Nimesoma maoni ya Chadema kuhusu miswada mitatu; Je, huu uchambuzi umefanywa na wasomi wa Tanzania au wa Havard University?

CDM ni mpango wa Mungu,Kayafa alijaribu mwisho yeye ndo akaenda,lakini wanafiki na makasuku kama voice from within watakuja kupinga huu ukweli.

Kuna mmoja kila post anaweka namba ya simu atakuja kuandika barua ndefu hapa muda sio mrefu.
Wachagaa mkianza kusifiana hadi mnatia kinyaa
 
Uchambuzi uko wapi?
 
CDM ndicho chama pekee chenye maono sahihi juu ya hatma iliyo bora ya Tanzania ya kesho. Ni chama ambacho kina hazina kubwa ya viongozi wenye fikra pevu na mbinu sahihi za kuiletea nchi yetu maendeleo ya kweli.

CDM ndiyo "think tank" ya nchi katika nyanja za kiuchumi na kijamii. Mtu makini na muelewa hatasita kukiunga mkono chama hiki. Kilio cha mabadiriko ya sheria za uchaguzi ni "endorsement" ya kukubalika kwa chama hiki na kiu ya wananchi kutaka mabadiliko ya kiungozi hapa nchini.
 
CHADEMA wengi wanajitolea kwa sababu ya uzalendo na siyo uchawa kama wa CCM maoni yanaandaliwa na PS wa katibu wa UWT(Lucas Mwashambwa)
 

Mbona huo uchambuzi huuleti tuuone sore tuliosoma udsm enzi zile za kusoma shera udsm ukiwa na div one pont tatu. Siku hizi hata div four unasoma shria udsm Kama paschal mayala alivyo mweupe kichwani lakini eti amesoma udsm
 
Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya alishasema kuwa CHADEMA ni Wajenzi wazuri wa hoja kuliko CCM!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kutoka maktaba
 
CHADEMA wanasaidiwa na wataalamu wengi waliopo kwenye idara mbali mbali serikalini, watu waliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na diaspora mbali mbali waliopo vizuri kisheria na kifedha
 
CCM wanachojali ni madaraka tu, hakuna mtu mwenye fikra za maendeleo pale...
 

Na mwisho wa huo uongozi wa Silaa ilikuaje?!!

Uzuri wa safari sio mwanzo wa safari Bali mwisho wa safari umeimalizaje,hata Petro alikua mwanafunzi mzuri wa Yesu mwanzoni,mwisho je alikua mwanafunzi mzuri?!?
 
MMEDUKUA KATIBA PENDEKEZWA YA WARIOBA HALAFUI MNAJIITA WAOMI WA HAVARD!
 
Kiuhalisia kwa kura za wananchi CCM anaufyata kwa CHADEMA.

Mbali na kuiba kura kwa kutumia mabavu na mapandikizi CCM hawezi simama na CHADEMA ulingoni wakazichapa kwa kura za wananchi.

CCM amalizi raundi ya kwanza
 
Hebu uweke hapa huo uchambuzi na sisi tuuone bloangu
 

Pengine wale wanaoamini katika miujiza, basi Mh. Samia Suluhu Hassan amepata nafasi ya urais ili afanye mageuzi makubwa bila kutishwa na wahafidhina walio ndani ya chama kongwe dola CCM, na kwamba Mh. Rais . Dr. Samia Suluhu Hassan atasikiliza maoni yanayotoka nje ya CCM hivyo kuacha alama katika taifa la Tanzania kama kiongozi aliyepata kuacha legacy itakayoiongoza taifa kwa miaka 250.

Nafasi hii adimu huja kwa nadra sana kama inavyofafanuliwa na Joel Nanauka hapa chini :


View: https://m.youtube.com/watch?v=DkeUmwgpxVU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…