Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

Sawa mkuu nimekuelewa sana,, lakini mkuu baada ya mimi kumkazia jana na kumwambia kuwa akae miezi miwili tukapime umri wa mimba, alinikubalia lakini leo ananiambia nimsamehe kwa yale aliyo niambia kuwa ana mimba ,, leo anasema hana mimba alikuwa ananipima,,

Mkuu mtu kama huyu utamfanyeje?!!
Naona kama anacheza na akili yangu mkuu
Duh.....haijielewi
 
Duh.....haijielewi
Kweli kabisa,nahisi kwa namna nilivyo alihisi hata akiniambia chochote me ntamkubalia,, maana kuna kauli alishawahi kunuambia yaani me huwa nakubali kila kitu,, na kweli huwa nipo hivo lakini huwa ukimaliza kuniambia lazima nikutafakari.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Habari za Jumapili njema wapendwa, sifa zote apewe Mungu muumba mbingu na nchi. Amina.

Soma kwa makini kuna fundisho hapa

Jamani nimekuja humu ndani kupata suruhisho la masaibu yanayo nisumbua na kunipa stress zaidi katika wakati huu.

Hii changamoto naona inanilemea tofauti na kupata msaada wenu ntaishia pabaya.

Maada:

Me nimekuwepo na girl friend ambae tumezoeana takriban mwezi mmoja, tumezoeana siku hadi siku baadae mwafaka ukawa baadaye tuoane.

Amekuwa akija kunitembelea kama kawaida geto,, lakini tokana na nguvu ya shetani kutuvaa tulijikuta tumeanguka.

Ilikuwa tarehe 24 ya mwezi wa 4 usiku ndo tulishiriki ngono lakini pia katika kushiriki binti aliniambia nikanunue soda ya Coca Cola kwa ajili ya kutumia kama kinga.

Basi sikuwa na hiana nikafata baada ya kunikazia kuwa yupo kwenye siku za hatari yasije tokea mengine ya mimba.

Nilipoileta basi tukaendelea na mambo mengine baada ya kumaliza alimimina na kuanza kunywa taratibu,,nikamuuliza kazi yake, anadai anapokunywa zile shahawa zinatelemka zenyewe tu.

Basi na kweli zikawa zinatelemka anajifuta.

Baada ya siku hiyo kupita tukakutana tena tarehe 28 mwezi 4 huo huo mchana.

Baada ya kumaliza, siku hiyo akaanza kudai tumbo linamuuma,nikamwambia itakuwa hali tu ya tumbo,, siku ya pili hivyo hivyo basi ikafika tarehe 6 ya mwezi wa 5 akadai haoni siku zake na siku ya pili yake hakuaona ambayo ni tarehe 7,mpaka sasa anasema yupo dry.

Nikamsihi itakuwa mabadiliko ya hali ya hewa lakini ananambia hii itakuwa mimba,, wakati huo sipo nae maana yupo kwao alisafiri hiyo tarehe 6 tokana na changamoto alizokuwa akipata alipo kuwa anaishi.

Mimi nikamsisitiza kapime tuone tatizo nini(yupo kwao mda huu) anasema ntapima tu lakini itakuwa mimba.

Nimemtolea uvivu nikamtega maswali, alidai breed aliingia tarehe 6 mwezi wa nne akatoka tarehe 9 na mimi nilikutana nae tarehe 24 kwa kinga ya soda,tarehe 28 bila kinga,.

Nimefatilia kuhusu mzunguko maana me si kweli alikuwa kwenye hatari ya kupata mimba, na nimemhusisha imekuwa kesi,nikamwambia aniambie ukweli kama hakuwa na mahusiano huko nyuma kabla yangu lakini kakana.kalia sana eti hakutegemea kama ntamwambia mambo kama hayo.

Mara mimi najua hii mimba niyako hata ukikataa,, lakini mimi moyo wangu hauna amani kabisa juu ya swala hili,, nahisi kubambikiwa mzigo usiyo kuwa wangu.

Ilikuwa imebaki kidogo tu tuanze maisha ya ndoa maana wazazi taarifa wanazo kuwa runataka kuoana,,

lakini amani moyoni mwangu haipo nahisi harufu ya usaliti imepita.

Nisiwachoshe sana wakuu swali langu.

Kwa wataalamu wa mzunguko wa hedhi hasa wanawake mnisaidie je nikweli huu mzigo ni wangu?

Maana mimi nikiangalia siku zote tulizo shiriki siyo siku za kushika mimba kufatana na huo mzunguko wake.

Asije ikawa mimba alikuwa nayo halafu kaja kutegesha kwangu.

Nikomee hapo wakuu, msaada wenu ni mhimu sana.

Asanteni.

Kuna Movie inaitwa Forever My Girl kaitizame itakufundisha kitu...
 
Kadinyaji mnooooo.

Kanajua ndoa ni chumba unaingia tu unafanya Yako ukitaka unatoka.

He will be very surprised.

Yeah he better get his things together, getting tied to somebody for the rest of your life is not a joke...so when deciding on it you MUST BE very very careful...
 
Ndo hivo mkuu nilifanyiwa mchezo na kuna kauli moja ambayo huwa naitafakari aliniuliza hauna mtoto nje Kweli?
Maana isije tukaoana ukawa kumbe na mtoto, me nilimwambia sina hko nje au ilikuwa swali la mtego kwangu?

Kuwa makini sana aisee umeshakosea sasa inabidi tu urekebishe makosa, hapa naona kama alikutegeshea mimba makusudi kama alikuuliza hayo maswali, alitaka akwambie ana mimba ili umwoe yeye yan hapo nishaona inaweza kuwa mimba yako ila alikudanganya na cocacola mkuu
 
Upo sahihi mkuu me nataka nivunje uchumba, maana naingia ndoani bila amani ndo maana wanasema msifanye ngono kabla ya ndoa

Nakwambia ukweli ndoa sio mchezo ebu fikiria kuish na mtu for the rest of your life na huna amani , haifai kabisaa
 
Mkuu inaniuma sana, roho yangu inaugulia uchungu nisije lea mimba haramu, wanawake tamaa zimetawala yaweza kuwa alikuw na mtu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baada ya kula mzigo ndo unasema wanawake wanatamaa sana[emoji23][emoji23], unajaribu kufanya hapo ni kutafuta sapoti ya kukana mimba
 
Hapa nisha ibiwa kabisa,, jana nimembana sana kuhusu mzunguko wake akawa ananiletea hesabu za hovyo, nikamwambia kama kweli una mimba ama mimba ni yangu ama si yangu itajulikana tu, nikamwambia subili miezi 2 tukapime maana mchawi ni "Ultra sound " nashangaa leo asubuhi saa moja mapeema inaingia sms kuwa nimsamehe hana mimba alikuwa ananipima, nimemuulza kwanini ulikuw unanipima anasema kawaida tu,, nimemsii kama ameamua kusema hivyo labda me nisimwache, nimemsii asitoe mimba kama kweli anayo.
Huyo siyo mtu nzuri, kuwa naye makini!
 
Ifafanue mkuu..niko hapa kukuelewesha ..
Mleta mada amesema...

Ilikuwa tarehe 24 ya mwezi wa 4 usiku ndo tulishiriki ngono lakini pia katika kushiriki binti aliniambia nikanunue soda ya Coca Cola kwa ajili ya kutumia kama kinga.

Basi sikuwa na hiana nikafata baada ya kunikazia kuwa yupo kwenye siku za hatari yasije tokea mengine ya mimba.

Nilipoileta basi tukaendelea na mambo mengine baada ya kumaliza alimimina na kuanza kunywa taratibu,,nikamuuliza kazi yake, anadai anapokunywa zile shahawa zinatelemka zenyewe tu.

Basi na kweli zikawa zinatelemka anajifuta.
 
mleta mada amesema...

Ilikuwa tarehe 24 ya mwezi wa 4 usiku ndo tulishiriki ngono lakini pia katika kushiriki binti aliniambia nikanunue soda ya Coca Cola kwa ajili ya kutumia kama kinga.

Basi sikuwa na hiana nikafata baada ya kunikazia kuwa yupo kwenye siku za hatari yasije tokea mengine ya mimba.

Nilipoileta basi tukaendelea na mambo mengine baada ya kumaliza alimimina na kuanza kunywa taratibu,,nikamuuliza kazi yake, anadai anapokunywa zile shahawa zinatelemka zenyewe tu.

Basi na kweli zikawa zinatelemka anajifuta.
Inawezekana mkuu..enzi zetu tulikua tunakunywa majivu😀😀! Lakini hayakuwa functional...dawa ni moja tu 72 hrs basi!
Huwezi amini ulimwengu huu mimi nimestaafu rasmi...
 
Inawezekana mkuu..enzi zetu tulikua tunakunywa majivu😀😀! Lakini hayakuwa functional...dawa ni moja tu 72 hrs basi!
Huwezi amini ulimwengu huu mimi nimestaafu rasmi...
Hii dawa gharama bana,siku 1 nilalamikiwa nimepiga kavu siku za hatari,nikampa buku 5 ananunue. akaniambia haitoshi,ikabidi twende wote famasi. bei yake niliishiwa hamu kabisa. nikajuta kwa nini sikuvaa
 
hii dawa gharama bana,siku 1 nilalamikiwa nimepiga kavu siku za hatari,nikampa buku 5 ananunue. akaniambia haitoshi,ikabidi twende wote famasi. bei yake niliishiwa hamu kabisa. nikajuta kwa nini sikuvaa
🤣🤣🤣! Aisee..alafu ukiwa kwa heat ke huwa kuna vibe la hatari subiria sasa uone siku zako wapiii
Dah...
 
mleta mada amesema...

Ilikuwa tarehe 24 ya mwezi wa 4 usiku ndo tulishiriki ngono lakini pia katika kushiriki binti aliniambia nikanunue soda ya Coca Cola kwa ajili ya kutumia kama kinga.

Basi sikuwa na hiana nikafata baada ya kunikazia kuwa yupo kwenye siku za hatari yasije tokea mengine ya mimba.

Nilipoileta basi tukaendelea na mambo mengine baada ya kumaliza alimimina na kuanza kunywa taratibu,,nikamuuliza kazi yake, anadai anapokunywa zile shahawa zinatelemka zenyewe tu.

Basi na kweli zikawa zinatelemka anajifuta.
Noelia hii teknik unaijua mkuu wangu😀
 
Unasema tuishi nao kwa Akili kumbe we ndo zezeta huna akili (samahani lakin) kwaio ulivyoambiwa Soda ya coca inazuia mimba nawee ukaamini kwa asilimia zote?? Lea mtoto nmkuu umevuna ulichopata BAADA YA STAREHE NI MAUMIVU)

Bwege sana huyu (na mimi namuomba samahani) yaani inaonekana hana elimu ya uzazi, Coca inazuiaje mimba,...... hata kuoa usifikirie sasa hivi hebu tulia kwanza
 
Back
Top Bottom