunyoosha mpk unafikia point unaanza kuwaza km mtu mwenye akili timamu hlf ndo anakuomba msamaha[emoji53][emoji53][emoji53]
Amechemka mkuu.
 
Mm hua na washangaa baadhi ya wanaume wenzangu,una kataa mimba kwa misingi gani?kwa nini hukutumia kondom?kwa nini ulikula mzigo?ulitegemea nini kitokee badaa ya wewe kutimiza adhima yako?kwa nini ulitumia nguvu nyingi kumrubuni?na kama mtoto akizaliwa ana kufa nana kwa %100 utasema je?wewe tunza huyo mama na ikiwezekana fuata taratibu zote muoe kabisa kama anakudanganya zambi zake,mm demu akisha nitamkia ana mimba yangu tu nafurahi sana,kuendelea kuikataa mimba uta sababisha afikirie kutoa tayari umeshiriki kuua shauri yako.
 
Mkuu Utra sound inasaidia kutambua umri wa mimba, labda nitumie hiyo na nataka nimwambie kama nikweli niyangu aje tupime kama akikubali.
 
blah blah blah. unatafuta zasababu nyingi za kukataa hiyo mimba.
ngoja mtoto azaliwe kacheki dna.
 

Daah mambo yatakaa sawa tu na suruhisho litapatikana
 
wengine wanakwambia fanta au koka inazuia mimba. hakuna kitu kama hiko mzeeya.
usimuamin mwanamke wa kibongo kukwambia mambo ya kijinga kama hayo
 
Yani unakutan na mtu mwezi tu af mnatambulishana kwa wazazi na mnafanya kabisa taratibu za kuoana??!!
 
Hiyo mimba yakwako [emoji817] angalia hapo umekutana nae tarehe 24 ambapo ilikuwa siku ya 19 ilikuwa bado ni danger ukihesbau siku kumi kutoka siku ya 12 ambapo danger inaanzia achana na mambo cocacola lea mwanao .View attachment 1779423
Unahakikisha ni kweli kabisa?
Maana hizi karenda wengi huwa zinawachanganya Mkuu.
 
Sasa km umekuja kimburula unadhani mwanamke atakuwa na huruma basi..

Anakunyoosha mpk unafikia point unaanza kuwaza km mtu mwenye akili timamu hlf ndo anakuomba msamaha[emoji53][emoji53][emoji53]
Hahahahah wanawake bana dah🤣🤣🤣 mie ndio maana sipendagi utoto nao kabisa
 
1:Maswali mawili madogo ya nyongeza,Ulishindwaje kujua kama alikuwa na mahusiano nyuma au la mpaka ukawa unamuuliza yeye?
2: Kwa maelezo yako mwanamke anaonekana anakuzidi umri na akili,je ni kweli anakuzidi vyote au kimojawapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…